Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,064
- 2,301
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.
Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.
Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.
Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.
Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.
Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.
Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?
Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.
Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.
Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.
Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.
Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.
Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?
Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.