Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

wewe ulishawahi kuona PK ana hutubia huku anacheka cheka hovyo kwa mizaha....inchi ile ina uingozi bora
 
Huu ni mfano wa kijinga na wakitoto na wa kimbwa kuwahi kuushuhudia hapa jf!

na hawa ndio wakazi wa hekalu, nchi ya milima elfu wanatumiwa wadunguzi, huku kwetu unaweza kukuta yupo lumumba.
 
barabara ya mwanza hadi mtwara
ingetosha kuitapakaza lami rwanda
nzima hadi chooni maghorofa ya dar
na mwanza yangetosha kuifanya
rwanda ndio nchi iliyoendelea zaidi
Afrika
usafiwa Arusha ungeiona rwanda
nzima safi
udogo wa nchi ya rwanda
umesababisha hivyo
china,brazil,india ni nchi ndogo nazo
 
kwa nini kila kitu kizuri rwanda ?
jibu hili swali

kama mojawapo ni uzalendo mengine ni udogo wa nchi
nchi zote za ulaya ni ndogo na zote zipo vizuri kimaendeleo unafikiri kwa nini ??

barabara ya mwanza hadi mtwara ingetosha kuitapakaza lami rwanda nzima hadi chooni maghorofa ya dar na mwanza yangetosha kuifanya rwanda ndio nchi iliyoendelea zaidi Afrika
usafi wa Arusha ungeiona rwanda nzima safi

udogo wa nchi ya rwanda umesababisha hivyo

Ndugu kumbuka kadiri nchi inavyokuwa ndogo na fursa hupungua sawia,Australia ni nchi kubwa mno (Tanzania x 8 )lakini imeendelea,think big mkuu
 
umasikini wa nchi za afrika unatokana na vita hizo zote ni kwa ajili ya vita

Sikumbuki Togo kupigana vita,nikumbushe mkuu! Kuna visiwa vya Comoro ni vidogo baadhi ya viongozi wa visiwa vinavyounda nchi walikuwa na mawazo kama yako wakaamua kuwa na mamlaka ya ndani maendeleo hayakuja! wengine wakaamua kujisalimisha kwa wafaransa (Mayote). Unafahamu hiyo mkuu?
 
Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?

kwan Zanzibar ni nchi?
 
Amon' the list of genocides by death toll , Rwanda massacre inachukua nafasi ya 6 duniani !
Includes death toll estimates of all deaths , that are either directly or indirectly !
Kwa maana Wanyarwanda walifikia hadi kuwafata rivals wa Kagame Africa kusini na kuwachinjia hukohuko !
Mletamada sijui haya umeyavalia mawanimbao !
 
Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?

Mauaji ya kikabila pia Rwanda au umesahau?
 
Ndugu kumbuka kadiri nchi inavyokuwa ndogo na fursa hupungua sawia,Australia ni nchi kubwa mno (Tanzania x 8 )lakini imeendelea,think big mkuu

Hivi kwa akili ya kawaida hospital kama ya muhimbili zinatakiwa ngapi Tanzania ??
na rwanda zitatakiwa ngapi ??
shule rwanda zinahitajika ngapi na Tanzania zinahitajika ngapi ??
nimeshasema barabara ya mtwara tu mwanza ungeitapakaza rwanda nzima hadi chooni
udogo wa nchi unasaidia kasi ya maendeleo.
Hebu jiulize sisi tunaendelea au hatuendelei ??
mwaka 1961 kulikuwa na lami km ngapi sasa hivi ngapi ?? je zinaendelea kujengwa au bado ?? zimetosha au hazijatosha ??
1961 shule zilikuwa ngapi ??
1961 hospitali zilikuwa ngapi ??

Gharama ya kujenga barabara ya mwanza to mtwara ingetosha kumaliza matatizo ya shule na barabara rwanda nzima.

Jiulize mahitaji ya maji kwa watu 10 na watu 200 yanaweza kuwa sawa ??
Unaweza kuwapa laptop wanafunzi wa tanzania nzima ??
Kwa nini watu wanatekwa kwenye mabasi hayo mambo rwanda yapo ?
Ushawahi kusikia ujambazi wa hatari rwanda ??

Udogo wa nchi umesaidia sana na rais mwenyewe sio makini ki hivyo rwanda ilitakiwa iwe kati ya nchi zilizo vizuri kiuchumi
 
Ukiwa na chumba kimoja ni rahisi kukisafisha kila siku, tofauti na ukiwa na hekalu.

Kama hulka yako ni usafi na unaweza safisha chumba kimoja jua huo ndo uwezo wako na unazamila ya usafi.
Kama utaweza jenga hekaru na dhamira yako ikawa bado ni usafi na huwezi kuufanya mwenyewe utaweka watu wenye kariba ya usafi wakusaidie kufanya usafi huo na utasimia kwamba usafi unatendeka,na utamsifia msafi kwa usafi wake sio mchafu kwa usafi wake.
cc:werema >jk
 
Wamepata kiongozi sahihi. Siyo kama huyu wa kwetu anasema ESCROW ni pesa ya IPTL lakini wakati huohuo anaruhusu mwanasheria wake ajiuzuru kwa kushauri malipo yasiyo sahihi

Na kumtoa anna tibaijuka, jamaa anasikitisha sana asee.
 
Back
Top Bottom