Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

SIERRA LEONE , LIBERIA NAMIBIA NA NIGERIA ni ENGLISH speaking na waliwahi kuwa na vita , Ila tukichukulia idadi ya kiujumla nchi zinazozungumza kifaransa ni nyingi zenye mashaka ya vita....

Namibia imetulia sana almost same na Tanzania kabisa
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Hivi vita zote zinasababishwa na Ufaransa kuingilia mambo ya ndani ya hizi nchi,wakiona Raisi aliyepo Madarakani anataka kuzuia wasiibe,wanamuundia zengwe apinduliwe.
Hata huyu Conde wa Guinea aliyepinduliwa,aliingia Madarakani kama mpinzani akimtoa mtangulizi wake ambaye alikuwa MLA Rushwa,na yeye alipoingia akanogewa akabsdirisha Katiba atawale Awamu ya tatu,akaongeza bajeti ya bunge,na ofisi ya Raisi,akapunguza mishahara ya watumishi wa umma,
Jeshi likaona limtoe tu,
Rushwa,Ukabila,na beberu Ufaransa ndio sababu zinazo zivuruga hizi nchi.
Mali,Guinea,na pale Ivory coast Kuna mwamba amebadirisha Katiba karudi Madarakani kwa Awamu ya tatu,nafikiri sasa hv,akisikia kinachoendelea kwa jirani yake,mavi yanagonga chupi
 
Baada ya Ufaransa kuipa Sudan Trillion 13 (dollar billion 5) kupitia msamaha wa madeni, mwezi may mwaka huu, leo hii mapinduzi ya kijeshi yanatokea Sudan.


 
Sisi wenyewe tulikuwa na vita ya uchumi, tena tuliambiwa ni vita mbaya zaidi🏃🏃🏃

 
Baada ya Ufaransa kuipa Sudan Trillion 13 (dollar billion 5) kupitia msamaha wa madeni, mwezi may mwaka huu, leo hii mapinduzi ya kijeshi yanatokea Sudan.


Sudan sio francophone country na huo msaada sio chanzo cha mapinduzi yaliyotokea.

Ugomvi wao ni muendelezo wa harakati za wananchi kutaka kuleta utawala wa kidemokrasia nchini. Yaelekea jeshi halitaki kuachia madaraka kwa utawala wa kiraia.
 
Sudan sio francophone country na huo msaada sio chanzo cha mapinduzi yaliyotokea.

Ugomvi wao ni muendelezo wa harakati za wananchi kutaka kuleta utawala wa kidemokrasia nchini. Yaelekea jeshi halitaki kuachia madaraka kwa utawala wa kiraia.
Wapi nimesema Sudan ni Francophone? Wapi nimesema huo mkopo ndio chanzo cha mapinduzi?
 
Is
Na ujinga ni mzigo, fanya uutue

Congo:
View attachment 1277200


CAR
View attachment 1277203

Mali
View attachment 1277206

Siera Leone

View attachment 1277207

IVORY COAST

View attachment 1277208


Nyengine utatizama mwenyewe. Mwambie na huyo Bufa aone mapadre walivojazana. Na asisahau kusema kuwa mtu mweusi pia ni tatizo (According to his/her logic) mana wapo wengi huko na ndio wanaopigana
Islam hata wakiwa 10% Tu Ni Shida...kama ufaransa wako chini ya 1% lakini kasheshe wanayowaletea sio ya kitoto
 
SIERRA LEONE , LIBERIA NAMIBIA NA NIGERIA ni ENGLISH speaking na waliwahi kuwa na vita , Ila tukichukulia idadi ya kiujumla nchi zinazozungumza kifaransa ni nyingi zenye mashaka ya vita....
Amemaanisha vita vya wenyewe kwa wenyewe, siyo vita vya kupigania uhuru.
 
Back
Top Bottom