Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
Busara +hekima zimetumika hongera mkuuNaona mimi na wewe hatuwezi kuelewana hapa.
Yamekwisha.
Kheri ya Mwaka Mpya
Her ya mwaka mpya kwako na familia yako
Busara +hekima zimetumika hongera mkuuNaona mimi na wewe hatuwezi kuelewana hapa.
Yamekwisha.
Kheri ya Mwaka Mpya
Mwaka mpya ni mmoja tu ambao leo ndio tarehe 1 January, 2017 hao wengine wamebakia kufanya maigizo ya mwaka mpya wao, mfano hao sijui waislam waulize leo lini watakwambia jumapili, hao wachina hivyo hivyo,ukitaka kujua mambo haya ujue mwaka mpya ni wa kikristro unakwenda sawa na ratiba ya kikristo kwa kuwa mambo mengi duniani yanafanyika kwa ratiba ya kikristo, leo hii ukiagiza gari china invoice pamoja na tarehe ina reflect mwaka wa kikristo, wewe kama muislam jifanye unafuata mwaka wa kiislam kama utafaulu hesabu za probability zinazotaka tarehe ujue january ina siku ngapi mpaka decemberNi utaratibu tu.
Ndio maana sisi WAISLAM tuna kalenda yetu.
WACHINA wana Mwaka mpya wao.
WAETHIOPIA wana Mwaka mpya wao.
Hapo juu ni mifano michache tu niliyoitaja.
Kwahiyo usijiumize kichwa
Kuna nchi nyingi duniani,hazifuati kalenda hiyo,unayoita ya kikatoliki,wakati sio kalenda ya kikatoliki,ni kalenda ya kawaida tu.Pamoja na kuwa na kalenda yenu, ila ni kama mfu, dunia nzima haifui dafu mbele ya Kalenda ya Kikatoliki(Gregorian.Calender)
Happy New Year of the Lord 2017
her ya mwaka mpyaPamoja na kuwa na kalenda yenu, ila ni kama mfu, dunia nzima haifui dafu mbele ya Kalenda ya Kikatoliki(Gregorian.Calender)
Happy New Year of the Lord 2017
Mwaka mpya ni mmoja tu ambao leo ndio tarehe 1 January, 2017 hao wengine wamebakia kufanya maigizo ya mwaka mpya wao, mfano hao sijui waislam waulize leo lini watakwambia jumapili, hao wachina hivyo hivyo,ukitaka kujua mambo haya ujue mwaka mpya ni wa kikristro unakwenda sawa na ratiba ya kikristo kwa kuwa mambo mengi duniani yanafanyika kwa ratiba ya kikristo, leo hii ukiagiza gari china invoice pamoja na tarehe ina reflect mwaka wa kikristo, wewe kama muislam jifanye unafuata mwaka wa kiislam kama utafaulu hesabu za probability zinazotaka tarehe ujue january ina siku ngapi mpaka december
AmenKwa mwaka huu tumtumikie Mungu na watoto wetu KUT 10:24.......Ni mwaka wa mabadiliko kiroho.Tumtumikie Mungu na vitu vyetu
Tulikuwa wote hewani wakati tunafanya mazungumzo.Kwasababu ulisema kila kitu ndo maana nikahoji
Kuhusu kuchelewa kujibu siwezi kuwa online masaa 24 shemeji yako hapendi....!
Ahsante sana Kiongozi.Busara +hekima zimetumika hongera mkuu
Her ya mwaka mpya kwako na familia yako
Kheri ya Mwaka MpyaMwaka mpya ni mmoja tu ambao leo ndio tarehe 1 January, 2017 hao wengine wamebakia kufanya maigizo ya mwaka mpya wao, mfano hao sijui waislam waulize leo lini watakwambia jumapili, hao wachina hivyo hivyo,ukitaka kujua mambo haya ujue mwaka mpya ni wa kikristro unakwenda sawa na ratiba ya kikristo kwa kuwa mambo mengi duniani yanafanyika kwa ratiba ya kikristo, leo hii ukiagiza gari china invoice pamoja na tarehe ina reflect mwaka wa kikristo, wewe kama muislam jifanye unafuata mwaka wa kiislam kama utafaulu hesabu za probability zinazotaka tarehe ujue january ina siku ngapi mpaka december
Duh! Kweli umenikomalia! nisamehe mkuu HARUFU sitarudia tena naapa akya Mungu kwa jina la Yesu.....!Tulikuwa wote hewani wakati tunafanya mazungumzo.
Na nilimaanisha kwa kipindi kile tulichokuwepo pamoja.
Haihusiani na kuwepo masaa Ishirini na Manne (24).
Na mpaka nilipotupia hiyo uliyonijibu, ulikuwepo kwa nusu saa mbele kabla ya kutoka na hukujibu, kwanini uje kujibu saa Mbili na Dakika kumi na moja asubuhi (8:11 AM)?