Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Kwa hiyo unadhani Tanzaia haiendelei kwa sababu ni nchi kubwa kieneo?

Hapana, sijasema hivyo, nilikuwa najaribu kuelewa ulichoandika, nikapata picha unamaanisha; miji uliyoitaja ingelikuwa nchi ingelikuwa nchi tajiri, hivyo kwa mtazamo huo wako naanza kuelewa ni kwamba unabisha kitu unachokijua dhairi.

Kwani ukiwa na eneo dogo, watu wachache, na fursa wazi, bilashaka ni nchi tajiri kama Rwanda.
 
Kwa sababu hii nahisi nchi kama Russia/Canada/USA/P. R. China nk leo tungekua tunazicheka kwa umasikini; jamaa zangu akina Burundi/Maldives/San Marino/Grenada wangekuwa wanaongoza Dunia!

rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
 
TZ ingegawanywa kwenye majimbo, maendeleo kulingana na rasilimali ungeyaona na kwa kuwa jimbo ni kama nchi ndani ya nchi, hivyo nchi kubwa inagawanywa kwenye vi_inchi vidogo vinavyoweza kutawaliwa kwa urahisi ndio maana tunasumbuliwa na hata Msumbiji.

Marekani ni ndogo kuliko Afrika lakini ina majimbo karibu sawa na idadi ya nchi za Afrika, S.A, China, Uingereza n.k. Wanatumia mifumo inayokaribia kuiita kwa ujumla kama mifumo ya majimbo.

Hivyo siri ni kuwa na utawala wa eneo dogo kusimamia eneo dogo kama Rwanda kupata maendeleo.

Hata tungegawa majimbo kwa utawala huu wa mkwele? Fact hapa ni uongoz bora na thabit ktk kusimamia maendeleo ya nchi full stop tusizinguke, USA wamegawa majimbo lkn utendaji mzuri wa magavana na rais ndo sapoti kuu
 
the say sina la kuongeza hapa
udogo wa nchi umesababisha vinchi vingi vya ulaya kuendelea kwa haraka
umetaja ujerumani sawa ila hapo mwanzo zilikuwa mbili

Kabla ya kuungana maendeleo yalikuwaje Mkuu na baada ya kuungana yako vp?
 
Last edited by a moderator:
Hata tungegawa majimbo kwa utawala huu wa mkwele? Fact hapa ni uongoz bora na thabit ktk kusimamia maendeleo ya nchi full stop tusizinguke, USA wamegawa majimbo lkn utendaji mzuri wa magavana na rais ndo sapoti kuu

Kwa sababu hii nahisi nchi kama Russia/Canada/USA/P. R. China nk leo tungekua tunazicheka kwa umasikini; jamaa zangu akina Burundi/Maldives/San Marino/Grenada wangekuwa wanaongoza Dunia!

Hebu tukubaliane wadau hapa ni kuwekana sawa ili tuelewane
je udogo wa nchi hauhusiki au unahusika ??
 
Hapana, sijasema hivyo, nilikuwa najaribu kuelewa ulichoandika, nikapata picha unamaanisha; miji uliyoitaja ingelikuwa nchi ingelikuwa nchi tajiri, hivyo kwa mtazamo huo wako naanza kuelewa ni kwamba unabisha kitu unachokijua dhairi.

Kwani ukiwa na eneo dogo, watu wachache, na fursa wazi, bilashaka ni nchi tajiri kama Rwanda.

Unafahamu kuwa Rwanda ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi kwa Kilometa ya mraba (population density)katika EAC? Ukubwa wa Rwanda ni 26,340 Sq.Km lakini idadi ya watu ni 11,600,00! Kwa hiyo idadi ya watu katika Kilometa ya mraba ni 441,Tanzania ukubwa wake ni 947,300 Sq.km idadi ya watu 45,000,000 kwa hiyo idadi ya watu kwa kilometa ya mraba ni 48! kwa hiyo kwa muktadha wa watu wachache,fursa wazi Tanzania ina kila sababu ya kuendelea na siyo Rwanda
 
Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?
Rwanda haijaipita Tanzania kiuchumi kwa kutumia kigezo chochote kile.
Pia haijaipita Tanzania kwenye haki za wanawake na haki za binadamu kwa ujumla.
Haijaipita kiulinzi na usalama na haijaipita kwa infrastructures be it roads, communication kama subscriptions za internet na simu. Viwanja vya ndege etc....
Rwanda haijaipita Tanzania kwa resources zozote pamoja na kupata misaada almost twice as much per capita.
Economic growth ya Rwanda, rate yake pre na post Hybyrimana is almost the same.
Uchumi wa Rwanda unakua at a declining rate kwa miaka 2 sasa.

This Rwanda thing is overrated, nionyesheni data.
 
Unafahamu kuwa Rwanda ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi kwa Kilometa ya mraba (population density)katika EAC? Ukubwa wa Rwanda ni 26,340 Sq.Km lakini idadi ya watu ni 11,600,00! Kwa hiyo idadi ya watu katika Kilometa ya mraba ni 441,Tanzania ukubwa wake ni 947,300 Sq.km idadi ya watu 45,000,000 kwa hiyo idadi ya watu kwa kilometa ya mraba ni 48! kwa hiyo kwa muktadha wa watu wachache,fursa wazi Tanzania ina kila sababu ya kuendelea na siyo Rwanda

mkuu unajua mengi kuliko tarakimu unazoandika, tarakimu zinatumika kudanganya jamii, nimezungumzia idadi ya watu jumla, lakini nani ni mhanga wakuu wa vita?, kina mama, watoto, wazee, wazembe, na wenye mtazamo hasi na vuguvugu.

Rwanda watu waliobaki ni kundi la watenda kazi wengi, tegemezi wachache; walipo ni zaidi ya Japani wakipanga uzazi kwa miaka 100 kwani wao wanafungu dogo la wazee ukilinganisha na Japani.

Tanzania ina raia wengi wa miaka 0-21, i.e. umri tegemezi ukiachilia wazee.

Hivyo ukiangalia idadi tegemezi kwa kmita mraba kwetu itakuwa juu na wafanyakazi kwa kmita mraba kwao itakuwa juu.

Kwa mtazamo huo kama tutahusika na kazi ya nguvu kama kilimo, ardhi yao itatoa mara nyingi zaidi ya TZ.

Hivyo taarifa ya idadi ya watu kwa eneo hauwezi kutoa hitimisho kama utoalo kwa idadi ya watu (jumla).

Kwa wingi wa watu wa Rwanda bajeti yao inaweza kuendeshwa na sehemu ndogo ya bajeti ya TZ.
 
Hata tungegawa majimbo kwa utawala huu wa mkwele? Fact hapa ni uongoz bora na thabit ktk kusimamia maendeleo ya nchi full stop tusizinguke, USA wamegawa majimbo lkn utendaji mzuri wa magavana na rais ndo sapoti kuu

Mqwere tatizo lililo wazi
 
Watanzania wanatawaliwa na mafisadi kwa ujinga wao dawa hakuna elimu hamb kila kitu hakuna ila dhahabu almasi tnzanit mbuga za wanya na vitu vingi tumejaaliwa iweje dawa hamna mnaendekeza mafisadi ccm ndio maana na nyinyi mkawa vifisadi
 
brazil gani ??
india ipi ??
kuna mahali rio de janairo pako kama tandale hebu angalia fast and farious 5

kwa mawazo haya nachelea kusema huyu sio MO11 ninae mjua, hawezi kupima maendeleo ya nchi kwa uwepo wa slums rio de jeneiro! marekani ndio taifa tajiri dunian lakin bado linangoza kwa homeless majorities!! basi MO11 anaanza kuuaga ujana na weledi wa fikra!!
 
Last edited by a moderator:
Rwanda haijaipita Tanzania kiuchumi kwa kutumia kigezo chochote kile.
Pia haijaipita Tanzania kwenye haki za wanawake na haki za binadamu kwa ujumla.
Haijaipita kiulinzi na usalama na haijaipita kwa infrastructures be it roads, communication kama subscriptions za internet na simu. Viwanja vya ndege etc....
Rwanda haijaipita Tanzania kwa resources zozote pamoja na kupata misaada almost twice as much per capita.
Economic growth ya Rwanda, rate yake pre na post Hybyrimana is almost the same.
Uchumi wa Rwanda unakua at a declining rate kwa miaka 2 sasa.

This Rwanda thing is overrated, nionyesheni data.

.....bila kusahau ukimpinga kagame unauwawa.watu hawaruhusiwi kutoa mawazo na dukuduku kama jamii forum.ole wako umkosoe kagame utasakwa popote hadi uuwawe.nafaai zote nyeti ni za watusi tu..hakuna nchi hapo
 
.....bila kusahau ukimpinga kagame unauwawa.watu hawaruhusiwi kutoa mawazo na dukuduku kama jamii forum.ole wako umkosoe kagame utasakwa popote hadi uuwawe.nafaai zote nyeti ni za watusi tu..hakuna nchi hapo
Nchi ina TV station moja tu, sijui kama wameongeza sasa hivi. Kama North Korea....
Propaganda mvua, na watu wanaamini.
 
kwa mawazo haya nachelea kusema huyu sio MO11 ninae mjua, hawezi kupima maendeleo ya nchi kwa uwepo wa slums rio de jeneiro! marekani ndio taifa tajiri dunian lakin bado linangoza kwa homeless majorities!! basi MO11 anaanza kuuaga ujana na weledi wa fikra!!

hebu tuchukulie mfano marekani ni kubwa kuliko Tanzania ila wamefanikiwa licha ya kuwa na viongozi wazuri ila kugawanya majimbo ambayo yatatawalika vyema meya kuwa ndio msemaji wa mwisho katika manispaa mipango yote ya maendeleo inapangwa na meya (pamoja na watu wake) sio bungeni hii ndio siri kubwa ni rahisi kuendelea sehemu ndogo kuliko kubwa
Meya ana sauti kama rais anachaguliwa kwenye uchaguzi halali rais anakua na kazi ndogo tu

Uchaguzi wa meya ndio unaelezwa sera za kusafisha jiji kujenga hospitali barabara miundombinu
Rais anakua ni kwa ajili ya mambo makubwa tu sio kuhusu barabara hapa ndio walipotupita marekani wangemuachia rais madaraka ya kusimamia barabara wangefeli tu

Huku kwetu rais ndio ahusike na barabara maji shule hospitali chakula.
Sijataja mawaziri kwa kuwa mawaziri hutimiza alichoahidi rais ndio maana rais analaumiwa kuliko mawaziri ambao huitwa mzigo. Hivyo ni jukumu la rais kumuondoa na kumuweka mwingine.

Nipo tayari kusahihishwa

cc the say
 
Last edited by a moderator:
mkuu unajua mengi kuliko tarakimu unazoandika, tarakimu zinatumika kudanganya jamii, nimezungumzia idadi ya watu jumla, lakini nani ni mhanga wakuu wa vita?, kina mama, watoto, wazee, wazembe, na wenye mtazamo hasi na vuguvugu.

Rwanda watu waliobaki ni kundi la watenda kazi wengi, tegemezi wachache; walipo ni zaidi ya Japani wakipanga uzazi kwa miaka 100 kwani wao wanafungu dogo la wazee ukilinganisha na Japani.

Tanzania ina raia wengi wa miaka 0-21, i.e. umri tegemezi ukiachilia wazee.

Hivyo ukiangalia idadi tegemezi kwa kmita mraba kwetu itakuwa juu na wafanyakazi kwa kmita mraba kwao itakuwa juu.

Kwa mtazamo huo kama tutahusika na kazi ya nguvu kama kilimo, ardhi yao itatoa mara nyingi zaidi ya TZ.

Hivyo taarifa ya idadi ya watu kwa eneo hauwezi kutoa hitimisho kama utoalo kwa idadi ya watu (jumla).

Kwa wingi wa watu wa Rwanda bajeti yao inaweza kuendeshwa na sehemu ndogo ya bajeti ya TZ.


Nimechungulia wikipedia kupata ukweli huu wa asilimia ya watu walio under 15

Tanzania 44.1%
Rwanda 42.7%

Tofauti si kubwa kiasi cha kuhalalisha kutokuendelea kwetu( ni kama watu 630,000 kwa kutumia idadi ya hapa Nyumbani yaani 45mil.). Inawezekana tunaangushwa na hao uliwaandika hapo juu (kwenye red) ambao ni pamoja na viongozi,vijana wanaokaa vijiweni kutwa nzima,matapeli n.k
 
rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
Kumbuka burundi,malawi, swaziland, lesotho, comoro ni nhi ndogo pia kwanini kwao hali isiwe kama Rwanda kama kigezo cha nchi kufanikiwa ni udogo wake?..... tafakari...chukua hatua
 
Kumbuka burundi,malawi, swaziland, lesotho, comoro ni nhi ndogo pia kwanini kwao hali isiwe kama Rwanda kama kigezo cha nchi kufanikiwa ni udogo wake?..... tafakari...chukua hatua

mkuu hii hoja nimeitetea sana jaribu kufuatilia michango yangu katika hii topic
 
Back
Top Bottom