Yes. Umemaliza kila kitu.Lakini mimi zaidi... eti eeh? 🙄 😉
Ha ha
Yes. Umemaliza kila kitu.Lakini mimi zaidi... eti eeh? 🙄 😉
Wakuu hbr za usiku ? Humpendi nani kwenye jukwaa hili? Na kwanini humpendi?
Binafsi simpendi kisu cha ngariba anadomo mchafu sana



Umeonaeeesiwezi mchukia nisiyemjua!
Itakuwa haupigi mswakiMdomo mchafu kivipi?![]()
Itakuwa Supermarket Hanifah mtoto wa mfalme wa morocco lakini si alishakuomba msamaha mkuu.Ahahahaaaa....
Kuna kakinuka K kamoja hivi humu ka-Kiislamu kanasemaga eti hakanipendi.
Huwa nacheka sana maana hata kunijua hakanijui lakini hakanipendi😀😀😀😀.
Ila wote wanaosemaga hawanipendi ni ma fans wangu tu na ndo maana huwa hawapitwi kusoma posts zangu na kuanza kuitana 'flani...njoo uone alichoandika Ngabu'.
' kila binadamu anakosea hakuna aliekamilika na mimi nakiri nimekukosea naomba unisamehe.Kwenye awamu hii hata uwe mkubwa huko serikalini ni shida tupu. Wakubwa wapo mpaka tulioko mtaani ndiyo tunawanunulia Heineken. Ukubwa serikalini ulikuwa kipindi cha Mr. Dhaifu siyo sasa!KISU CHA NGARIBA ni mtu mkubwa serikalini
Hahahahahahah,,,,,,,una maneno msukuma weweee ,,,,Ahahahaaaa....
Kuna kakinuka K kamoja hivi humu ka-Kiislamu kanasemaga eti hakanipendi.
Huwa nacheka sana maana hata kunijua hakanijui lakini hakanipendi😀😀😀😀.
Ila wote wanaosemaga hawanipendi ni ma fans wangu tu na ndo maana huwa hawapitwi kusoma posts zangu na kuanza kuitana 'flani...njoo uone alichoandika Ngabu'.
We unamchukia nani humu?Hahahahahahah,,,,,,,una maneno msukuma weweee ,,,,
Itakuwa Supermarket Hanifah mtoto wa mfalme wa morocco lakini si alishakuomba msamaha mkuu.
NB
*Siku mdomo ukiteleza ukimwambia mtu sikupendi basi ni vigumu sana kusahau "ni vizuri mtu ukiwa unamchukia au humpendi ukammezea tu kimoyo moyo bila kutamka"
SOLUTION:
*Endapo mtu akikukosea ni vema kuomba msamaha wa kweli (amaanishe samahani kweli) sio msamaha wa dhihaka "bas nisamehe" *Aje tu PM nyani ngabu sorry mkuu niliteleza naomba samahani yaliyopita si ndwele 'am so sorry' kila binadamu anakosea hakuna aliekamilika na mimi nakiri nimekukosea naomba unisamehe.
Hakuna naemchukia niliona kuchukia watu nitajisumbua tuWe unamchukia nani humu?
Hakuna naemchukia niliona kuchukia watu nitajisumbua tu
Nakupenda pia...Nawapenda wote.