Kwanini Joseph Kasheku (Msukuma) anadharau wasomi?

Kwanini Joseph Kasheku (Msukuma) anadharau wasomi?

Msukuma anaponda elimu ya kibongo ila hapondi unachokiandika maana vyote hivo havijatengenezwa na elimu hii ya kukariri matundu ya panzi.

ni ukweli ulio uchi elimu ya kibongo ni ya hovyo sana, hawa tunaowaita wasomi ndo wametufikisha hapa kama taifa kwa zaidi ya miaka 50. Msomi wa kibongo hana uelewa wowte na hawezi kubuni chochote zaidi zaidi kukariri tu yale madude ya kwenye karatasi.. hii elimu yetu imelisadia nn taifa hili?

Namuunga mkono msukuma kwasababu yeye hajasoma lkn ni tajiri,je ww msomi una nini cha maana zaidi ya kende?

Uzi ufungwe
 
Msukuma anaponda elimu ya kibongo ila hapondi unachokiandika maana vyote hivo havijatengenezwa na elimu hii ya kukariri matundu ya panzi.

ni ukweli ulio uchi elimu ya kibongo ni ya hovyo sana, hawa tunaowaita wasomi ndo wametufikisha hapa kama taifa kwa zaidi ya miaka 50. Msomi wa kibongo hana uelewa wowte na hawezi kubuni chochote zaidi zaidi kukariri tu yale madude ya kwenye karatasi.. hii elimu yetu imelisadia nn taifa hili?

Namuunga mkono msukuma kwasababu yeye hajasoma lkn ni tajiri,je ww msomi una nini cha maana zaidi ya kende?
Nakuungaa mkono
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Yanayofanywa na hao wasomi ndio yanawafanya wadharaulike, hata mie nadharau sana wasomi wetu!
Kuna mtu aliwahi kusema. Aliokotwa jalalani imagine udsmnij jalala na wasomi walikaa kimya
 
Wasomi wote tanzania ni vilaza wengine tu hawa wasome sindio wanakimbizana na rushwa za wamachinga na tozo ya machinga kariako uwo ndio usomi walio nao
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Wasuku........... Ni washamba!?!period
 
Ukweli ulio mchungu ni kwamba wasomi wengi wa nchi hii hatuoni thamani ya usomi wao sababu kubwa n kutumika kisiasa,mfano hai ni kabudi wa kipindi cha mwendazake.
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Wasomi ni watu waliostaarabika kua na maarifa kwa maana ya wazungu lkn hawa wenye ngozi ya laana yaani watu weusi hakuna msomi hta mmoja
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
walioyafanya hayo yote uliyoyataja hayafanywi na wasomi .yanafanywa na wenye vipaji na akili.usomi ni kukulilishwa.akili ni kipaji ukiongezea elimu unapata elimu.
 
Hao wasomi walioko bungeni na huyo msukuma wana tofauti gani???
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Anadharau wasomi sababu hawana pesa kama yeye na hao wasomi wameshindwa kuonyesha usomi wao na wamefanya siasa kama ajira, wakati Musukuma siasa ni kijiwe chake cha kupiga dili za kitapeli, kutokana na jeuri yake hata mawaziri wanamuogopa, jeuri yake ya pesa inamfanya apate vibali mbalimbali kama vya kuagiza au kuuza michele nje, kupata viwanja vya kujenga apartments sehemu azitakazo kutoka kwa watawala ambao wanamuogopa kwa kuhusu kuwa anaweza kuwa blackmail. Musukuma ana ukwasi mkubwa wa pesa lakini sidhani kama analipa kodi. Musukuma ni mhuni tu ila ni mjanja wa kujigeuza, huyu mwanzoni wakati wa kinyang'ang'anyiro cha kumpata raisi alikuwa kundi la Lowasa akiwa na akiwa na akina Kingunge ,Tibaijuka,Awesu na nakumbuka wakati wa mkutano wa Lowasa uwanja wa Sheikh Amri Abeidalikuwa wa mwisho kufika na akashuka na helicopter uwanjani, lakini baada ya kuona upepo umebadirika akjigeuza na kuwa mfuasi kindakindaki wa Jiwe na baada ya Jiwe kutwaliwa kageuka chawa wa mama! Huyo ndio Musukuma yeye yupo kuchumia tumbo lake.
 
Na idadi kubwa ya hao wasomi anaowadharau Kasheku ndo hawa ambao walisomaga special schools kipindi hiko
Ni dhahiri generation ya 60s 70s mmejaa upigaji sana na ujuaji na mmerithisha kwa vijana pia
 
Msukuma yapaswa akemwwe mana kuwadharau wasomi ni hatari sana haina afya japo yawezekana ana nia njema lakini atafute namna ya kuwasilisha ujumbe
Unajiita kabisa Doctor MD afu unaandika utumbo kama huu,then Msukuma asiwatukane,wewe nae ni mmoja wao[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Alafu anakaa na kuchangia hoja na wasomi, posho wanapewa sawa, kwanini dharau isiwepo, kweli mjini mipango.
Hapo ndio utagundua Elimu ya Tanzania haina thamani, mambo wanayo ongea na kufanya wasomi wa uswahilini hapa ni afadhali ya ambao hawajasoma
 
Ka.a Wasomi wenyewe ndio hawa kina Lameck Madelu nchemba na kina February Makamba utaachaje kuwadharau wasomi??
 
Kwa sababu wanaoongoza kulitumbukiza taifa shimoni ni wasomi. Yaani wamesoma lakini elimu zao hazisaidii taifa zaidi kuangalia 10%
 
Wasomi wengi vilaza katika kuongoza
Majizi
Au wizi wa kijinga
Hawana logic baadhi ya project zao

Na wakiluzwa wanakosa majibu
Ila kuna ukweli hapa... Mfanyabiashara wa Kariakoo aliwauliza Waheshimiwa ktk KIKAO chao na WM kwa nini Mashuka yanashukia UGANDA, na Watanzania wanayafata UG?
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Mstari wa mwisho umekaa ki hiphop sana.
 
Back
Top Bottom