johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Huu utaratibu wa Israel kuushambulia na kuuwa familia za Viongozi wa Adui zake imeshika Kasi sana
Israel asipokemewa sasa Tabia hii itaota Mizizi na kuenea duniani kote
Israel aambiwe hili siyo sehemu ya kujilinda, Wajukuu wa Viongozi wataanza kuishi kwa hofu
Nawasilisha 🐼
Israel asipokemewa sasa Tabia hii itaota Mizizi na kuenea duniani kote
Israel aambiwe hili siyo sehemu ya kujilinda, Wajukuu wa Viongozi wataanza kuishi kwa hofu
Nawasilisha 🐼