Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Vipi mkuuAisee ...
Vipi mkuuAisee ...
Huo ni mfano tu nimetoa. Maana yangu ni kuwa mtu anaweza kuwa yuko na tatizo akashindwa kupata nafasi ya kuongea na wewe. Labda nikupe mfano mwingine...amepata ajali amekimbizwa hospitali na simu yake ipo, wewe umetuma kameseji kako asubuhi...'mambo baby' hujajibiwa na umekauka unasubiri mpaka akujibu kameseji kako ndio utume tena au upige, hospitali wanasubiri walau mtu apige wamjulishe kuna mgonjwa, hawawezi kuchukua namba kwa kuwa simu ina password. Hapa si kwamba naunga mkono msururu wa meseji na ukitaka unikere nitumie mimeseji mfululizo ila sikubaliani pia na hiyo principle ya meseji moja kwa meseji moja, kama ukipiga hujapokelewa basi simu inayofuata ni lazima wewe uwe mpokeaji na sio mpigaji...mimi siwezi kufanya hiviMahabusu siku tatu zote hizo jamanii!
Nijuavyo pale unapewa nafasi ya kutoa taarifa kuwa uko polisi!
Akiwa kwenye shida anijulishe, na kwenye raha pia! Nini maana ya wapenzi sasa!
Vipi mkuu
Hamna inategemea na huyo mwanaume huwa ananitreat vipiNaona unavyo umia juu ya ukimya wa upande flani na namna unavyo utafsiri huo ukimya... Sometimes nafikiri kuna vitu vichukuliwe kwa tahadhari sana .
Aiseee mburukenge dah
Ni tamaa za kimwili ziliniponza, mimi mwenyewe najuta... Kinachozidi kuniuma bado anakataa wanaume wenginendio!!
kama mtu hujampenda ungemwambia toka mwanzo ya nini kumfanyia vituko? umesema mmeanza uhusiano toka 2017 siku zote hzo hukujua kama humpendi? na kwa nini hukumwambia toka awali?
Sawa mkuuMimi ni mwanaume wapo kweli wenye kushow love for me but siwapendi lakini huo unaoufanya ni zaidi ya unyama moto wako unaandaliwa kuni za reli maana miti hutaungua vizuri yaani mtoto wa wa watu kajibebisha mpaka kawa baby kweli lakini unamkaushia hivyo hembu geuza shilingi Kwa upande mwingine ingekuwa wewe ndo unafanyiwa hivyo ungekuwa na hali gani? Mnyooshee mtu kama humtaki ili aangalie sehemu ya kweli,, ataumia sana ukimwambia ukweli ila atapona tofauti na kuwa kimya akija kujua na kuambini mwenyewe ataumia sana na kidonda chake hakiponagi Kwa muda sana
Huyu dada atakuwa hana vigezo unavyovitaka wewe, e.g msambwanda, sura nk.Mimi nilivyoanza kumtongoza ilikuwa utani utani tu, sikudhani kama ataniganda hivyo, kiufupi nilimtani tu,
Ni mzuri usoni, ila ni mpole sana.. Msambwanda anao wa kawaida na hicho akiwez kuwa kigezo cha kutompenda mwanamke... Ni hisia nae tu sinaHuyu dada atakuwa hana vigezo unavyovitaka wewe, e.g msambwanda, sura nk.
Ila beleave me kuna siku utalikumbuka hili penzi
Nitumie namba yake pm mkuu, alafu kina kitu ntakuja kukushauri jinsi ya kumwacha huyo dadaNi mzuri usoni, ila ni mpole sana.. Msambwanda anao wa kawaida na hicho akiwez kuwa kigezo cha kutompenda mwanamke... Ni hisia nae tu sina
Okay...Hamna inategemea na huyo mwanaume huwa ananitreat vipi
Sawa mkuuNitumie namba yake pm mkuu, alafu kina kitu ntakuja kukushauri jinsi ya kumwacha huyo dada
sasa unadhani hivyo unavyomfanyia ni sawa? mwambie tu ukweli humpendi ashike time yake, ataumia lkn atasonga mbele kuliko kukaa hapo anapoteza muda wake bure. set her free by telling the truth stupid!Ni tamaa za kimwili ziliniponza, mimi mwenyewe najuta... Kinachozidi kuniuma bado anakataa wanaume wengine
ivi unazani kumwambia mtu humpendi ni kitu kirahis?
Sawa mkuusasa unadhani hivyo unavyomfanyia ni sawa? mwambie tu ukweli humpendi ashike time yake, ataumia lkn atasonga mbele kuliko kukaa hapo anapoteza muda wake bure. set her free by telling the truth stupid!
Sio kweliUsipowahi kulizwa kwenye mapenzi basi hujawahi kupenda


