funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Muda ni kitu muhimu sana na msemo wa waswahili kuwa 'subira yavuta heri' ni msemo mkongwe na unaendelea kuelezea hali ya mambo katika maisha yetu ya sasa na yajayo.
Kuna kipindi nilikuwa namuona mzee Cheyo ni msanii katika upinzani kumbe sikuwa sahihi, John Cheyo ni mwanasiasa mkongwe na ameshika nyadhfa zenye kumuwezesha kujua mbaya na nzuri.
Cheyo hakujiunga na UKAWA pamoja na shinkizo kutoka kwa wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, Cheyo hakueleweka na wala hakusema sababu za kutojiunga na genge la UKAWA, kwa nini basi Cheyo hakujiunga na UKAWA kama alivyofanya MAKAIDI?
JE ni busara tu ama ni kuona kile kilichokuwa kikiendelea ndani ya UKAWA? Tumpe heshima ya uzalendo au usaliti?
Kuna kipindi nilikuwa namuona mzee Cheyo ni msanii katika upinzani kumbe sikuwa sahihi, John Cheyo ni mwanasiasa mkongwe na ameshika nyadhfa zenye kumuwezesha kujua mbaya na nzuri.
Cheyo hakujiunga na UKAWA pamoja na shinkizo kutoka kwa wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, Cheyo hakueleweka na wala hakusema sababu za kutojiunga na genge la UKAWA, kwa nini basi Cheyo hakujiunga na UKAWA kama alivyofanya MAKAIDI?
JE ni busara tu ama ni kuona kile kilichokuwa kikiendelea ndani ya UKAWA? Tumpe heshima ya uzalendo au usaliti?