Kwanini Joseph Kasheku (Msukuma) anadharau wasomi?

Congo

JF-Expert Member
Mar 13, 2008
2,064
2,301
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomi kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Waliotoa maoni yale hawakusema lisijengwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini?

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomo kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Walitoka maoni yyale hawakusema lisije gwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini.

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.

Unauliza majibu?

IMG_20210806_053407_437.jpg


Labda ungeuliza maswali.
 
Bungeni anaongea. Anadharau wasomi. Wasomi waliopo Bungeni wanashindwa kumjibu, tena anawatisha.

Anasahau kuwa akiugua anatibiwa na wasomi, magari yake yote yametengenezwa na wasomi, SGR inajengwa na wasomi ndio maana mabehewa yatembea kwenye reli bila kuanguka, umeme unasambazwa na wasomi, bararaba zinajengwa na wasomi.

Na kadhalika na kadhalika. Kila kitu cha kusomo kina taratibu zake. Anataka zisifuatwe.

Wasomi walioko Bungeni wanashindwa kumwambia haya.

Anataka nchi iendeshwe kwa matamko na mitulinga. Hata hiyo mitulinga inahitaji wasomi kuitekeleza.

Bwawa la Nyerere, pamoja na kutolewa maoni kuwa litaathiri mazingira. Walitoka maoni yyale hawakusema lisije gwe.

Yalikuwa maoni ya kisomi. Linajengwa na wasomi. MSUKUMA anataka nini.

Anasema yeye darasa la 7 lakini katamani usomi mpaka amenunua PHD.
Msukuma anaponda elimu ya kibongo ila hapondi unachokiandika maana vyote hivo havijatengenezwa na elimu hii ya kukariri matundu ya panzi.

ni ukweli ulio uchi elimu ya kibongo ni ya hovyo sana, hawa tunaowaita wasomi ndo wametufikisha hapa kama taifa kwa zaidi ya miaka 50. Msomi wa kibongo hana uelewa wowte na hawezi kubuni chochote zaidi zaidi kukariri tu yale madude ya kwenye karatasi.. hii elimu yetu imelisadia nn taifa hili?

Namuunga mkono msukuma kwasababu yeye hajasoma lkn ni tajiri,je ww msomi una nini cha maana zaidi ya kende?
 
Tatizo wasomi wanataka kutambulika kwa usomi wao wa kukariri maandishi na theory kuwa ndio taaluma, elimu ya Tanzania haina inachomsaidia mtanzania kabisa...kiufupi ni kupoteza muda huko kunakoitwa shuleni to vyuoni...watu hawajifunzi vitu vinavyohitajika katika mazingira yao ya kileo...ila kumezeshwa majitu mengi ya hovyo yasiyokuwa na uhalisia wa maisha ya leo...hawawezi kutatua changamoto za leo halafu wanataka kuheshimiwa....kwa lipi hasa....inachukiza...namuunga mkono mdau.
 
Tatizo wasomi wanataka kutambulika kwa usomi wao wa kukariri maandishi na theory kuwa ndio taaluma, elimu ya Tanzania haina inachomsaidia kabisa...kiufupi ni kupoteza muda huko kunakoitwa shuleni to vyuoni...watu hawajifunzi vitu vinavyohitajika katika mazingira yao ya kileo...ila kumezeshwa majitu mengi ya hovyo yasiyokuwa na uhalisia wa maisha ya leo...hawawezi kutatua changamoto za leo halafu wanataka kuheshimiwa....kwa lipi hasa....inachukiza...namuunga mkono mdau.
Ni Kweli kabisa
 
Tatizo wasomi wanataka kutambulika kwa usomi wao wa kukariri maandishi na theory kuwa ndio taaluma, elimu ya Tanzania haina inachomsaidia kabisa...kiufupi ni kupoteza muda huko kunakoitwa shuleni to vyuoni...watu hawajifunzi vitu vinavyohitajika katika mazingira yao ya kileo...ila kumezeshwa majitu mengi ya hovyo yasiyokuwa na uhalisia wa maisha ya leo...hawawezi kutatua changamoto za leo halafu wanataka kuheshimiwa....kwa lipi hasa....inachukiza...namuunga mkono mdau.
Kwa hiyo watoto wasipelekwe shule. Hii miundombinu imejengwa na nani? Na tunguli?
 
Wanamdekeza, ajitokeze msomi mmoja amjibu aache kudharau wasomi, la sivyo apigwe pin, amezidi sana kudharau wasomi wakati yuko bungeni kwa kazi zinazofanywa na wasomi
 
Back
Top Bottom