maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
Hili suala linanipa taabu sana la mwaka mpya. Kwa mfano mimi Mkatoliki mwaka wa Kanisa unaanza mwezi wa kumi na moja lakini siku ya mwaka mpya wa tarehe moja January linasherekea pia usiku na asubuhi kuna misa.
Kwanini lisifanye hilo kwenye mwaka wa kanisa ambao unaanza mwezi wa kumi na moja?
Hebu mnitoe matongotongo
Kwanini lisifanye hilo kwenye mwaka wa kanisa ambao unaanza mwezi wa kumi na moja?
Hebu mnitoe matongotongo