Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Msibametrics.
Siku hizi jamii inahamasika kwa wingi na kasi kubwa kuchangia misiba kuliko kuchangia matibabu (ugonjwa).
Hii ni kwa sababu misiba ni fursa ya kibiashara na watu wanasaka fursa.
Fursa za kwenye msiba:-
1. Upishi.
2. Maji.
3. Umeme (wiring).
4. Viti, meza, turubai, maliwato ya kuhamishika.
5. Nishati ya kuni/mkaa.
6. Kukodi vyombo vya chakula.
7. Muziki.
8. MC na DJ.
9. Jeneza.
10. Magari na ndege.
11. Casket Lowering Belt (Mkanda wa kushusha jeneza kaburini).
12. Camera.
13. Catering staffs.
14. Wachimba na wajenga kaburi.
15. Wajenga nyumba (msonge) wa marehemu.
16. Watumishi wa kulipwa (Paid Pastors (Freelancers)).
17. Waliaji wa kukodi.
18. Mifugo na nafaka.
19. Vinywaji.
20. Guest house, boarding and lodging.
21. Mapambo.
22. Mashada na maua.
23. Gharama za Mochuari.
24. Tozo za RITA.
25. Gharama za Mashahidi wa Mirathi.
26. Printers wa fulana (T-shirts).
27. Studio ya ku-develop picha kubwa.
28. Washona (wauzaji) sare za dera.
29. Gari la Polisi lenye king'ora kusafisha njia.
30. Vijana wa itifaki ya misiba wanaovalia suti nyeusi kubeba jeneza.
31. Matangazo ya vifo redioni.
32. Wapigaji (Mafisadi wa rambirambi).
33. Mnaniachaje watu wa mjini najuwa sasa mnaondoka kurejea mjini.
Fursa za Ugonjwa:-
1. Daktari.
2. Muuguzi.
3. Fundi Maabara.
4. Mfamasia.
Full stop.
Msiba una fursa 33 za kutengeneza faida.
Msiba una fursa zaidi ya 50 za ajira za msibani tu.
Ugonjwa una fursa 4 tu za ajira na za kutengeneza faida.
NB.
Watoa rambirambi lazima wawe wengi kuliko wachangia ankara za matibabu.
Muhtasari/Summary.
Msiba una fursa 33 za kutengeneza ela na ajira zaidi ya 50 za papo kwa hapo na za kudumu kwenye vikundi vya kuhudumia misiba.
Ugonjwa una fursa 4 tu za kutengeneza ela na ajira mpya 0.
Watu wanapenda kwenye fursa nyingi kuliko kwenye fursa chache.
Hivyo inabidi wachangia misiba (rambirambi) wawe wengi kuliko wachangia matibabu.
Ugonjwa una Bima msiba hauna. Yale maandishi yanayopambwa kwa maua freshi herufi 1 tu ni Tshs.50,000 bei ya punguzo.
Wachangia misiba wana uhakika wa kujirudishia michango yao na faida kubwa juu lakini wachangia matibabu hawawezi kurudisha hata senti 0 (kiendacho kwa tabibu na nesi hakirudi).
Hivyo watu wanakwepa kuchangia matibabu ya mgonjwa ili kwamba asipone ili wapate zile fursa 33 za msiba ambazo zina ela ndefu ambazo hazina auditing (ukaguzi) wala kuvunja Kamati.
Asomaye na afahamu.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Tujadili.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Siku hizi jamii inahamasika kwa wingi na kasi kubwa kuchangia misiba kuliko kuchangia matibabu (ugonjwa).
Hii ni kwa sababu misiba ni fursa ya kibiashara na watu wanasaka fursa.
Fursa za kwenye msiba:-
1. Upishi.
2. Maji.
3. Umeme (wiring).
4. Viti, meza, turubai, maliwato ya kuhamishika.
5. Nishati ya kuni/mkaa.
6. Kukodi vyombo vya chakula.
7. Muziki.
8. MC na DJ.
9. Jeneza.
10. Magari na ndege.
11. Casket Lowering Belt (Mkanda wa kushusha jeneza kaburini).
12. Camera.
13. Catering staffs.
14. Wachimba na wajenga kaburi.
15. Wajenga nyumba (msonge) wa marehemu.
16. Watumishi wa kulipwa (Paid Pastors (Freelancers)).
17. Waliaji wa kukodi.
18. Mifugo na nafaka.
19. Vinywaji.
20. Guest house, boarding and lodging.
21. Mapambo.
22. Mashada na maua.
23. Gharama za Mochuari.
24. Tozo za RITA.
25. Gharama za Mashahidi wa Mirathi.
26. Printers wa fulana (T-shirts).
27. Studio ya ku-develop picha kubwa.
28. Washona (wauzaji) sare za dera.
29. Gari la Polisi lenye king'ora kusafisha njia.
30. Vijana wa itifaki ya misiba wanaovalia suti nyeusi kubeba jeneza.
31. Matangazo ya vifo redioni.
32. Wapigaji (Mafisadi wa rambirambi).
33. Mnaniachaje watu wa mjini najuwa sasa mnaondoka kurejea mjini.
Fursa za Ugonjwa:-
1. Daktari.
2. Muuguzi.
3. Fundi Maabara.
4. Mfamasia.
Full stop.
Msiba una fursa 33 za kutengeneza faida.
Msiba una fursa zaidi ya 50 za ajira za msibani tu.
Ugonjwa una fursa 4 tu za ajira na za kutengeneza faida.
NB.
Watoa rambirambi lazima wawe wengi kuliko wachangia ankara za matibabu.
Muhtasari/Summary.
Msiba una fursa 33 za kutengeneza ela na ajira zaidi ya 50 za papo kwa hapo na za kudumu kwenye vikundi vya kuhudumia misiba.
Ugonjwa una fursa 4 tu za kutengeneza ela na ajira mpya 0.
Watu wanapenda kwenye fursa nyingi kuliko kwenye fursa chache.
Hivyo inabidi wachangia misiba (rambirambi) wawe wengi kuliko wachangia matibabu.
Ugonjwa una Bima msiba hauna. Yale maandishi yanayopambwa kwa maua freshi herufi 1 tu ni Tshs.50,000 bei ya punguzo.
Wachangia misiba wana uhakika wa kujirudishia michango yao na faida kubwa juu lakini wachangia matibabu hawawezi kurudisha hata senti 0 (kiendacho kwa tabibu na nesi hakirudi).
Hivyo watu wanakwepa kuchangia matibabu ya mgonjwa ili kwamba asipone ili wapate zile fursa 33 za msiba ambazo zina ela ndefu ambazo hazina auditing (ukaguzi) wala kuvunja Kamati.
Asomaye na afahamu.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Tujadili.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app