tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kuna kauli kuhusu baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kuwa maisha yao kuwa rehani na ni Mungu tu ndiyo anaowalinda kutokana na kwamba wako hatarini kuuwawa wakati wowote zinazidi kuongezeka kila siku?
Lengo lao ni nini Wabunge hawa? Mbona CHADEMA ina Wabunge wengi tu tena watoa hoja wazuri tu Bungeni lakini hata siku moja huwezi kusikia eti wanatoa kauli kuwa maisha yao yako hatarini?
Lakini wapo baadhi wao ni kila siku wanatishia kuuawa tu... shida yao nini hawa!?
Lengo lao ni nini Wabunge hawa? Mbona CHADEMA ina Wabunge wengi tu tena watoa hoja wazuri tu Bungeni lakini hata siku moja huwezi kusikia eti wanatoa kauli kuwa maisha yao yako hatarini?
Lakini wapo baadhi wao ni kila siku wanatishia kuuawa tu... shida yao nini hawa!?