Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Genius hajitambulishi kama ni genius bali watu ndo watamsoma ni genius, ukijiona wewe ni great thinker tambua una upeo mdogo sana wa kufikiri ila unajifananisha na mtu fulani ambaye anasomeka kuwa ni great thinker. Ubongo ulio empty ndio ucopy na kujifake kuwa someone else. Majority ya wanaojiita great thinker ni vilasa wajanja wajanja.
Utawasoma vipi? Ni wale wanaopenda kuwabeza wenzao na kuwaona vilaza.

Mawazo ya Great Thinker ndiyo haya sasa. Unasoma na unaelewa anamaanisha nini.
 
Hao watu unaowaita wajinga au millenials kuumbuka ndio walio wengi wakitoa sauti nchi inatikisika. Kama JPM aliweza kujenga connection nao basi kuna sehemu alifaulu.
Jf unapata ukweli hasa wa kama unakubalika au la kwani watu wapo huru kutoa mawazo yao.
Fb waliokinyume wamekaa kimya wanahofia usalama wao. Wamebaki waliokuwa wapaiga pambio ndio wanalalamika.
Huo ndo ukweli.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi situmii mtandao wowote wa kijamii isipokuwa WhatsApp na JamiiForums.
Ila sizani kama mtu kutumia Instagram na Facebook ndio mizani ya kusema kuwa ana akili ndogo au uwezo mdogo wa kufikiri, au mtu kutumia Twitter na JamiiForums ndio mizani ya kumpima mtu kuwa ni great thinker.
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa comments humu JamiiForums utagundua kuwa kuna baadhi ya watu hawapo vizuri au hawatumii lugha rafiki katika kutoa maoni, au uelewa wao juu ya jambo, au mitazamo yao juu ya threads(au mitazamo) za watu wengine bali wanatoa panics zao, frustrations zao na wengine hadi lugha zisizofaa.Kama kutumia JamiiForums ingekuwa ndio mizani ya mtu kuwa great thinker na mwenye fahamu iliyo timamu kichwani basi tusingekuwa tunayaona haya maana wote watumiao JamiiForums ni great thinkers na timamu haswa kichwani. Kwangu kutumia Twitter na JamiiForums sio mizani pekee ya kusema yule ni great thinker na kutumia Facebook na Instagram sio mizani ya kusema kuwa mtu ana uwezo mdogo wa kufikiri.

Yani watu wanajikweza sana utadhani pana qualification fulani zinahitajika kuwa hapa JF wakati ni bure tu na mtu yoyote anaweza kujoin anytime. Yani mtu kaijua JF majuzi tu lakini mbwembwe zake utadhani akishakuwa Member hapa tayari keshakuwa na PHD.

Hapo kwenye swala la kupanic ni haswa kwa hawa Pro-CDM to be specific haswa Jukwaa la Siasa,hawa wanajiona utadhani hii Forum ilitengenezwa kwa ajili yao,ni mabingwa wa kutoa kashfa na kutumia lugha za ovyo huku uwezo wao wa kujenga hoja ukiwa mdogo sana,ni Pro-CDM wachache sana hasa wale Legendaries ndiyo huwa wanajenga hoja na kuzisimamia kwa kina.Ukienda kule Jamii Intelligency na majukwaa mengine huwezi kuta huu upuuzi wa kukejeli watu ovyo kisa wanapingana ki mitazamo.
 
Kwamba ukiwa mchangiaji jf moja kwa moja Ni great thinker!!!wabongo kwa kudharauliana wote tu hali Ni moja, great thinker wasiojulikana na fb wanaojulikana

halafu mjf anashupaa kumnanga mtu wa fb Ni wapumbavu pekee ndo wanaoweza kufanya huu ushenzi

Ni Kama mtu anaeishi mitaa ya kishua kuwadhihaki wanaoishi uswahilini

Naheshimu platform zote na ambazo hazinikuni huwa napita kimya kimya naendelea na yangu
Kuna ujinga mwingine ukisoma unajiuliza, hivi huyu alifikiri kabla ya kuandika au ndio hivyo kaamua tu kujiandikia?

Mitandao ambayo ina thamani kubwa na inaheshimika duniani kote mtu from nowhere anakuja bila facts kwa mihemko eti ni ya watu wenye akili ndogo....

Sipendi generalisation za namna hii hata kidogo...
 
Kuna ujinga mwingine ukisoma unajiuliza, hivi huyu alifikiri kabla ya kuandika au ndio hivyo kaamua tu kujiandikia?

Mitandao ambayo ina thamani kubwa na inaheshimika duniani kote mtu from nowhere anakuja bila facts kwa mihemko eti ni ya watu wenye akili ndogo....

Sipendi generalisation za namna hii hata kidogo...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mwenye akili za kitoto tu ndo anaweza kuleta dhihaka kwenye ishu za kijamii km hivi! Kwamba fb Ni ya housemaids, machinga, waliofeli shule nk, Yani nimewafananisha na mtoto wa shule akinunuliwa chupi mpya Sasa ili kutambishia wenzie anajifunua funua ovyo mpaka ionwe, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nadhani unaikumbuka ile story ya range Basi source yake Ni fb
 
so now the topic has shifted from discussing the lower level of understanding for people who use facebook and instagram to discussing my smartness and eloquent in english?.

NB: i'm not pretending to be smart, i'm smart.

Thank u Sir
 
Mwenye akili za kitoto tu ndo anaweza kuleta dhihaka kwenye ishu za kijamii km hivi! Kwamba fb Ni ya housemaids, machinga, waliofeli shule nk, Yani nimewafananisha na mtoto wa shule akinunuliwa chupi mpya Sasa ili kutambishia wenzie anajifunua funua ovyo mpaka ionwe,

Nadhani unaikumbuka ile story ya range Basi source yake Ni fb

Aisee umemaliza Mkuu hapa! Ukiona comments za huyo anaejidai ni GT unabaki umepigwa na butwaa
 
Yani watu wanajikweza sana utadhani pana qualification fulani zinahitajika kuwa hapa JF wakati ni bure tu na mtu yoyote anaweza kujoin anytime. Yani mtu kaijua JF majuzi tu lakini mbwembwe zake utadhani akishakuwa Member hapa tayari keshakuwa na PHD.

Hapo kwenye swala la kupanic ni haswa kwa hawa Pro-CDM to be specific haswa Jukwaa la Siasa,hawa wanajiona utadhani hii Forum ilitengenezwa kwa ajili yao,ni mabingwa wa kutoa kashfa na kutumia lugha za ovyo huku uwezo wao wa kujenga hoja ukiwa mdogo sana,ni Pro-CDM wachache sana hasa wale Legendaries ndiyo huwa wanajenga hoja na kuzisimamia kwa kina.Ukienda kule Jamii Intelligency na majukwaa mengine huwezi kuta huu upuuzi wa kukejeli watu ovyo kisa wanapingana ki mitazamo.
As long as hakuna qualifications au entry characteristics za kutumia JamiiForums basi hakuna haja ya mtu kujikweza na kijiboresha mbele ya watu kuwa anatumia JamiiForums au Twitter kwa sababu kila mmoja anaweza kutumia muda wowote akitaka. Na hata kama pengine kungekuwa na rewards kwa users wa mtandao flani (say) JamiiForums au Twitter kwamba ukiutumia huo mtandao unakuwa rewarded bado binafsi nisingeona sababu ya kujikweza. Ila sema tuwape uzuru ndugu zetu maana kujikweza au kujiona bora kuliko akina flani ni sifa ipo katika nafsi inategemea na mtu binafsi umeamua kupambana nayo vipi hiyo sifa(hali).
 
Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Hao unaowaita ma GT,wengi wao ndio waliofaidika na mifumo dhalimu iliyokuwa ikiwanyonya hao unaowaita wenye akili ndogo.
Falsafa ya JPM ndio iliyoaminika na kuleta matumaini mapya kwa tabaka la chini na ndiomana alichaguliwa na hao wasio na akili kwa wingi wao na hata leo wanamlilia.Mazishi yake ni ushahidi tosha,aliweza kugusa maisha ya walio wengi.
 
Hao unaowaita ma GT,wengi wao ndio waliofaidika na mifumo dhalimu iliyokuwa ikiwanyonya hao unaowaita wenye akili ndogo.
Falsafa ya JPM ndio iliyoaminika na kuleta matumaini mapya kwa tabaka la chini na ndiomana alichaguliwa na hao wasio na akili kwa wingi wao na hata leo wanamlilia.Mazishi yake ni ushahidi tosha,aliweza kugusa maisha ya walio wengi.
Nchi hii kura haziheshimiwi na mwaka Jana hakukuwa na uchaguzi Bali ilikuwa uchafuzi wa kiwendawazimu nilikuwa kituoni na nilishuhudia kwa macho.
Hafu kujiita mnyonge ni kujitukana na kuji undermine uwezo wako ka binadamu, tunatakiwa kukwepa kukiri udhaifu badala yake tukiri positive affirmation
 
Back
Top Bottom