Kwanini idadi kubwa ya wanawake wasomi hawaolewi?

Hbr za w,keend wakuu
Najiuliza ni kwann wanawake wasomi hawaolewi, mfano: madoctor wakike, mahakimu wakike, wanasheria na hata walimu wengi was secondary hawaolewi shida nn hasa jaman
Nina marafiki zangu, na Dada zangu kadhaa ambao wamesoma lakin hawajaolewa na wanataman wapate waume wa kuwaoa
1) Huyu wa kwa kwanza ni muheshiwa hakimu anaheshimika sna ni jiran angu na best angu, hana mume ila ana mtoto na amezaa na mume wa MTU, nikamuuliza my kulikon unaishi na mume wa MTU anasema ntafanyaje sasa, wanaume wa kututongoza hakuna wengi wao wanatuogopa wanadhan tumeolewa akaniambia pale oficn waheshiwa wote hawajaolewa ni masingle mother tukacheka yakaisha hayo
2) Huyu mwingine ni doctor wangu specialist kabisaa wa mambo ya wanawake lakin hajaolewa amenunua Pete ya ndoa ameivaa utadhan kaolewa kumbe hajaolewa, ktk story story anasema hajaolewa na ana watoto wake wawili kamaliza, anakula maisha kinikamuuliza VP haumiss kuwa na familia anasema nataman hata kesho lakin tunaogopeka wanatuona high class.
Hao ni baadhi tu ambao nawafaham, ninakutana nao kwenye vikoba na kanisan ni wengi na wanamaisha mazuri najiuliza shida ni nn mbona warembo na wanaonekana wife material kakazangu mnakwama wapi,
Kwakweli namshukuru Mungu niliolewa cjui namm ningekua kwenye hz stress.
Shida nn wanawake wasomi hawaolewi wanaishia kuwa single mother's. Wapo wengi humu tujadili tuweze kuwasaidia Dada zetu wanakwama wapi.
Sasa napata wakati mgumu maana ninyetarajia kumuoa ana mpango wa kwenda masters md, je atathamini ndoa au ndo ataleta dharau au ujuaji na usuperiority?
 
Hii mojawapo ya sababu za kutokuoa wanawake waliosoma. Binafsi natarajia kujilipua nioe dem wangu huyu shida tunatofautiana kiwango cha elimu. Nawaza tu kama ataendelea kuniheshimu au ndo tutaona makucha baadae?
Kama anakuheshimu na wewe unaona haigizi n ni mkweli.. hakuna shida

Hawa ambao wanabeba tu wakitegemea mke atabadilika ndio huwa wanajichimbia mashimo wenyewe
 
Hawaolewi kwa sababu wanaume wana hofu ya kuoa wanawake wa hivyo wakihofia kutawaliwa.
Cc. Lizarazu

No man in his right state of mind will ever make a move to a woman who has already lost her femininity and asking for marriage! hayupo.

Hao wengi wao ni wanaume wenye jinsia ya kike acha waishi wenyewe.

Hata binti yangu nitamwambia kabisa, akiruhusu usomi wake ukamuondolea uanamke wake shauri lake.
 
Hbr za w,keend wakuu

Najiuliza ni kwann wanawake wasomi hawaolewi, mfano: madoctor wakike, mahakimu wakike, wanasheria na hata walimu wengi was secondary hawaolewi shida nn hasa jaman

Nina marafiki zangu, na Dada zangu kadhaa ambao wamesoma lakin hawajaolewa na wanataman wapate waume wa kuwaoa

1) Huyu wa kwa kwanza ni muheshiwa hakimu anaheshimika sna ni jiran angu na best angu, hana mume ila ana mtoto na amezaa na mume wa MTU, nikamuuliza my kulikon unaishi na mume wa MTU anasema ntafanyaje sasa, wanaume wa kututongoza hakuna wengi wao wanatuogopa wanadhan tumeolewa akaniambia pale oficn waheshiwa wote hawajaolewa ni masingle mother tukacheka yakaisha hayo

2) Huyu mwingine ni doctor wangu specialist kabisaa wa mambo ya wanawake lakin hajaolewa amenunua Pete ya ndoa ameivaa utadhan kaolewa kumbe hajaolewa, ktk story story anasema hajaolewa na ana watoto wake wawili kamaliza, anakula maisha kinikamuuliza VP haumiss kuwa na familia anasema nataman hata kesho lakin tunaogopeka wanatuona high class.

Hao ni baadhi tu ambao nawafaham, ninakutana nao kwenye vikoba na kanisan ni wengi na wanamaisha mazuri najiuliza shida ni nn mbona warembo na wanaonekana wife material kakazangu mnakwama wapi,

Kwakweli namshukuru Mungu niliolewa cjui namm ningekua kwenye hz stress.

Shida nn wanawake wasomi hawaolewi wanaishia kuwa single mother's. Wapo wengi humu tujadili tuweze kuwasaidia Dada zetu wanakwama wapi.
Bahati yako wewe siyo msomi halafu ni tegemezi......kinyume cha hapo hakuna mtu angekuoa
 
No man in his right state of mind will ever make a move to a woman who has already lost her femininity and asking for marriage! hayupo.
Hao wengi wao ni wanaume wenye jinsia ya kike acha waishi wenyewe.
Hata binti yangu nitamwambia kabisa, akiruhusu usomi wake ukamuondolea uanamke wake shauri lake.
Lakini wazazi wanawasomesha mpaka kufika hizi levels za usomi OG. Wakubaliane na consequences tu
 
Mwanamke mzuri bana awe anamtii mwanaume wake. Which is contrary kwa wengi wa hao waliosoma
Ni kweli mkuu hata vitabu vya dini, vinasema Mwanamke amtii mume wake kwahiyo haijarishi Mume boda boda, mwanamke daktar lazima ajishushe tu na amtii mumewe.

Lakin kwa wasomi wetu hiyo ni ngumu, yy ndo anataka awe control wa nyumba so sidhani kama kuna mwanaume atakae vumilia hali hii
 
Ni hofu tu ya wanaume wengi kuhisi watatawaliwa lkn sio kweli kwani mwanamke anaejitambua hutofautisha kazi na mume.
Hakuna kitu. Mi wa kwangu alisema hivyohivyo kabla sijamuoa...kwa ajili ya watoto nikamvumilia baada ya miaka zaidi ya kumi ...akawa anaota mapembe kila kukicha nikaona isiwe tabu ndoa nikaipiga chini sababu mwisho tungegawana majengo ya serikali yaani jela na monchuwari bora tutengane tuwe hai tulee watoto....msomi mwanasheria unategemea nini?
 
Wanawake matatzo hayataishabin this man world
1.usiposoma ndoa za utoton znakuhusu
2.ukisoma unaogopwa
3.ukiwa malaya unaogopwa
4.ukiwa mtulivu wanaume wanakuona uko serious sana unaringa

Tabu kwel ndugu zetu...mim sijui wafanyeje kwakwel..dah.
 
Mmnh sizani kama ni sawa kusema kuwa wanawake wasomi hawaolewi,

Umetumia kipimo gani labda?

Je hiyo sample size yako ni sehemu ya ngapi katika total population ya wanawake wasomi?

Je inamaana wanawake wasiosoma wao huwa wanaolewa wote?

Nazani labda imetokea tu au kuna sababu nyingine zilizopekea hao kuto kuolewa na siyo sababu pekee ya wao kuwa wasomi.
 
Back
Top Bottom