Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Chagua UKAWA, mwezi wa kumi ndipo utaelewa kwamba maendeleo yanaletwa na nini!


Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?
 
mkuu bora umeliona hilo kuna watu hawaelewi ni rahisi kuitawala na kuiongoza rwanda kuliko Tanzania
kwa kutumia akili ya kuitawala rwanda ni vigumu kuitawala Tanzania


Mkuu usisapoti ujinga< huyu wakwetu hata umpe temeke peke yake hawezi kufikia rwanda
 
Kweli ni dikteta lakini kazi yake inaonekana, hata gadafi alikua dikteta lakini watu wake hawakua kama walivo sasaivi,
bado Kagame ni kiongozi, huyu wa kwetu ni mtawala, MO11 futa ile kauli nakushauri, udogo wa nchi sio kigezo

barabara ya mwanza hadi mtwara
ingetosha kuitapakaza lami rwanda
nzima hadi chooni maghorofa ya dar
na mwanza yangetosha kuifanya
rwanda ndio nchi iliyoendelea zaidi
Afrika
usafiwa Arusha ungeiona rwanda
nzima safi
udogo wa nchi ya rwanda
umesababisha hivyo
 
Ehhh kila kitu kizuri Rwanda hta genocide yaani mauaji ya halaiki ni Rwanda tu. Hongereni sana Rwanda.
 
Naamin wanaamanisha ktk suala zima la maendeleo na kutekeleza walichopanga na sio maneno tu
 
Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?
Na nchi inayoongoza kwa udikteta kusini mwa Jangwa la Sahara ni ipi?au na hilo ni zuri?
 
Hata mauaji ya kimbali ni nambari one duniani, haijawahi tokea Rwanda kiboko.
 
mbona hujasema india au brazil ??

Kwa maana nyingine umasikini/ubora wa nchi hautokani na ukubwa au udogo wa eneo lake.ILA, Watu, ardhi siasa afi na uongozi bora ndio muhimu (sensu Nyerere)
 
Kwa maana nyingine umasikini/ubora wa nchi hautokani na ukubwa au udogo wa eneo lake.ILA, Watu, ardhi siasa afi na uongozi bora ndio muhimu (sensu Nyerere)

udogo wa nchi umesababisha hiyo zanzibar imeendelea sana kuanzia majengo hadi miundombinu ila kwa kuwa imemezwa na Tannganyika haya hayaonekani
udogo wa nchi unasababisha kwa kiasi kikubwa sana sana
 
marekani wameanza kujitegemea lini kama taifa ??

Hivi unajua nchi karibu zote za ulaya ni kama mkoa tu hapa Tanzania ndio maana wameweza kuendelea haraka nchi kama ubeligiji ina watu milioni nane kama ingekua Tanzania watu milioni ningeweza kuwakumbuka hata robo tatu ya wakazi wa nchi nzima

asilimia kubwa ya nchi zenye eneo kubwa ni masikini hutaki unakuja na fact sio ubishani

BASI TUIGAWANYE NA NCHI TUWE NA NCHI MBILI KAMA TULIWEZA KUIGAWANYA MIKOA IKAZAA MIKOA MENGINE ILI IWE RAHISI KUIHUDUMIA TUGAWANENI TU,MOROGORO,IRINGA,MBEYA,RUVUMA,RUKWA,TABORA,MWANZA,SHINYANGA MTUPE NA TANGA TUWE NA BANDARI YETU,ILI TUONE KAMA NCHI IKIWA NDOGO INAPUNGUZA UKUBWA WA UMASKINI .hiyo sio sababu lesoto Ua swazland mbona ni maskin tu na vinchi vyao ni vidogo,naungana na wote walosema umaskin wa nchi unachangiwa na viongozi tulonao.
 
BASI TUIGAWANYE NA NCHI TUWE NA NCHI MBILI KAMA TULIWEZA KUIGAWANYA MIKOA IKAZAA MIKOA MENGINE ILI IWE RAHISI KUIHUDUMIA TUGAWANENI TU,MOROGORO,IRINGA,MBEYA,RUVUMA,RUKWA,TABORA,MWANZA,SHINYANGA MTUPE NA TANGA TUWE NA BANDARI YETU,ILI TUONE KAMA NCHI IKIWA NDOGO INAPUNGUZA UKUBWA WA UMASKINI .hiyo sio sababu lesoto Ua swazland mbona ni maskin tu na vinchi vyao ni vidogo,naungana na wote walosema umaskin wa nchi unachangiwa na viongozi tulonao.

hivi kwa akili yako ya kawaida zanzibar na burundi ipi yenye maendeleo ??
 
Rwanda ni Rafiki mzuri wa Israel.

THINK
 
Back
Top Bottom