Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

Ukiingia kwenye kijiji chenye uongozi imara ni lazima uripoti kwa mwenyeki na uwaeleze umekuja kufanya nini, hata zamani serikali za mitaa ilikuwa hivyo

kwa hiyo udogo hauhusiki ??
hebu angalia nchi zilizoendelea asilinia kubwa ni vinchi vidogo vidogo kwa nini ??
 
vipo vinchi vidogo halafu hujavitaja kama sio upofu ni nini ??

Udogo Wa Nchi Si Sababu,ni Kiongozi Makini Ndo Kaifanya Rwanda Ifike Hapo Ilipo,si Goigoi Kama Kikwete,zipo Nchi Nyingi Duniani Ndogo Kama Rwanda Ila Ni Zi Hovyo Sana,mfano,Djibouti,Burundi,Comoro,Nauru,Benin,Gabon,Togo,Gambia,hizo Ni Kwa Uchache Au Bado Unaleta Ligi Mkuu?
 
rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
MO11 ni wewe kweli? tangu nikufahamu humu jf hili ni jibu la pumba namba moja, nakuomba ufute hii comment coz inakushushia hadhi.

alafu tafuta hii post "tofauti kat ya kagame na jk ni hii"
hapo utaelewa kwa nn rwanda imefikia hapo ilipo,
 
Last edited by a moderator:
sababu zipo nyingi mojawapo ni uzalendo na kuweka pembeni ubinafsi; next time usilete majibu mepesi kwa maswali magumu!

kwa nini kila kitu kizuri rwanda ?
jibu hili swali

kama mojawapo ni uzalendo mengine ni udogo wa nchi
nchi zote za ulaya ni ndogo na zote zipo vizuri kimaendeleo unafikiri kwa nini ??

barabara ya mwanza hadi mtwara ingetosha kuitapakaza lami rwanda nzima hadi chooni maghorofa ya dar na mwanza yangetosha kuifanya rwanda ndio nchi iliyoendelea zaidi Afrika
usafi wa Arusha ungeiona rwanda nzima safi

udogo wa nchi ya rwanda umesababisha hivyo
 
Udogo Wa Nchi Si Sababu,ni Kiongozi Makini Ndo Kaifanya Rwanda Ifike Hapo Ilipo,si Goigoi Kama Kikwete,zipo Nchi Nyingi Duniani Ndogo Kama Rwanda Ila Ni Zi Hovyo Sana,mfano,Djibouti,Burundi,Comoro,Nauru,Benin,Gabon,Togo,Gambia,hizo Ni Kwa Uchache Au Bado Unaleta Ligi Mkuu?

umasikini wa nchi za afrika unatokana na vita hizo zote ni kwa ajili ya vita
 
MO11 ni wewe kweli? tangu nikufahamu humu jf hili ni jibu la pumba namba moja, nakuomba ufute hii comment coz inakushushia hadhi.

alafu tafuta hii post "tofauti kat ya kagame na jk ni hii"
hapo utaelewa kwa nn rwanda imefikia hapo ilipo,

kiufupi kagame ni dikteta hataki upinzani anang'ang'ania madaraka haiwezekani miaka zaidi ya 15 yeye tu
hivi kugawa laptop kwa kila mwanafunzi hapa tanzania inawezekana ??
 
Last edited by a moderator:
kwa nini kila kitu kizuri rwanda ?
jibu hili swali

kama mojawapo ni uzalendo mengine ni udogo wa nchi
nchi zote za ulaya ni ndogo na zote zipo vizuri kimaendeleo unafikiri kwa nini ??

barabara ya mwanza hadi mtwara ingetosha kuitapakaza lami rwanda nzima hadi chooni maghorofa ya dar na mwanza yangetosha kuifanya rwanda ndio nchi iliyoendelea zaidi Afrika
usafi wa Arusha ungeiona rwanda nzima safi

udogo wa nchi ya rwanda umesababisha hivyo

unamuuliza nani maswali ya kitoto?
 
Ukiwa na chumba kimoja ni rahisi kukisafisha kila siku, tofauti na ukiwa na hekalu.
 
Nimekuwa najiuliza, iweje chochote kizuri inakuwa Rwanda ndio ya kwanza, mfano Gender equality Rwanda ndio ipo juu hata zaidi ya US, nchi yenye ajali za barabarani chache duniani mojawapo ni Rwanda, mji wenye usafi Afrika Kigali, nchi yenye mvuto wa uwekezaji ni Rwanda, nchi ya mwisho kwa rushwa East and Central Afrika ni Rwanda. Kuna mtu ameniambia kuwa sababu ni Rwanda ni nchi ndogo, lakini sio kweli kwani Burundi ni kubwa? Kwani Zanzibar ni kubwa? Kwa ujumla sithani kama kuna uhusiano kati ya udogo wa nchi na kuwa na mambo mazuri kwa karibu kila jambo. wadau labda ni kwanini mambo mazuri imekuwa Rwanda tu?

Sikubaliani na wewe bora ungesema kwa nini kila kitu kibaya kuhusu haki za binadamu na utawala bora ni Rwanda hapo tungechangia
 
Ukiwa na chumba kimoja ni rahisi kukisafisha kila siku, tofauti na ukiwa na hekalu.

mkuu bora umeliona hilo kuna watu hawaelewi ni rahisi kuitawala na kuiongoza rwanda kuliko Tanzania
kwa kutumia akili ya kuitawala rwanda ni vigumu kuitawala Tanzania
 
Wamepata kiongozi sahihi. Siyo kama huyu wa kwetu anasema ESCROW ni pesa ya IPTL lakini wakati huohuo anaruhusu mwanasheria wake ajiuzuru kwa kushauri malipo yasiyo sahihi

Hapo ndio watu wajue tuna rais bomu!
 
mkuu bora umeliona hilo kuna watu hawaelewi ni rahisi kuitawala na kuiongoza rwanda kuliko Tanzania
kwa kutumia akili ya kuitawala rwanda ni vigumu kuitawala Tanzania

Kumbe Burundi, Jamaica, Lesotho, Haiti, .......... ni mahekalu?
 
Ukiwa na chumba kimoja ni rahisi kukisafisha kila siku, tofauti na ukiwa na hekalu.

Huu ni mfano wa kijinga na wakitoto na wa kimbwa kuwahi kuushuhudia hapa jf!
 
kiufupi kagame ni dikteta hataki upinzani anang'ang'ania madaraka haiwezekani miaka zaidi ya 15 yeye tu
hivi kugawa laptop kwa kila mwanafunzi hapa tanzania inawezekana ??
Kweli ni dikteta lakini kazi yake inaonekana, hata gadafi alikua dikteta lakini watu wake hawakua kama walivo sasaivi,
bado Kagame ni kiongozi, huyu wa kwetu ni mtawala, MO11 futa ile kauli nakushauri, udogo wa nchi sio kigezo
 
Back
Top Bottom