Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 3,938
- 3,204
Wakuu nimewahi kusoma vizuri Historia ya Wachagga kwenye kitabu kimoja kilichoandikwa na Msweden mmoja, akimzungumzia vyema Mangi Marriale Obe II, na Binti aliyekuwa anaitwa Sia,
Aliyesome udaktari huko Sweden,
Pia inaonekana Mangi Marriale Obe II alikuwa msomi, na Hadi mwaka 1954 alikuwa anakaribia kuhitimisha kuomba uhuru wa Wachagga waliokuwa wamefika mbali kimaendeleo bila msaada wa Wazungu, hicho kitabu kinaeleza vizuri kuwa Gavana wa Uingereza kipindi hicho alikuwa hachangii chochote kwenye maendeleo ya Wachagga, hawa walikuwa wanakatwa kodi kutoka kwenye zao la kahawa.
Mipango ya kibajeti ilikuwa inawekwa vizuri sana kupitia kodi hizo na nyingine mbalimbali.
Kulikuwa na mfumo mzuri wa Elimu, pamoja na Miundo mbinu. Niliona bajeti kuu yao iliyochapishwa mwaka 1954.
Na kila mwaka walifanya mkutano mkuu wa Wachagga, uliokuwa unafanyikia Moshi...
Najiuliza ni kwanini Historia hii haisemwi popote katika utaratibu wa Mafundisho ya Historia!
Mkuu Malcom Lumumba nakupa copy hapa...na wanahistoria wengine
Aliyesome udaktari huko Sweden,
Pia inaonekana Mangi Marriale Obe II alikuwa msomi, na Hadi mwaka 1954 alikuwa anakaribia kuhitimisha kuomba uhuru wa Wachagga waliokuwa wamefika mbali kimaendeleo bila msaada wa Wazungu, hicho kitabu kinaeleza vizuri kuwa Gavana wa Uingereza kipindi hicho alikuwa hachangii chochote kwenye maendeleo ya Wachagga, hawa walikuwa wanakatwa kodi kutoka kwenye zao la kahawa.
Mipango ya kibajeti ilikuwa inawekwa vizuri sana kupitia kodi hizo na nyingine mbalimbali.
Kulikuwa na mfumo mzuri wa Elimu, pamoja na Miundo mbinu. Niliona bajeti kuu yao iliyochapishwa mwaka 1954.
Na kila mwaka walifanya mkutano mkuu wa Wachagga, uliokuwa unafanyikia Moshi...
Najiuliza ni kwanini Historia hii haisemwi popote katika utaratibu wa Mafundisho ya Historia!
Mkuu Malcom Lumumba nakupa copy hapa...na wanahistoria wengine