Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,816
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
 
Usingizi hauna dudu au dude.
Cha muhimu kama usingizi umekata mwamshe mwenzako
Watu wanachelewa airport reporting time kwa ajili ya usingizi sembuse dyudyu
By the way raha na starehe ya usingizi huwezi linganisha na pyupyu so zote statehe na ukiona mtu haamki kachagua starehe anayoipenda zaidi
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Atakuamsha usjali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom