my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.