samaan kwa uandsh wng. m mtt wa mchngaj so tabia ngu nzr sna ila cjui kwnn
hebu ni pm namba yako kwanza
Uzuri sio kigezo, shape hata mbuzi anayo.
Tabia itakuwa mbaya
Hatuna diskasheni kabisaaaaaa!
Ok twen zetu
Mwalimu wangu wa kemia anitaka kimapenzi ameniambia atanioa kama nakikubala. Nimemkatalia alitaka kunibaka ofisini. nikakimbia. Naogopa kumwambia mama mkali sana sina urafiki nae kabisa.
Mwalimu amenusingizia kosa nimepewa barua nimwite mzazi, mpka sasa sijampa mama najua nikimpa akienda shule itakua balaa mana na yeye atanekandia sana kwa walimu na wanafunzu wenzangu wakati mimi sina makosa. Nifanye nini?.
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.
Tupeane uzoefu huwa unapenda kufanya nini shule zikifungwa mpaka zikifunguliwa.