Kwanini hivi jamani...

Tangu niwe member wa JF mwaka 2014 nilikuwa naanza kumtongoza binti mmoja akanidharau na kunikataa baas nikachill.

Hiyo ya kukataliwa au kulala na mdada halafu unamtangaza ni inatokana na Ulayoni, Ungumbaru na Utahira wa mtu.

Halafu si bure huyo anayefanya hivyo sio mwanaume wa Dar.

Si ni maajabu hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…