Kwanini hivi jamani...

Hata kama nilileta za uongo.. Ulitumwa uje ulete? Wewe ni mbea na mnafiki juu.
Hata kama nilikufuata na kukuambia uongo .wewe kama mwanaume hauna kifua cha kumeza jambo ukaacha lipite??
Yaani mfano wa wanaume wasio na siri ,wanafiki, wambea jf daby wewe ni wa kwanza.
Mwanaume unakuwa mropokaji kama mwanamke .
Kweli wanaume wamevamiwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao hao wanaopiga Vita ni wa kuchunguzwa.
Mfano Daby wa pili kukomenti kumbe chenga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kurudia rudia kunitaja kwa kila unayemqoute nikutokujiamini....

Wewe umenifuata pm kabisa bila kukuita. Ukaja kuniambia rafiki yako anakuja,

Halafu unachotakiwa kujua kwangu wewe ni stranger ulijileta sikujui na wala sina mazoea ya pm na wewe.

Niliexpose taarifa za stranger aliyejileta pm kunipa taarifa za press hewa.
 
"""""hata kama nilileta uongo """"

Are you serious niendelee kuku qoute kumbe unajua ni uongo?
Mwanaume wa wapi wa kumezea uongo? Labda kwenu kama wanamezea....

Nilidhani kuna la zaidi labda kwenye groups mmeambizana kumbe ni ishu ya Rai...

uwe na wakati mwema aseeh....
 
Jf kila mtu ni stranger . au wewe ni mwenyeji?
Ha ha ha ha ha bado sana nitakuquote mpaka nichoke dunia ijue ulivyo mbea..
Nikufuate unifuate haihusiani na wewe kuwa chakubimbi..
Kwani kuna sheria gani inayosema kwamba watu Fulani ndiyo wanatakiwa wawe wa kwanza kufuata watu pm.?
Acha tabia za kike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauna jipya... the same story the same shit.....

Uwanja wako mama jimwaye mwaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…