Kwanini John Cheyo hakujiunga na UKAWA?

Kwanini John Cheyo hakujiunga na UKAWA?

Ukiona KUBWA JINGA wa ccm kama jingalao anamsifu mwanasiasa wa chama kingine ujue ccm wameshamnunua na anawatumikia
 
Last edited by a moderator:
Cheyo John Momose hana analoliwaza zaidi ya kuingia bungeni kwa huruma ya CCM kwa maslahi ya tumbo lake
 
Ana akili sana yule mzee sio mbumbumbu km hao wengine. aliusoma mchezo mapema akaona kuna biashara inafanyika then yeye hana masirahi yoyote
 
Nahisi amekata tamaa.
Pia kuna tetesi yeye ni muumini wa CCM.
 
Haya ndo maajabu ya siasa yaani ccm kumsifia mpinzani?kuna kitu hapa nampenda Lipumba kwa ukimya wake kuna siku heshima yake itarudi na akjiunga na wenzake
 
Cheyo alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge inayo simamia serikali za mitaa... Hii ni kamati inayosimamia pesa nyingi sana za bajeti ya nchi....Pesa nyingi za bajeti zinaliwa kwenye serikali za mitaa na hakuna kelele wala taarifa ya maana kutoka kwa mwenyekiti...aliamua kula na kipofu kama Hamad Rashid

wote hawatarudi mjengoni hawa
 
Back
Top Bottom