Kwanini kauli za baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kwamba maisha yao yako hatarini zinaongezeka kila kukicha?

Wendawazimu tuu Mi naona, kutaka kupata sympathy ya wananchi bure bure na wengine kujizulia matukio ili mradi siasa zao ziende. Wanaleta "Vioja" badala ya " Hoja" by the way sasa hivi tunaanza kuzoea, matukio mabaya yote yanawakutaga wao tuuu, na anaelalamikiwa ni yule yule tuuu
Kabisa wabunge ni wao tu Tanzania.
 
Ni kweli wabunge wa cdm wako wengi, lakini wote wanaolalamika ni wale wanaokosoa kiwaziwazi yale mkulu asiyotaka kusikia. Sio hao wa cdm hata wa ccm wasiokosoa kwa woga mwenendo uliopo na wameshasema hata ndani ya bunge. Mfano Nape na Bashe. Sasa ulitegemea mbunge wa cdm anayechangia kwa maandishi au kukaa kimya kabisa, zaidi ya kuonekana wakati wa kutoka nje nani ana shida naye. Na hao ndio wanaotakiwa na utawala wa awamu hii. Awamu hii inataka aidha usifie au ukae kimya. Sio kinyume na hapo.

Wewe ulitegemea Zitto alie na wakati wanachama wake wawili wamepewa nafasi serekalini? Kinachomfanya Zitto naye alie ni ile tabia yake ya kuzaliwa kwamba ni mtu anayekosoa kwa hoja. Lakini kwa bahati mbaya yuko kwenye awamu isiyotakiwa kukosoa bila kujali una hoja kiasi gani. Kiufupi haitakiwa wananchi wakukubali zaidi yake. Sasa hivi Zitto naye akiona Nissan yoyote karibu yake anaweza kufa kwa mstuko.
Sio kweli kuwa ukiwa mkosoaji ndiyo wewe mpinzani wa kweli au unawindwa na serikali.

Hao wenye makosa na kesi mahakamani ni kwa makosa yao wenyewe.

Mbunge kama Pauline Gekul wa Babati mjini Chadema ni mpinzani mzuri sana ila ni mstaarabu ndiyo maana huluti mikononi mwa Polisi.
 
Hawa ni sawa na mtu aliekula mishkaki ya sh.500 lkn anatembea na stiki mdomoni mchana kutwa.
Je akila kuku wa kuchoma wa elf 15.!!!!!
Si atatembea na Kuni mdomoni siku nzima,,!!!!
 
Tatizo mmeshasahau yaliyomtokea lisu.
Nae alianza kusema hivi hivi.ila Lumumba mkaona anatafuta kiki.
Haya juzi tu lema gari lake limefunguliwa nati.
Kwanini wasiseme maisha yao yapo HATARINI KWA HALI HII?
 
Sasa kama wanatishiwa maisha wasiseme?! Nadhani ni vizuri wakisema ili jamii ijue kinachoendelea na hii ni nzuri cause inawapa shida wazee wa nissan nyeupe kutekeleza azma yao tena
 
..labda hoja zao zinamkera mtu fulani mwenye kipara.
0c342932bb45e222db33383daa549bb4.jpg
 
Sio kweli kuwa ukiwa mkosoaji ndiyo wewe mpinzani wa kweli au unawindwa na serikali.

Hao wenye makosa na kesi mahakamani ni kwa makosa yao wenyewe.

Mbunge kama Pauline Gekul wa Babati mjini Chadema ni mpinzani mzuri sana ila ni mstaarabu ndiyo maana huluti mikononi mwa Polisi.

Kwa mfano kilichokufanya ukaanzisha hii post ni kauli ya Nassari, je Nassari ana makosa gani zaidi ya ushahidi wa tendo la rushwa? Acheni kuleta ushabiki wa kijinga kushabikia ukatili kwa wabunge wa upinzani wanaokosoa uovu dhidi ya serekali. Leo mtashabikia wengine kufanyiwa ukatili, lakini mambo yakibadilika kukatoe upotevu wa amani ya nchi mjifanye mnakimbilia kuombea nchi amani. Unajifanya kuleta mada ya kejeli hapa jukwaani kisa upande unaoutetea unaona una haki ya kutokukosolewa au ukosolewe mnavyotaka nyie. Hata akina Iddi Amini walikuwa na watetezi na watumia kejeli kama ww. Acha kushabikia ukatili kwa wengine kisa itikadi ndugu.
 
Na cha ajabu hata mkuu naye anadai haogopi kupoteza maisha
 
Wanatafta hurma kwa wananchi...wanaona siku zinavokimbia speed na hawajafanya kitu....hao wanacheza na akili za wapiga kura wala hamna lolote.
 
Kuna kauli kuhusu baadhi ya Wabunge wa Chadema kuwa maisha yao kuwa rehemani na ni Mungu tu ndiyo anaowalinda kutokana na kwamba wako hatarini kuuwawa wakati wowote zinazidi kuongezeka kila siku?

Lengo lao ni nini Wabunge hawa? Mbona Chadema ina Wabunge wengi tu tena watoa hoja wazuri tu Bungeni lakini hata siku moja huwezi kusikia eti wanatoa kauli kuwa maisha yao yako hatarini?

Lakini wapo baadhi wao ni kila siku wanatishia kuuawa tu... shida yao nini hawa!?
Tuulize wa Uganda kwanza ambao wenzano wamepelekwa kusikojulikana na polisi na wengine wamevurumishiwa mabomu majumbani. Ya Uganda hayana tofauti na Bongo sababu watu ni wale wale, akili zile zile na matokeo yatakuwa yale yale.
 
Wendawazimu tuu Mi naona, kutaka kupata sympathy ya wananchi bure bure na wengine kujizulia matukio ili mradi siasa zao ziende. Wanaleta "Vioja" badala ya " Hoja" by the way sasa hivi tunaanza kuzoea, matukio mabaya yote yanawakutaga wao tuuu, na anaelalamikiwa ni yule yule tuuu
Hata Lisu hajapona mnajifanya hamjui sababu.
 
Ukiona hivo tafsiri yake haya mambo ya kutishana na kuwindana yanazidi kuongezeka
 
Kuna kauli kuhusu baadhi ya Wabunge wa Chadema kuwa maisha yao kuwa rehemani na ni Mungu tu ndiyo anaowalinda kutokana na kwamba wako hatarini kuuwawa wakati wowote zinazidi kuongezeka kila siku?

Lengo lao ni nini Wabunge hawa? Mbona Chadema ina Wabunge wengi tu tena watoa hoja wazuri tu Bungeni lakini hata siku moja huwezi kusikia eti wanatoa kauli kuwa maisha yao yako hatarini?

Lakini wapo baadhi wao ni kila siku wanatishia kuuawa tu... shida yao nini hawa!?
Zito,Nape,Msukuma na Bashe nao wamehamia chadema?
Wote wenye kulalamika wana/wame criticize serekali waziwazi.
 
Back
Top Bottom