Kwanini Historia ya Wachagga inafichwa Sana?

Kimaendeleo: Wakoloni waliyapendelea maeneo fulani fulani ili yatofautiane na mengine na ili yasitamani kushirikiana na maeneo ya watu 'duni'. Mojawapo ya watu waliopendelewa na wakoloni kwa mtindo huo ni wachagga, hadi kufikia kujiona kuwa wao ni bora kuliko watanganyika wote, na hadi wakatamani wasiwe sehemu ya Tanganyika, na hiki ndicho kisa cha Marealle kutaka uhuru wa wachagga pekee! Mpango huu ungefanikiwa, ungewezesha wakoloni kuendelea kutawala kupitia uhuru bandia wa baadhi ya maeneo kama walivyokuwa wanafanya makaburu kule South Africa.

..Mkoloni hakuwapendelea Wachagga.

..mwanzoni Mkoloni alitaka kuwa-exploit Wachagga kwa kuwalimisha Kahawa kwa mtindo wa manamba.

..Wachagga wali-resist mpango huo ndipo Mkoloni akanywea na kuruhusu Wachagga kulima kahawa na kumiliki ardhi.

..Miundombinu iliyowekwa na Mkoloni haikuwa na lengo la kuwanufaisha Wachagga as a community zaidi ya kuwa njia ya kusomba mali toka maeneo ya uzalishaji na kusafirisha nje.

..Siyo kweli kwamba Marealle alidai Uhuru wa Wachagga peke yao. Ipo hotuba ya Nyerere aliyoitoa mbele ya Baraza la Makoloni ambapo amenukuliwa akisema anaunga mkono hoja iliyotolewa na mzungumzaji aliyemtangulia kuwa Tanganyika ipate uhuru. Mzungumzaji huyo alikuwa ni Chief Marealle.

..Pia Wachagga wenye elimu kama Solomon Eliufoo walikuwa wakimpinga Chief Marealle, na ndiyo waliofungua njia ya Tanu kuingia Uchaggani. Pia yupo Nsilo Swai ambaye alikuwa msomi na kiongozi wa chama cha Ushirika. Kwa hiyo siyo kweli kwamba Wachagga hawakuunga mkono harakati za Uhuru wa Tanganyika, au walitaka kujitenga.

NB:

..Uwekezaji mkubwa kuliko wote uliofanywa na Waingereza ktk koloni la Tanganyika ni mradi wa KARANGA maeneo ya mikoa ya Kusini. Bahati mbaya mradi huo ulifeli. Kama mradi huo ungefanikiwa huenda tungekuwa tunaongea habari nyingine sasa hivi.
 
Huku sasa ni kuleta mvurugano jamani,hii hoja haitujengi zaidi itatufarakanisha tu. Superiority ya kikabila haina tija kwa kizazi cha sasa,tuongeleeni mandeleo inatosha.
 
..Mkoloni hakuwapendelea Wachagga.

..mwanzoni Mkoloni alitaka kuwa-exploit Wachagga kwa kuwalimisha Kahawa kwa mtindo wa manamba.

..Wachagga wali-resist mpango huo ndipo Mkoloni akanywea na kuruhusu Wachagga kulima kahawa na kumiliki ardhi.

..Miundombinu iliyowekwa na Mkoloni haikuwa na lengo la kuwanufaisha Wachagga as a community zaidi ya kuwa njia ya kusomba mali toka maeneo ya uzalishaji na kusafirisha nje.

..Siyo kweli kwamba Marealle alidai Uhuru wa Wachagga peke yao. Ipo hotuba ya Nyerere aliyoitoa mbele ya Baraza la Makoloni ambapo amenukuliwa akisema anaunga mkono hoja iliyotolewa na mzungumzaji aliyemtangulia kuwa Tanganyika ipate uhuru. Mzungumzaji huyo alikuwa ni Chief Marealle.

..Pia Wachagga wenye elimu kama Solomon Eliufoo walikuwa wakimpinga Chief Marealle, na ndiyo waliofungua njia ya Tanu kuingia Uchaggani. Pia yupo Nsilo Swai ambaye alikuwa msomi na kiongozi wa chama cha Ushirika. Kwa hiyo siyo kweli kwamba Wachagga hawakuunga mkono harakati za Uhuru wa Tanganyika, au walitaka kujitenga.

NB:

..Uwekezaji mkubwa kuliko wote uliofanywa na Waingereza ktk koloni la Tanganyika ni mradi wa KARANGA maeneo ya mikoa ya Kusini. Bahati mbaya mradi huo ulifeli. Kama mradi huo ungefanikiwa huenda tungekuwa tunaongea habari nyingine sasa hivi.
Mengine uliyosema ni kweli isipokuwa hilo la kwamba eti mkoloni alinywea kutokana na resistance ya wachagga na hivyo akawaruhusu kulima kahawa na kumiliki ardhi. Miongoni mwa makabila yote ya Tanganyika, wachagga ndiyo walioshindwa kabisa kuweka resistance yoyote ya maana dhidi ya mkoloni, na ndipo mkoloni aliposhinda kirahisi kutokana na mgawanyiko wao na kudharauliana wao kwa wao. Mkoloni aliwapa wachagga ruhusa ya kulima kahawa kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa njia rahisi zaidi kuwadhibiti kwa kucheza na akili zao. Wakoloni walipotaka kuchukua ardhi walijichukulia tu walivyotaka, ndiyo maana coffee plantations za wazungu zilikuwepo Kilimanjaro pia. Na hata wachagga walioruhusiwa kulima kahawa hawakufanya hivyo kwenye plantations, walilima kwenye vijishamba vyao vidogovidogo vya migomba milimani huko, divide and conquer ikaendelea!
 
Mengine uliyosema ni kweli isipokuwa hilo la kwamba eti mkoloni alinywea kutokana na resistance ya wachagga na hivyo akawaruhusu kulima kahawa na kumiliki ardhi. Miongoni mwa makabila yote ya Tanganyika, wachagga ndiyo walioshindwa kabisa kuweka resistance yoyote ya maana dhidi ya mkoloni, na ndipo mkoloni aliposhinda kirahisi kutokana na mgawanyiko wao na kudharauliana wao kwa wao. Mkoloni aliwapa wachagga ruhusa ya kulima kahawa kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa njia rahisi zaidi kuwadhibiti kwa kucheza na akili zao. Wakoloni walipotaka kuchukua ardhi walijichukulia tu walivyotaka, ndiyo maana coffee plantations za wazungu zilikuwepo Kilimanjaro pia. Na hata wachagga walioruhusiwa kulima kahawa hawakufanya hivyo kwenye plantations, walilima kwenye vijishamba vyao vidogovidogo vya migomba milimani huko, divide and conquer ikaendelea!

..naona kama umelenga kuwakandamiza Wachagga.

..kwa mtizamo wangu makabila mbalimbali yali-resist maeneo yao kuingiliwa na Wakoloni.

..sidhani kama ni busara kudai kabila fulani liliwazidi kabila lingine ktk kupinga ukoloni.

..ukumbuke kwamba resistance dhidi ya Wakoloni ilichangiwa pia na uimara wa tawala za jadi zilizokuwepo wakati huo.

..makabila yetu yalishindwa kumkabili mkoloni kutokana na uduni wa silaha walizokuwa nazo mababu zetu, na siyo kwasababu ya kukosa nia au uthabiti.

..lingine ni kuhusu zao la kahawa na jinsi lilivyoingia Uchaggani. Ninavyoelewa mimi Mkoloni alijaribu kuwalimisha manamba wenyeji lakini ikashindikana. Hivyo ikaonekana njia bora ya kuwanyonya Wachagga ni kuwaacha walime wenyewe na Mkoloni awe mnunuzi.

..Mashamba ambayo umeyaita " vijishamba " enzi za mkoloni yalikuwa ni maeneo makubwa kutokana na ukweli kwamba wakati huo idadi ya watu ilikuwa ni ndogo.

..La mwisho ambalo nadhani unapaswa kulitambua na kulipongeza na jinsi Wachagga walivyoweza ku resist biashara kuingiliwa na kuhodhiwa na "maduka-wala" wa Kiasia.

..Ukumbuke kwamba Mkoloni alitengeneza tabaka la Waasia kuwa ni tabaka la Wafanyabiashara. Hila hiyo ya Mkoloni dhidi ya Waafrika/"Natives" wa Tanganyika ilishindwa vibaya Uchaggani.

..Mwisho, ningeshauri tuwe positive na tutambue mema ya Watanzania wote. Tukianza kukandamizana tutakuwa tunaendeleza mbinu ya Wakoloni ya " divide and conquer " dhidi yetu.

Cc Tembosa
 
Kama kuna Kabila linalozungumziwa zaidi ni wachagga kwa mabaya na hata kwa husuda. Kumekuwa na notion moja ya kuwa wameendelea sana na kunyimwa maendeleo kwa kisingizio cha wameendelea bwana. Mfano huwezi kuamini baadhi ya wilaya zake hazina hata hospitali za Wilaya. Umaskini umetamalaki kuliko maeneo mengi Tanzania huwezi kuamini.
 
Kama kuna Kabila linalozungumziwa zaidi ni wachagga kwa mabaya na hata kwa husuda. Kumekuwa na notion moja ya kuwa wameendelea sana na kunyimwa maendeleo kwa kisingizio cha wameendelea bwana. Mfano huwezi kuamini baadhi ya wilaya zake hazina hata hospitali za Wilaya. Umaskini umetamalaki kuliko maeneo mengi Tanzania huwezi kuamini.

..kwanza ni kwasababu wamesambaa Tanzania nzima.

..na kilichowafanya waondoke Uchaggani kwenda maeneo mengine ya Tz ni matatizo ya kijamii na kiuchumi huko kwao.

..kwa mfano,.watu wengi hawajui kwamba wafanya biashara wa mitaani " wamachinga " wa miaka ya 80 walikuwa ni vijana wa kichagga. Walikuja mijini na kuanza ndogo-ndogo kama kuchoma nyama, kukaanga chipsi, kushona na kusafisha viatu, kuuza vipodozi, etc etc

..jambo lingine ni siasa chafu ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu hapa Tz. Siasa hizo ni zile za kutengeneza maadui feki ili kuhalalisha uzembe wa walioko madarakani.

..kwa mfano, kuna jamii na maeneo wanaaminishwa kwamba wako nyuma kimaendeleo kwasababu walikuwepo mawaziri toka Kilimanjaro ambao walipeleka maendeleo kwao na kuwanyima wengine fursa hiyo.

..maneno hayo anaweza kuambiwa mtu wa kusini mwa Tz. Lakini wakati huohuo tunajua kwamba sera za vijiji vya ujamaa ndiyo ilisambaratisha uchumi wa kusini na kuangusha kilimo cha korosho wakati Tz ilikuwa moja ya nchi zinazoongoza kwa uzalishaji duniani.
 
Wachagga, Wakinga, Wapemba na Wahindi ni makabila ya kuigwa. Ni watu ambao uwezo wao wa akili uko juu kuliko jamii nyingine za ki-tanzania.

Mbona kwenye orodha ya vyeti fake, ingawaje wengine wamerudishwa baada ya kukata rufaa, asilimia kubwa ya surname/ ubini ulikuwa wa hao jamaa.
 
Nadhani baada ya uhuru pia kulikuwa na divide and rule. Kutokana na divide and rule hiyo ni vigumu kusikia Msambaa wa Lushoto akikiri kwamba ana undugu fulani wa mbali na wachagga. Hata wameru, wagweno na waarusha huwa hawapendi ijulikane kwamba wana undugu na wachagga. Wasingida na warangi hawataki ijulikane kwamba wana undugu wa mbali sana na wachagga. Wachagga kwa wachagga nao inabidi wazuge kwamba hawana undugu.
 
Hayo maandiko unayo

..nadhani hizo ni propaganda za Mwalimu Nyerere dhidi ya Machifu wakubwa.

..Chifu Fundikira wa Unyanyembe, Chifu Kidaha Makwaia wa Wasukuma, na Chifu Thomas Marealle, kwa nyakati tofauti walipatwa na misukosuko wakati wa utawala wa Baba wa Taifa.
 
Wachagga ni nationalists wazuri, pia ni Pan Africanists wazuri. Na wamekua na contribution nzuri na kubwa Tanzania.

Wamesaidia kwenye siasa, commerce, skilled labour, private sector, jamii na uchumi etc. Wamekuwa qualified skilled labour ya kuendesha makanisa, mashule, mahospitali, vyuo vikuu, makampuni binafsi, civil service, parastatals, donor projects, foreign companies etc.

Ujio wa vyama vingi ndio ulipelekea kwa wachagga kuondolewa kwenye system.

Nyerere alikua na seminary trained Chagga Catholics wengi kwenye serikali na system yake.

Mwinyi ali rely to some extent on Chagga Muslims kwenye security and defence apparatus yake. Pia Kiwelu alikua namba 2 jeshini enzi za Mwinyi.

Jeshi la zamani lilikua na wachagga kama Captain Mushi, Major Ndosi, Major General Muhidin Kimario, General Tumainiel kiwelu, Lieutenant General Imran Kombe, Major General Mrisho Sarakikya (Mmeru).

Watanzania wengi wanahisi kwamba Yesu ndie aliewasaidia Wachagga kuendelea. Wanahisi pia kwamba kukataa wachagga kwenye nafasi za juu kabisa za uongozi kumelidhoofisha taifa kwa kiasi fulani.

Imagine kama wachagga wazalendo wanaopenda usawa na wasio mafisadi wangekua in charge of kunegotiate mining and petroleum contracts. TZ ingepata deal zuri zaidi ya sasa.

Imagine vile vile kama wachagga wote wasahau ghafla wanachokijua. Nchi itapata shortage kubwa sana ya skilled labour. Manesi wote, madaktari wote, walimu wote wa primary, walimu wote wa sekondari wenye degree na wasio na degree, ma headmaster wote, walimu wote wa vyuoni, walimu wote wa VETA, walimu wote wa vyuo vikuu, maafisa elimu wote, wakaguzi wa elimu wote, wakulima stadi wote, wahitimu wote wa VETA wa kada mbali mbali, majirani wote, wanafamilia wote, wanaukoo wote, wanasheria wote, wachumi wote, maaccountant wote, maauditor, mamanager wote, civil servants wote, maarchitect wote, masurveyor wote, wapadre wote, wachungaji wote, watafsiri biblia wote, maaskofu wote, wafanya biashara wote, wenye viwanda wote, mabankers wote, wana NGO wote, wanaofanya kwenye donor projects zote, ma geologists wote, wa kwenye oil and gas wa kwenye mining sector, wanafunzi wote, wakristo wote, diplomats wote, polisi wote, wanajeshi wote, uhamiaji wote, importers wote, exporters wote, walipa kodi wote, wafanyakazi wote, vibarua wote, wafugaji wote, consumers wote, savers wote, wenye mahoteli wote na wote kwenye sekta ya utalii, kwenye sekta ya misitu na mbao na mazingira, kwenye siasa; imagine wote hawa ambao wana asili ya kichagga wasahau walichojifunza. Kutakua na bonge la shortage of skilled labour and human capital.

Hapa unaona kwamba asiewapenda wachagga hawapendi watanzania. Na atasababisha hasara kubwa Tanzania. Pia sidhani kama anampenda Yesu. Na huenda anafanya kile ambacho Shetani anataka. Shetani hapendi injili istawi duniani hususan huku Afrika ambako ni terittory yake ya muda mrefu. Na sio tu injili bali injili ilio karibu na biblia. Kwahiyo sio ajabu akayatarget makabila yenye wakristo wengi sana (ingawa sio perfect Christians). The majority of Wachagga are protestants (many of them being Lutherans). Around 40% ni wakatoliki. Kuna waislamu wachache pia.

Jamii ya kichagga kwasasa ina matatizo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa. Inahitaji support na sio kudhoofishwa.
 
Utawala wa ‘masiya wa kisiasa’ wa Tanzania utakua na tabia zifuatazo:

1) Haki itashamiri. Watu wote wa makabila yote na dini zote watashamiri.

2) Cylinder zote za engine ya kiuchumi zitafanya kazi vizuri. Kilimo, misitu, mazingira, uvuvi, utalii, mifugo, biashara, viwanda, madini, nishati, gesi na mafuta etc.

3) Watanzania wengi sana watakua na elimu nzuri ya msingi, zaidi ya nusu ya watanzania watakua na elimu nzuri ya form six na atalirudisha darasa la nane.

4) Mikoa yote na makundi yote yatapiga hatua nzuri za kimaendeleo na kimaisha. Hatachukia jamii yoyote, mkoa wowote au dini yoyote.

5) Atajenga miundo mbinu yenye tija na isio na gharama kubwa sana. Runways za viwanja vya kimataifa vya ndege zitakua between 4 kms and 5 kms. Atajenga barabara ya kiwango cha lami itakayo unganisha Karatu na Mwadui moja kwa moja kupitia kaskazini mwa ziwa Eyasi. Atajenga barabara ya kiwango cha lami itakayo unganisha Lindi na Morogoro moja kwa moja kupitia Mbuga ya Selous. Atajenga kiwanja cha ndege karibia na Songosongo ili kikuze utalii wa Selous na uwekezaji kwenye gesi. Atajenga bandari Rukwa kwenye mwambao wa ziwa Tanganyika. Atarefusha runway ya airport ya Arusha.

6) Atatetea ustawi wa Tanzania kwenye nyanja za kimataifa na atakua na mahusiano mazuri na majirani wema wa Tanzania.

7) Ataiondoa Tanzania kutoka kwenye mahusiano tegemezi ya kisiasa na kiuchumi. Atatetea national sovereignty and self-determination na ataiondoa Tanzania kutoka kwenye makucha ya madeni ya nje hususan madeni ya kibiashara yenye riba kubwa.

8) Atachukia na kupiga vita corruption na ata promote good governance, human rights na ataheshimu legitimate private property rights. Ataheshimu pia tax payers’ and community property rights (matumizi mazuri ya kodi na rasilimali za jamii).

Ataweka katiba ambayo Rais hatakua na uwezo wa kulivunja bunge kabla ya uhai wa miaka mitano ya bunge kuisha. Bunge nalo halitakua na uwezo wa kumfukuza Rais. Ikitokea mvutano kati ya hao wawili basi popular referendum ya wananchi itaamua yupi aachie ngazi. Na atakae baki atatawala mpaka hio miaka yake mitano iishe. Ataheshimu uhuru wa mahakama. Ataheshimu na kuimarisha na kuboresha decentralisation na serikali za mitaa.

9) Atambue kuna mizunguko mikuu na mabadiliko makuu ya majira na nyakati ambayo huwa yanatokea kwenye universe, hapa duniani na Tanzania. Utawala wa Mjerumani pamoja na Muingereza ulikua miaka 70 (pale Tanganyika ilipokua official colony la mjerumani, pale serikali ya ujerumani ilipo take over from German East African company hadi Tanganyika ilipopata uhuru kutoka kwa muingereza).

Concept ya miaka 70 utaiona kwenye kitabu cha Jeremia ambapo mataifa ya wakati ule yalitakiwa kutumikia ufalme wa Babeli wa wakati ule kwa miaka 70. Miaka ya late 1950s na early 1960s winds of change zilivuma zilizopelekea kupatikana kwa uhuru wanchi nyingi za afrika. Vile vile miaka sabini baada ya uhuru inaishia 2031. Sasa sijui waafrika watarudishwa kwenye ukoloni na utumwa au watapungua sana au sijui labda watastawi zaidi na kuwa na uhuru zaidi. Au labda kundi jipya la utawala ambalo halijawahi kutawala litaingia madarakani nchini Tanzania kutoka ndani au nje ya existing political power structure.

Miaka 2000 baada ya Stephen kupigwa mawe inaishia around 2035, hii itatimiza miaka 2000 ya injili kwenda kwa mataifa na kanisa kuwa mtunzaji mkuu wa injili. From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la wakati ule) ndio walikua custodian wa tumaini la injili. So huenda kuna mabadiliko ya majira na nyakati (a change in times and seasons) yatatokea mitaa ya miaka ya 2030-2040. Wakati huo dunia itakua na miaka around 6034-6044. Dunia itakua iko extra time kwa miaka 34-44 baada ya kumaliza miaka 6000 ya uwepo wake. Uwezekano upo wa extra time kuendelea mpaka 6666.

Asante
 
This is a frequent repost, but it is a bit relevant here:

Siri ya mafanikio ya Wachagga ni neema na rehema ya Bwana Yesu Kristo. Bwana Yesu ndie amekua akiwasaidia kwa muda mrefu. Hata ule uamuzi wa mababu zao kusettle kwenye mlima Kilimanjaro ilikua ni msaada wa Bwana Yesu. Bwana Yesu ndie aliwalinda wasiwe katikati ya njia kuu za misafara ya utumwa. Aliwasaidia wawakubali wamissionari wakikristo. Aliwalinda wasinyang'anywe ardhi yao kipindi cha ukoloni. Aliwalinda na anawalinda dhidi ya fitina za kisiasa baada ya uhuru.

Ni muhimu sana kwa Wachagga kuijua injili ya kweli kabisa (bila kujali madhehebu yao) hata kama kwenye maisha yao halisi watakua hawaifuati kikamilifu.

1) Yesu Kristo kwa kiebrania ni Yahushua Mashiah. Yahushua maana yake ni YAHWEH is Salvation. YAHWEH ni Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob.

2) Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

3) Siku takatifu ya kikweli kweli kabisa inaanza Ijumaa jioni (jua linapozama) na inaisha Jumamosi jioni (jua linapozama) (Seventh day Sabbath). Avoid kufanya dhambi muda huu (of course tunatakiwa tu avoid kufanya dhambi muda wote).

4) Waafrika weusi (including Wachagga) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut.

5) Ni vizuri watu wote (including Wachagga) wa avoid pride, arrogance, malice, hatred and envy.

Mafanikio ya kidunia yatatokana na:

1) Ku successfully participate in the major means of production, distribution and exchange in the economy in an atmosphere of low inequality.

2) Ku successfully participate in the neo-liberal global economy.

3) Kushirikiana vizuri na watu wengine, na kuavoid mahusiano yanayoleta hasara.

4) Majority ya Wachagga wajitahidi kupata elimu ya form 6 na kuendelea.

5) Kuishi a healthy lifestyle (including exercising), itakayowawezesha kuishi kwa muda mrefu huku wakiwa na afya njema kabisa.

Bwana Yesu Kristo anapenda mataifa yote yawe na nuru ya injili ya kweli. Anapenda kuwa na wafuasi kwenye mahema yote ya Shem, Ham na Japheth.

Ni vizuri watanzania waishi vizuri na kushirikiana vizuri na Wachagga (hususan Wachagga waadilifu) katika nyanja mbali mbali kama ambavyo wamekua wakifanya kwa muda mrefu. Ukiona Mchagga muadilifu ana mafanikio ujue sio kwa msuli au akili yake bali kwa neema ya Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo njia bora ya watanzania kufanikiwa ni neema ya Bwana Yesu Kristo.

Part 2

Wachagga ni wachapa kazi kabla hata ya wazungu na waarabu kuja.

Ni kweli hali ya kiuchumi ya wachagga kwa sasa sio nzuri. Hali hii mbaya ilianza baada ya vita vya Uganda, ilizidishwa na economic crisis ya miaka ya mwanzo ya 1980s. Wimbi la privatisation na kurekebisha mashirika ya umma liliwaumiza pia, kwani wafanyakazi wengi wachagga walipunguzwa kazini. Kuporomoka kwa bei ya kahawa miaka ya 1980s. Gonjwa la ukimwi liliwaumiza sana wachagga pia. Muamko wa kimaisha wa mikoa mingi ya Tanzania vile vile imetoa ushindani wa kiuchumi kwa wachagga. kumbuka ni haki, kwa mikoa yote kuamka kimaisha.

Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 wachagga wengi waliondolewa kwenye system ya ndani, ingawa civil servants wachagga bado walikuweko.

Matatizo ya kiuchumi ya sasa ya nchi yalianza baada 2010. Baada ya 2010 serikali ndio once again ikaanza kukopa madeni ya nje kwa riba za kibiashara, hususan baada ya wafadhili kupunguza misaada kwasababu ya scandals zilizotokea wakati huo.

Kwa sasa familia nyingi za wachagga zimeyumba kiuchumi, ingawa wachagga wengi bado wanaweza kuafford vitu vya msingi. Bottom 1/3 wameyumba sana, 1/3 inayofuata wameyumba wastani. 1/3 ya juu wameyumba kidogo. Theluthi ya hiyo 1/3 ya juu, yaani 1/9 top economic group ya wachagga ndio bado wako vizuri. Wachagga vijana wasio na ajira, wachagga wenye ajira zenye mishahara midogo, wachagga wenye ardhi kidogo ya kilimo, wachagga wenye biashara ambazo hazipati faida, pamoja na wachagga wazee wengi wao wameyumba pia. Wachagga ambao wako vizuri ni wale wenye ajira nzuri zenye mishahara mizuri, wenye biashara ambazo bado zinapata faida, wenye ardhi kubwa ya kilimo, na shughuli nyingine ambazo zinaenda vizuri. Familia zilizoyumba kiuchumi mara nyingi huwa zinakuwa na mivutano ya ndani kwa ndani.

Uzi huu unawatia moyo wachagga wakumbuke nguvu yao ya mafanikio inatoka wapi. Na huenda original plan ya Mungu wa Israel ilikua Tanzania iongozwe na wachagga waadilifu tokea uhuru. Ila aliruhusu mambo yawe yalivyokuwa ili wachagga watakapo ongoza nchi makabila mengine yasinung'unike. Na vile vile watakapo ongoza nchi (au wasipo ongoza nchi) waishi kwa kumtegemea Mungu. Kwahiyo ni vizuri watu wakajua kwamba kuwasambaratisha wachagga waadilifu kunaweza kusimfurahishe Mungu wa Israel. Wachagga wawe na subira kwani kipindi cha miaka 70 baada ya uhuru kikija (mwaka 2031) basi hali ya wachagga inaweza ikaanza kua nzuri sana kwa kipindi kirefu. Kuna uwezekano pia hali hiyo isi improve. Pia kuna uwezekano baada ya 2031 akaja Rais mprotestanti atakaependa wachagga, kuna uwezekano hili lisitokee pia.

Pamoja na maelezo hayo marefu kuna wachagga wengi ambao Bwana Yesu anawapigania na kuwasaidia wafanikiwe kimaisha hata kwenye vipindi vigumu. Bwana Yesu pia anagusa mioyo ya watu wa makabila mengine na kuwafanya washirikiane vizuri na wachagga waadilifu. Also indeed ukiweza kuangalia mioyo ya watanzania waadilifu utaona wengi wao kisiri siri wana amini akipatikana Rais mchagga muadilifu, mchapa kazi, mwenye exposure, mwenye akili na ubunifu, nchi itapiga hatua kubwa sana kimaisha na kimaendeleo.

NB: Matatizo mengi yaliyo tajwa hapo juu yamewapata pia watanzania wengine. Also Bwana Yesu anawapenda watu wote.
 
Kwa nini baadhi ya watu mnapenda kuwahusudu hawa jamaa!
Husda ni tabia mbaya sana na Mwenye husda hanaga furaha na amani Moyoni !
Ni kheri kujifunza kutoka kwao Kama tunazani wamebatikiwa na kufanikiwa!
Sehemu yeyote ambayo ushirikina kwao siyo kipaombele Mungu huwa katikati Yao na kuwabariki zaidi!
 
Chagga magazine
FB_IMG_1524854958654.jpg
FB_IMG_1524854932123.jpg
 
Wakuu nimewahi kusoma vizuri Historia ya Wachagga kwenye kitabu kimoja kilichoandikwa na Msweden mmoja, akimzungumzia vyema Mangi Marriale Obe II, na Binti aliyekuwa anaitwa Sia,
Aliyesome udaktari huko Sweden,

Pia inaonekana Mangi Marriale Obe II alikuwa msomi, na Hadi mwaka 1954 alikuwa anakaribia kuhitimisha kuomba uhuru wa Wachagga waliokuwa wamefika mbali kimaendeleo bila msaada wa Wazungu, hicho kitabu kinaeleza vizuri kuwa Gavana wa Uingereza kipindi hicho alikuwa hachangii chochote kwenye maendeleo ya Wachagga, hawa walikuwa wanakatwa kodi kutoka kwenye zao la kahawa.

Mipango ya kibajeti ilikuwa inawekwa vizuri sana kupitia kodi hizo na nyingine mbalimbali,
Kulikuwa na mfumo mzuri wa Elimu, pamoja na Miundo mbinu.
Niliona bajeti kuu yao iliyochapishwa mwaka 1954.
Na kila mwaka walifanya mkutano mkuu wa Wachagga, uliokuwa unafanyikia Moshi...

Najiuliza ni kwanini Historia hii haisemwi popote katika utaratibu wa Mafundisho ya Historia!

Mkuu Malcom Lumumba nakupa copy hapa...na wanahistoria wengine

FB_IMG_1524854958654.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom