Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 9,420
- 28,197
Mshahara haujawahi kutosha
Hakuna tajiri aliyeajiriwa
Hakuna tajiri aliyeajiriwa
🤣🤣Sema nao madaktari baada ya makato wanarudi nyumbani na 800k+
Ukweli mchungu sana huuWaalimu ndio kada inayopendelewa kuliko wengine ila hamjui tu. Mishahara yenu wala sio midogo ni sawa na watumishi wengine tu hakuna tofauti. Nyinyi mna ziada ya yafuatayo
1. Kazi zenu zinaisha saa nane na nusu na wengine wanakula kona kabla hata ya muda huo,
2. Mna likizo kama nne hivi kwa mwaka pale shule zinapofungwa mnakuwa na muda wa kutosha kufanya mambo yenu
3. Sawa hamna posho nyingi lakini kuna kusimamia mitihani, kusahihisha mitihani, kusimamia uchaguzi za serikali, mambo ya sensa na hizi zote mnalipwa
Tatizo lenu waalimu mnakopa sana, unakuta mtu yuko vikoba 3 vyote kakopa, kakopa bank, au hizi microfinance yaani ni shida. ukiwa unakopa lazima utaona mshahara mdogo sababu ya makato
Wakiwa na maisha mazuri hasira za kuchapa watoto ovyo watazitoa wapi?Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Shangazi naomba hela, najua mshahara umeshatoka.Kada zilizo chini ya tamisemi nying mshahara ni sawa Kwa ngazi zote kuanzia certificate had diploma had degree Kuna wengine ni za chini Zaid labda afya ndio kidogo Wana unafuu
Hao wote wakiwa chini ya Serikali za mitaa wanaanzia TGSS E. Daraja moja mbele ya Walimu, mazingira, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Ushirika n.kAfya, Eng/ujenzi/miundombinu/maji....
Nilishajibu mwanzo hapo mwalimu shahada ni tgts D na kama kada zingine ukiondoa nilizotaja n.k ...naona umerudi na Jibu lilelile Sasa sijui ilikuwa haujaelewa au umejazia hoja nyama.Hao wote wakiwa chini ya Serikali za mitaa wanaanzia TGSS E. Daraja moja mbele ya Walimu, mazingira, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Ushirika n.k
Aunt marejesho yanatak kuniuaShangazi naomba hela, najua mshahara umeshatoka.
Seriously.
Shangazii nawee una marejeshoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aunt marejesho yanatak kuniua
Mwalimu hazalishi chochote aliwai kunukuliwa kada mmoja mashuhuri wa CCM Taifa.Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Mwalimu wa grade A, diploma, degree, tutorial assnt, lecturer n.kIvi mnajua kwamba taller wa bank analipwa hela ndogo kuliko mwalim wa degree?? Tena yule mwalim anayeanza
🏃♀️Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Mmmmh Teller analipwa shingapiIvi mnajua kwamba taller wa bank analipwa hela ndogo kuliko mwalim wa degree?? Tena yule mwalim anayeanza
Shangazi nilikopa hapa nasikia kulia Kila mda 😂😂😂Shangazii nawee una marejeshoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinitaniee. Uwiiiiih
Halafu una watoto wawili wanasoma EM. Each 2m.Mimi ni mwalimu nakunja 1.2,take home
nyingi sana, tena asiwaringanishe na waalimu, wana mshahara wa kawaida hata mwalimu anawazidi, but wana fursa zinazowabeba sana, kama kuachiwa vitip tip kibao na customers, mdogo angu ni teller, anakwambia per day sometimes anaweza kuondoka hata na 500k tips tu, sasa jiulize anakusanya sh napi mwezi mzima? sababu pia ye ni teller wa kudeal na watu wazitoHuyo teller ana fursa ya kukopa benki na akarudisha bila riba ..mwalimu vipi akope chaki!?? Unajua fursa wanazozipata hao watu wa benki!??