Kwanini Historia ya Wachagga inafichwa Sana?

Pellleka ujinga kule! Kwendraaaaa!
Mkabila mkubwa. Kwahiyo hutaki wengine watajirikie huko Mwanza. Unataka niwataje ili ukawaue ulivyo na roho mbaya. Na wewe unatikisa huko Mwanza kwa lipi? Kwendraaaaaa! Peleka balaa!
Usipanic nitajie tajiri mchagga au muarusha aliyeko Jijini Mwanza anayetikisa kwa utajiri maana umesema mwenyewe kwamba Mwanza imejaa matajiri toka Arusha na Moshi wakati siyo kweli. Vinginevyo we ni mpumbavu fulani tu ambaye hata Mwanza huijui. Koma kuleta hoja isiyo na mashiko.
Biashara kubwa za Mwanza ni madini, uvuvi na usafirishaji majini na nchi kavu. Sasa nitajie tajiri mwenye meno kama kashata na mke mwenye miguu kama spoku katika sekta hizo katika Jiji la Mwanza.
 
Usipanic nitajie tajiri mchagga au muarusha aliyeko Jijini Mwanza anayetikisa kwa utajiri maana umesema mwenyewe kwamba Mwanza imejaa matajiri toka Arusha na Moshi wakati siyo kweli. Vinginevyo we ni mpumbavu fulani tu ambaye hata Mwanza huijui. Koma kuleta hoja isiyo na mashiko.
Biashara kubwa za Mwanza ni madini, uvuvi na usafirishaji majini na nchi kavu. Sasa nitajie tajiri mwenye meno kama kashata na mke mwenye miguu kama spoku katika sekta hizo katika Jiji la Mwanza.
Sukuma gang kafie mbele huko. Wapi nilisema Mwanza imejaa matajiri kutoka Arusha na Moshi. Rudi kasome tena ile post ulete nukuu yangu hapa.
Wewe ni wivu na ubaguzi umekujaa huna lolote. Yaani roho inakuuma sana ukiona mtu kutoka mkoa mwingine akifanyia biashara Mwanza, ndio ubaguzi wenu wa ukanda na ukabila mlioleta hadi ikamkasirisha Mungu akaingilia kati akatuondolea kadhia ile. Nakukumbusha Mungu yuleyule bado yupo, hataruhusu hiyo roho mbaya yako na wenzio mnaofanana itawale. Peleka laana yako kule
 
  • Thanks
Reactions: apk
Sukuma gang kafie mbele huko. Wapi nilisema Mwanza imejaa matajiri kutoka Arusha na Moshi. Rudi kasome tena ile post ulete nukuu yangu hapa.
Wewe ni wivu na ubaguzi umekujaa huna lolote. Yaani roho inakuuma sana ukiona mtu kutoka mkoa mwingine akifanyia biashara Mwanza, ndio ubaguzi wenu wa ukanda na ukabila mlioleta hadi ikamkasirisha Mungu akaingilia kati akatuondolea kadhia ile. Nakukumbusha Mungu yuleyule bado yupo, hataruhusu hiyo roho mbaya yako na wenzio mnaofanana itawale. Peleka laana yako kule
Kuna wabaguzi kama nyie wapumbavu wenye meno ya kutu kama kashata. Peleka upumbavu wako huko kwenu mtu akimiliki nguruwe watatu na robo eka ya mchaichai anajiita milionea. Koma kubishana na kabila kuu nyau wewe.
 
Mimi sijawahi kusikia chagga resistance kwa mkoloni Kama ilivyo kwa wanyamwezi na makabila mengine ya south walioamua kupambana na mkoloni direct

..habari za Wachaga kukataa utawala wa Wajerumani na kupigana vita hizi hapa chini.

..Sina uhakika kama vufu la Mangi Meli lililochukuliwa na Wajerumani baada ya kumnyonga limesharudishwa Tanzania na kupewa maziko ya heshima.


 
Kuna wabaguzi kama nyie wapumbavu wenye meno ya kutu kama kashata. Peleka upumbavu wako huko kwenu mtu akimiliki nguruwe watatu na robo eka ya mchaichai anajiita milionea. Koma kubishana na kabila kuu nyau wewe.
Peleka balaa huko kwendraaaaa! Mbaguzi mkubwa uliolaaniwa. Na bado utasugua sana kalio.
Sawa aliyefuga nguruwe watatu na robo eka anajiita milionea, wewe uliyefuga chawa makwapani na kunguni kwenye banda la nyasi unajiita nani vile. Utakufa na wivu wako, wenzio wanaendelea na ujasiriamali. Endekeza ubaguzi tu na ujinga. Kwendraaaaaa! Balaa mkubwa!
 
Wachagga, Wakinga, Wapemba na Wahindi ni makabila ya kuigwa. Ni watu ambao uwezo wao wa akili uko juu kuliko jamii nyingine za ki-tanzania.
Si kweli asilimia kubwa ya Waafrika kusini ya jangwa LA sahara akili zao zinakaribiana.Ujio wa dini ya kiislam na kikristo ndio ulioleta gap ndogo ndogo unazoziona!
 
Si kweli asilimia kubwa ya Waafrika kusini ya jangwa LA sahara akili zao zinakaribiana.Ujio wa dini ya kiislam na kikristo ndio ulioleta gap ndogo ndogo unazoziona!
Kama vile kifo cha mtanzania Joshua kinavyoonesha jinsi dini ya kiislamu inatoa akili.
 
Hakana anaeweza kuficha asili yake atakaefanya hivyo ni mtumwa yaani slave. Hii mada imekaa kichokozi au kwa maneno mengine ni ya kikabila dhidi ya kabila la Wachagga. Enzi za mwendazake kulizuka kundi lililokuwa likijaribu kuunga mkono hatua ya Mwendazake kuwachukia na kuwabagua Wachagga na kuja na hoja nyingi za chuki. Wachagga ni watafutaji tu na ni kutokana na systemic depression tangu uhuru. Hata wakoloni hawakuwapa Wachagga sehemu ya mchango wao wa federal government hii ilitokana na setikali yao kuwa na nguvu ya kutosha kujiendesha. Na Nyerere akafuata mkondo ule na hata kuuwa serikali yao na mazao yao na umaskini kutamalaki kwao. Njia mbadala ni kutoka kwao na kutafuta chochote popote katika mipaka ya nchii hii. Basically shida ndizo zilizofanya kuwa hivi wala sii akili ya ziada wata nini . Wakifanyacho ndio maisha hapo hakuna mbadala. Watu wanawachukia bila hata sababu za msingi. Hata mngemuuliza mwendazake nini chanzo cha chuki zake kwa hawa watu asingweza kukupa kwa ufasaha. Kwani hakuna kabila la malaika hapa duniani.
 
Hakana anaeweza kuficha asili yake atakaefanya hivyo ni mtumwa yaani slave. Hii mada imekaa kichokozi au kwa maneno mengine ni ya kikabila dhidi ya kabila la Wachagga. Enzi za mwendazake kulizuka kundi lililokuwa likijaribu kuunga mkono hatua ya Mwendazake kuwachukia na kuwabagua Wachagga na kuja na hoja nyingi za chuki. Wachagga ni watafutaji tu na ni kutokana na systemic depression tangu uhuru. Hata wakoloni hawakuwapa Wachagga sehemu ya mchango wao wa federal government hii ilitokana na setikali yao kuwa na nguvu ya kutosha kujiendesha. Na Nyerere akafuata mkondo ule na hata kuuwa serikali yao na mazao yao na umaskini kutamalaki kwao. Njia mbadala ni kutoka kwao na kutafuta chochote popote katika mipaka ya nchii hii. Basically shida ndizo zilizofanya kuwa hivi wala sii akili ya ziada wata nini . Wakifanyacho ndio maisha hapo hakuna mbadala. Watu wanawachukia bila hata sababu za msingi. Hata mngemuuliza mwendazake nini chanzo cha chuki zake kwa hawa watu asingweza kukupa kwa ufasaha. Kwani hakuna kabila la malaika hapa duniani.
Upo sawa mkuu
 
Hakana anaeweza kuficha asili yake atakaefanya hivyo ni mtumwa yaani slave. Hii mada imekaa kichokozi au kwa maneno mengine ni ya kikabila dhidi ya kabila la Wachagga. Enzi za mwendazake kulizuka kundi lililokuwa likijaribu kuunga mkono hatua ya Mwendazake kuwachukia na kuwabagua Wachagga na kuja na hoja nyingi za chuki. Wachagga ni watafutaji tu na ni kutokana na systemic depression tangu uhuru. Hata wakoloni hawakuwapa Wachagga sehemu ya mchango wao wa federal government hii ilitokana na setikali yao kuwa na nguvu ya kutosha kujiendesha. Na Nyerere akafuata mkondo ule na hata kuuwa serikali yao na mazao yao na umaskini kutamalaki kwao. Njia mbadala ni kutoka kwao na kutafuta chochote popote katika mipaka ya nchii hii. Basically shida ndizo zilizofanya kuwa hivi wala sii akili ya ziada wata nini . Wakifanyacho ndio maisha hapo hakuna mbadala. Watu wanawachukia bila hata sababu za msingi. Hata mngemuuliza mwendazake nini chanzo cha chuki zake kwa hawa watu asingweza kukupa kwa ufasaha. Kwani hakuna kabila la malaika hapa duniani.
Hadi dotto magari anawashinda. Chuki za kijinga sana.
 
Mengine uliyosema ni kweli isipokuwa hilo la kwamba eti mkoloni alinywea kutokana na resistance ya wachagga na hivyo akawaruhusu kulima kahawa na kumiliki ardhi. Miongoni mwa makabila yote ya Tanganyika, wachagga ndiyo walioshindwa kabisa kuweka resistance yoyote ya maana dhidi ya mkoloni, na ndipo mkoloni aliposhinda kirahisi kutokana na mgawanyiko wao na kudharauliana wao kwa wao. Mkoloni aliwapa wachagga ruhusa ya kulima kahawa kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa njia rahisi zaidi kuwadhibiti kwa kucheza na akili zao. Wakoloni walipotaka kuchukua ardhi walijichukulia tu walivyotaka, ndiyo maana coffee plantations za wazungu zilikuwepo Kilimanjaro pia. Na hata wachagga walioruhusiwa kulima kahawa hawakufanya hivyo kwenye plantations, walilima kwenye vijishamba vyao vidogovidogo vya migomba milimani huko, divide and conquer ikaendelea!
Una uelewa finyu sana wa vitu. Unasema resistance ya Wachaga ilikuwa ndogo ndio maana mpaka kukuwa na plantations za kahawa!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom