ni wahuni tu ndo wanaziita hivyo!
chopa ndio kiswahili chake...asili ya kenya
mkuu chopa tumelitohoa tu... ni neno la kizungu chopper kwa maana ya helikopta. kwa hiyo hamna sababu yoyote ndo jina lake hilo.
kuhusu helicopter kuitwa apache hiyo ndo naskia kwako
chopa ndio kiswahili chake...asili ya kenya
ni wahuni tu ndo wanaziita hivyo!
Apache ni aina tu ya helicopter.. Zinatumika zaidi kijeshi Israeljamani kuna kitu naomba tuwekane wazi hapa, ni kwa nini helkopta inaitwa CHOPA au APACHE?
mkuu chopa tumelitohoa tu... ni neno la kizungu chopper kwa maana ya helikopta. kwa hiyo hamna sababu yoyote ndo jina lake hilo.
kuhusu helicopter kuitwa apache hiyo ndo naskia kwako
apache ni aina ya helicopter ya kimarekani
Apache ni aina tu ya helicopter.. Zinatumika zaidi kijeshi Israel
mkuu kwani chopa ni lugha ya kenya?
View attachment 289454 Apache ni helicopter ya kivita, waisrael wanazitumia sana kuwaua wapalestina ...
we mbona mgumu kuelewa...nimesema hicho kiswahili...sili ya kenya... narudia tena ni KISWAHILI... chopa imetokana na neno la kiingereza Chopper...
jamani kuna kitu naomba tuwekane wazi hapa, ni kwa nini helkopta inaitwa CHOPA au APACHE?