HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
LoloteKama lipi....?!
LoloteKama lipi....?!
Ni Kheri tu, jambo la hovyo halihusiki hapo.Hata kama ni la hovyo hovyo tu..!?
Kwasababu ulisema kila kitu ndo maana nikahojiNi Kheri tu, jambo la hovyo halihusiki hapo.
Ukishaona Ubarikiwe, ujue hapo ni Kheri tu.
Halafu jitahidi kuwa mwepesi unapotaka mazungumzo, sio unachukua muda mrefu kujibu
Mhtime cannot me messured we fata tu kitu mzungu kakuambia, usihoji sana
Yani hapa ndipo ulipofumbwa macho, bibilia ina miezi yake na miaka yake tofauti na hii ya gregorian. Soma vzr bibiliaPamoja na kuwa na kalenda yenu, ila ni kama mfu, dunia nzima haifui dafu mbele ya Kalenda ya Kikatoliki(Gregorian.Calender)
Happy New Year of the Lord 2017
So What!!!Yani hapa ndipo ulipofumbwa macho, bibilia ina miezi yake na miaka yake tofauti na hii ya gregorian. Soma vzr bibilia
Halafu hebu nitajie hiyo miezi..?Yani hapa ndipo ulipofumbwa macho, bibilia ina miezi yake na miaka yake tofauti na hii ya gregorian. Soma vzr bibilia
huu mwaka nimeuanza vizuriKwasababu ulisema kila kitu ndo maana nikahoji
Kuhusu kuchelewa kujibu siwezi kuwa online masaa 24 shemeji yako hapendi....!
Pole kwakutoona umhimu wa shereheMm sion logic yoyote ya mivisherehe ya namna hii sema bas nimezungukwa na watu hawashirikish ubongo kwenye maisha yao
Tulia . soma ...Fikiria... ReplyKama wachina wana mwaka mpya wao huu mwaka mpya wa Leo ni wa watanzania sio?