Evangelist Oscar Maulid
Member
- Sep 5, 2018
- 86
- 131
Ukiwa mvumilivu haimaanishi kwamba wewe ni dhaifu, ila inamaanisha kwamba una nguvu kiasi cha kutosha kuzificha nguvu zako na madhara yake.
HUTO NDEGE WA KIUME KATUMIA BUSARA SANA KUKAA KIMYA... INAEPUSHA MENGIUkiwa mvumilivu haimaanishi kwamba wewe ni dhaifu, ila inamaanisha kwamba una nguvu kiasi cha kutosha kuzificha nguvu zako na madhara yake.View attachment 2052377
Ila kiukweli sisi wanawake tuna majaribu sana.
Tuweni ty wakweli wanaume wanatuvumilia sana hii midomo yetu.
Afu tupo chap kujitilisha huruma na kushtaki dunia nzima 🤭🤭🤣🤣🤣
Come fall in love with the author.I fall in Love with your Comment.😘...
Ila kiukweli sisi wanawake tuna majaribu sana.
Tuweni ty wakweli wanaume wanatuvumilia sana hii midomo yetu.
Afu tupo chap kujitilisha huruma na kushtaki dunia nzima
Come fall in love with the author.
Acha uoga wewe.
Khaa.
imekula kwakoWasiwasi ndio akili.
Mkizungua mkisemwa eti gubu. Nyie dawa ni kubonda hizo head zenu kwa vifuti😅😅lkn n kuna wanaume n wanagubu, anaweza aongee mpaka kuna kucha(asubuhi) yan
Mkizungua mkisemwa eti gubu. Nyie dawa ni kubonda hizo head zenu kwa vifuti😅😅
Wanaume wenu wa dar!jaman kuna wanaume n wana gubuu, yaan kama hap mtaan kwetu kuna mume wa mtu n usku kucha analalama.....🤣🤣🤣hawez mpga mkewe maana mkewe n ana minguvu.
Mbinguni Moja Kwa Moja wewe mwanamke.Ila kiukweli sisi wanawake tuna majaribu sana.
Tuweni ty wakweli wanaume wanatuvumilia sana hii midomo yetu.
Afu tupo chap kujitilisha huruma na kushtaki dunia nzima 🤭🤭🤣🤣🤣
Hutaki tuende mbinguni tukaendelee kuchati JF.Yeah.
Ila wewe huendi.
haya tutaendaHutaki tuende mbinguni tukaendelee kuchati JF.