Kwanini ipo hivi?

Kwanini ipo hivi?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.

Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.


Msada tafadhali.

Thanx for your advice.
 
1423320118827.jpg
 
Aliyekwambia wanaoolewa sio wazuri nani??? Emu fuata ushauri wa ndugu utafiti hapo
 
Last edited by a moderator:
hv kwann wanalewa awana shep wala sura? mfn rafk zng co wazur wala nn lakin wanaolewa. mm nna shep na sura nawasnda wote lakin mbona colew cdum na wanamme? msada tafazal. wengne wasema nmelogwa et inaeza kua kwel jaman? msada


thanx n advnc
Moja, Jifunze kuandika Kiswahili kilichonyooka kama Mtu mzima aliefikia umri wa kuolewa,

**Hili si jukwaa la watoto kama uandishi wako unavyoonyesha.

Pili, Ndoa haihusiani na Shepu wala Umbo, Chunguza Tabia na Mwenendo wako.
 
Aliyekwambia sura na shape ndio uzuri nani??????
Kama ndo akili yako umeijenga hivyo utaishia kuvaa sare na kucheza kwaito kwenye harusi za shoga zako, uzuri wa mwanamke ni zaidi ya huo uzuri wako unaodai wa nje.
 
hebu ni pm namba yako kwanza
 
inawezekana wewe unajiona mzuri kumbe sio, una rise invoice kubwa kwa wanaume ukidhania kwamba wewe ni mzuri una vigezo vya kupewa kila kitu kumbe wapi maana hata huo uandishi wako umenitia mashaka ebu jichunguze tena then urudi kwa hao marafiki zako unaowaona unawazidi uzuri uwaombe ushauri ni vipi wao wameolewa wanaweza kukupa ushauri mzuri...
 
Uandishi wako sijaupenda kabisaa.Ila kuwa na shape na uzuri sio kigezo cha kuolewa.Je una tabia nzuri?Au wewe hauambiliki kisa wewe mzuri na una shape.Wanaume wanaangalia vitu vingi kabla hawajaoa so jichunguze kwanza wapi unacheza rafu na urekebishe
 
hv kwann wanalewa awana shep wala sura? mfn rafk zng co wazur wala nn lakin wanaolewa. mm nna shep na sura nawasnda wote lakin mbona colew cdum na wanamme? msada tafazal. wengne wasema nmelogwa et inaeza kua kwel jaman? msada


thanx n advnc

Weh! Leo umeenda shule!? Umefanya home work zako? Achana na majukwaa ya watu wazima haya.. Kwanza humu watoto hawaruhusiwi.. 'colewi ndo nn?
 
samaan kwa uandsh wng. m mtt wa mchngaj so tabia ngu nzr sna ila cjui kwnn
 
Ttz cjui ni hicho kiO kinadanyanya kuwa mzur
 
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.

Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.


Msada tafadhali.

Thanx for your advice.
wewe si umeanzisha mada kule ukijidai una bikra kumbe umeshatusuliwa siku nyingi umebaki tu na mashimo kama ya bulyanhulu
 
Back
Top Bottom