Njaramatata
Member
- Aug 6, 2020
- 44
- 66
Hali zenu wana jukwaa,
Kwa Muda mrefu nimekuwa najiuliza na kuuliza watu mbali mbali na hata kufanya tafiti fulani,lakini bado sijaelewa.
Kuna mapacha wanaofanana kila kitu kiasi hata wazazi wanashindwa kuwatofautisha mpaka DNA Ni moja lakini alama zao za vidole haijatokea zifanane.
Je, Kuna mtu anaweza nieleza Ni kwa Nini?
Nawasilisha.
Kwa Muda mrefu nimekuwa najiuliza na kuuliza watu mbali mbali na hata kufanya tafiti fulani,lakini bado sijaelewa.
Kuna mapacha wanaofanana kila kitu kiasi hata wazazi wanashindwa kuwatofautisha mpaka DNA Ni moja lakini alama zao za vidole haijatokea zifanane.
Je, Kuna mtu anaweza nieleza Ni kwa Nini?
Nawasilisha.