Kwanini huwa tunahama usiku?

Kwanini huwa tunahama usiku?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Imezoeleka kuona watu wanahama (kuhamisha mizigo) nyakati za usiku.

Watu wanaogopa nini kuhamisha mizigo nyakati za mchana ? Ni aibu ya aina ya vyombo mtu alivyonavyo au ni desturi ambayo haina mantiki yoyote?


Wapangaji kazi kwetu.
 
Vyumba vya watu vinasiri kubwa sana hivyo kuhama usiku nikuendelea kuficha sori za vyumba vyao
 
Imezoeleka kuona watu wanahama (kuhamisha mizigo) nyakati za usiku.

Watu wanaogopa nini kuhamisha mizigo nyakati za mchana ? Ni aibu ya aina ya vyombo mtu alivyonavyo au ni desturi ambayo haina mantiki yoyote?


Wapangaji kazi kwetu !

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hapo issue ni privacy tu nafikiri ... Cdhani kama kuna myth zingine
 
Imezoeleka kuona watu wanahama (kuhamisha mizigo) nyakati za usiku.

Watu wanaogopa nini kuhamisha mizigo nyakati za mchana ? Ni aibu ya aina ya vyombo mtu alivyonavyo au ni desturi ambayo haina mantiki yoyote?


Wapangaji kazi kwetu !

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Jisemee siio sote. Wengi mnapenda kuhama usiku kuficha umaskini wenu. Sisi wenye vijisenti si haba kwanza hatuhami. Tulihama tulipohamia kwenye mijengo yetu. Kuhama ni pale ninapolazwa au kusafiri kwa muda mrefu. Hivyo, kuhama ni kwa ajli ya maskini, vijana na watumishi wa umma wanaohamishwa hamishwa si kwetu sote mwanangu.
 
Back
Top Bottom