Kwanini humpendi

Kwanini humpendi

Kwa jinsi ninavyowapenda wana JF hata sijui nisemeje!!!! Wish siku moja niwaone wana jf wote live bila chenga!!!!
 
Mleta hoja ana elements za uchochezi swali kwanini umchukie mtu ambae hujamuumba?
 
mi nachukia sana chama cha madili ukweli hakipo rohoni mwangu kabisaaaa!
 
Kha! Unanikosha sana unapokasirika mtoto!
Hata sijakasirika wa kukaya , si unajua tena watoto kwa kuwafanyia kibri mama zao wa kambo....
Wakati mie ndo namshusha baba ake presha..... Sijui wivu wa nini
 
Asante mkuu.
Sir name yako ni sawa na yangu.
Tunaweza kuwa ndugu.
Aaaanh! cute unataka umpe nan?
Undugu ndo huo wa kufaanaa.
Adam na Hawa angesema ivyo tusingekuwepo.

Hahahaha! I wish to know you better.
 
Back
Top Bottom