Kwanini hivi jamani...

Mpendwa
 
Mkuu mbuzi kufia kwa muuza supu sio kosa...
 
Ni kutokukua kiakili....

Ni kuwa hawajakomaa......

Nanhapo ndio umuhimu.wa kuwa na mipaka unapokuja...

(Ila binadamu tuna guts...unamtongoza mtu kwa kuwa tu uneona avatar ...)
 
Fursa hizi....
 
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.

Ni kweli mtu akikufuata pm amekuamini. Hivyo na wewe mfuatwa unapaswa utunze siri.
But ile siku wewe ulivujisha pm yangu.
Nashukuru Mungu kwamba sikuandika cha kutisha wala sikumsema mtu sijui ningeficha wapi sura yangu.
Hivi unakumbuka pia kuna vitu uliongea na wewe? Haukuviandika mbona.?
Hata hivyo nimeshindwa kujizuia kukuuliza hili.
sumbai unisamehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona kikubwa ni kuheshimiana.
Sidhani kama mtu unaweza ukaonana nae mkawa na mahusiano mkaheshimiana halafu baadae mje mtangazane.
Tatizo lazima mmoja aanze kumchokoza mwenzake... Na kumwonyeshea dharau za wazi..
Sasa geniveros unadhani mtu atamalizaje hasira yake bila kuandika madhaifu yako na wewe?
Mimi Mtu nikishakuwa na mawasiliano naye hata nikikuta anatukanwa mahali napita kama sioni.
Kwa sababu nikichangia lazima atachukia na akichukia kama ana udhaifu wangu atauleta tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi mzuri sana huu. Yaani mimi mwenyewe naogopa kweli kuomba vitu PM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…