DAWASA kinyerezi ni kumfukuza kuanzia Manager na Manager wa Mkoa kabisa, Waziri Awesso ana taarifa watu wa Kinyerezi nani mjini ila maji shida sana, hao viongozi wa DAWASA wakifukuzwa utaona maji yanakuja
Malamba Mawili, Kifuru mpaka Kinyerezi huko watu wanasomeshwa namba na DAWASCO kisingizio ile miinuko.
Hakuna jambo tunaweza kutembelea mbele kujivunia kama taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.