Kwanini Dr Ndalichako asijiuzuru?

Status
Not open for further replies.
Moja ya sababu ya msingi kabisa ya waliofaulu kutokujua kusoma na kuandika ni mtindo au aina ya utahini wetu. Unategemea nini kama mtihani wote hata Hisabati ni kuchagua "multiple choice".
 
Hawajui kusoma na kuandika??? Zaidi ya elfu 5!!!! Du... Hii ni idadi kubwa sana. Yawezekana wote hao ni waislamu.........
Hii pekee ni sababu tosha ya ndalichako amepasisha watu wasiojua kusoma na kuandika...haya ndio yanayo lalamikiwa..baraza lime feli..vipi utapasi wakati hujui kusoma na kuandika..vp hio mitahani ya darasa la saba 7 alipita vipi ? vip mitahani ya kidato cha pili 2 ? vipi amepita? sasa it is reasanable dobt ndalichako atoke...
 
Mr Mark umenena vyema mkuu, moja ya mambo ambayo yanatukwaza kwa sasa ni bakwata na hawana muda mrf tutawabadilisha.
 
Wakati Dr.Ndalichako aliposhika madaraka pale NECTA alimteua naibu wake ambaye alikuwa Muislam jina lake Ahmed Ally lakini aliacha kazi kwa hiari yake mweyewe na kurudi UDSM kufundisha.
Watanzania tumefikishwa sehemu mbaya sana na watawala wetu,ata inapotokea fursa ya kujadili jambo la maana kwa mustakabali wetu tunakimbilia kulumbana kidini, tumeingizwa kwenye divide and rule bila kujitambua nasi tumeingia tena kwa kutanguliza kichwa. Kimsingi Ndalichako kama mtendaji mkuu anapaswa kuwajibika kwa kutangaza matokeo yanayohusu maisha ya watu bila kuyachunguza usahihi wake pasipo kujali dini yake. Nchimbi, Kamuhanda na Mwema nao wawajibike kwa makosa ya mauaji yanayofanywa na polisi walio chini yao,tukumbuke yule mmiliki wa kiwanda cha maziwa kule China alihukumiwa kunyongwa kama mtendaji mkuu lakini aliyeongeza kemikali kwenye maziwa yakadhulu watoto hakuwa yeye bali wafanya kazi wake. Ndio maana uchumi wao unapaa sana maana hawacheki na nyani.
 
Kwa nini katibu mtendaji tu Nashauri waziri mwenye dhamana na rais aliyemteua . Muungano unasiadia nini katika hilo? Uwiano wa bara na visiwani ni 1:33(sensa 2002) hauwezi kuwa 1:1 halafu tukaita usawa!
Lakin ni funzo sana kwa Serikali ya JMTz kujifunza zaidi ikiwemo pamoja na kulifanya Baraza hilo la Mitihani kuwa na SURA YA MUUNGANO. Kwa kuamua kama Katibu mtendaji atatoka upande mmoja wa muungano basi naibu wake atoke upande wa pili wa Muungano kama ilivyo kwenye taasisi na wizara zote zenye sura ya Muungano kama BOT etc.

Lakin vile vile ikumbukwe tokea kuanzishwa kwa baraza hilo viongozi wake wakuu kama katibu mtendaji mkuu na naibu wake wote wamekuwa wakristo. Hakuna muislam hata mmoja na hapo ndipo panapozidisha mashaka kwa chombo hicho.

lakin mwisho za mwizi arobaini. sasa ukweli umedhihiri. Laazima Katibu mtendaji mkuu wa Baraza hilo lazima awajibike kwa kujiuzuru ikiwemo pamoja na kuwafikisha mahakamani kutokana na kuwa athri watoto hao kisaikologia na kuwapotezea muda wao.

 
nachelea kidogo kunasibisha chama cha CUF na dini, ila sikatai chama hicho kuwa na wafuasi wangi wa kiisilamu, ndio maana nawashangaa wengine wanao dai CDM ni cha wa Kristo, au wengine wanadai ni cha wa KASKAZINI, propaganda ambazo UTAZIKATAA, Lakini haiyumkiniki kuwa washabiki wengi wa CDB ni wa KRISTO na watu wa Kaskazini. NAOMBA TUACHA PROPAGANDA ZA KISHENZI, WE ARE FIGHTITNG COMMON ENEMY, ..... CCM!

Hata hii CCM mnayoichukia sasa mwaka 2015 rais akiwa mkristo hata kama ni mkristo na ni wa CCM kelele zitaisha!!! Wote mtarudi kuipenda CCM!!! Tunza maneno yangu na mtakuja kunikumbuka.
 
Ndio tatizo la wasiopenda waislam kudai madai yao ili wawe sawa na wengine,,

Kama wamefelisha watu makusudi kwa kisingizio cha kukokotoa kimakosa kwa nini waislam tusilalamikie balaza??
Au kudai haki napo ni kosa??
Tatizo lenu makafiri ni kuona mwislam haendelei na asipate haki yoyote ile,,mmejawa chuki na dhurma aafu mnadai eti mnamwabudu Mungu huku mnachuki moyoni!!
Acheni unafiki,,na atang'oka tu mshenzi huyo,,
Sasa ilo ni somo moja tumefatilia wamebadilisha,je mengine tukifatilia si itakua aibu bazara la pepa??
Mfano mzuri ni kilinjico islamic-kilimanjaro,matokeo ya f6 yametoka wakaiweka ya 156 kitaifa,baada ya marekebisho imekua ya 48 kitaifa!hivi hamjaona ni udhurumati wa hali ya juu wanaofanyiwa waislam..

Toka 156 mpaka 48 kitaifa huoni baraza hapo linajidhalilisha??

Waislam si kwamba hawajui,wanajua nando maana hatufumbii macho uovu wa baraza,,
Nyie makafiri acheni unafiki na chuki moyoni dhidi ya waislam pale wanapodai haki zao nyie mnajiona ndo mnaakili sana mnaona sisi hatuna haki ya kudai!!

Acheni dhuruma

Aafu eti mnaabudu!mnaabudu nini sasa kama mnapenda wenzenu wasiendelee au wasidai madai yao??
 
Mi napendekeza hii mitihani ya Dini ifutwe kabisa, kama ni Kipaimara, Ikaristi ushindani wa kusoma Koroani n.k vifanywe kwenye nyumba za Ibada, leongo langu ni hili, tunaweza ku include matokeo ya dini then ikampandishia mtu division yake, say alistahili kupata Division 4 lakini labda kwenye Bible knowledge au hiyo ya Madrasa akawa mtu ana A, so atavushwa hadi Division 2, hapa huoni tutapeleka watu vyuo vikuu wakiwa kichwani watupu? kwasababu huko hawaendi kujifunza mambo ya dini but Elim dunia.

Mazindu Msambule,

..wazo lako nakubaliana nalo 100%.

..haya masomo ya dini yanapamba cheti tu, na kujenga imani kwamba mtoto amefaulu, wakati inaweza kuwa kinyume na hivyo.

..solution ni ama kufuta kabisa mtihani wa masomo hayo, au kuweka sheria kwamba yasitumike ktk kupanga daraja la mwanafunzi. kwa maana nyingine alama ktk masomo hayo isitumike kumpandisha au kumshusha daraja mwanafunzi yoyote yule.

NB:

..wazazi nao wanaweza kudanganyika au hata kurubuniwa kwamba watoto wao wamefanya vizuri ktk mitihani kumbe wanabebwa na alama za Bible Knowledge, au Islamic studies.
 
Last edited by a moderator:
acha matusi mkuu, jiheshimu.
Kama huna hoja kaa kimya.
Ni kweli serekali haina dini lakini haina haki ya kuwadhulumu wenye dini.
Serekali ndo inatunga, kusimamia kusahihisha na kutoa matokeo ya hiyo mitihani ya dini, iweje ktk masomo zaidi ya 20 likosewe somo moja tu, tena la waislamu?

ndiyo maana tunataka serikali ifute mitihani ya dini. Isiwekwe km mitihani ya taifa wkt serikali haina dini. Kusema serikali haina dini ni tusi? Au dini yako haina hela za kutunda na kusahisha mitihani mpaka zitoke oic?
 
Ajiuzuru? je unaongea au unahisi unazungumza kama unataka kuongelea kujiuzuru basi unatakiwa kujua MINISTERIAL RESPONSIBILITY indivual responsibility or collective responsibity. Hapa tuongelee individual miniisterial responsibility hapa wizara husika inapokuwa imefanya mambo vibaya lazima wazir husika awajibike na hapa ndipo shukuru kawambwa kama waziri wa wizara ya elimu ndo angewajibika na hana pa kukwepea since in the law (adiministrative law) there is a rebuttable prensumption that the minister works through an invisible hands of worker so whatever wrongs have been committed by his wokers is minister himself commite such wrongs kwa hiyo unapolazimisha fulani ajiudhuru unakwepa muhusika lazima sio bure kuna kitu hiden part of the moon. sheria za kiutawala zinapokiukwa hufanya system kuwa corupt na hii ndio tamaduni ya kibongo kukwepa kuwajibika. Msiwe wavvu wa kufikiria. sio mnaleta hoja kurupushi na maneno na dharau rejareja SAWA.
 
Mkuu yaani tangu post ya kwanza mpaka umefika kwa Nsiande hujagundua kama kuna element za udini? Hujui kwamba Ndalichako anaandamwa kwa sababu ya jina lake Joyce?

nawe naye mchemfu, hakuna anayemuandama ndalichako kwa sababu ya jina lake huo ni upogo. sie tunataka mabadiriko na si vinginevyo. na atakayeingia pale hatutaki apendelee, tunataka usawa. wazanzibari walifelishwa makusudi akaona hiyo haitoshi akashirikiana na mbowe wakaona lazima waislam wawakome wakawafelisha f6 makusudi wakidhani waislam bado wamelala, walipoona wamepelekewa memo wakajifanya wanayatoa matokeo upya tena kimya kimya. Its too late
 
ndiyo maana tunataka serikali ifute mitihani ya dini. Isiwekwe km mitihani ya taifa wkt serikali haina dini. Kusema serikali haina dini ni tusi? Au dini yako haina hela za kutunda na kusahisha mitihani mpaka zitoke oic?

kwani ni mitihani ya waislamu tu ndo inayotungwa na kusaishwa na serekali?
Hata bible knowledge ni hivyohivyo.

Hayo ya dini yangu kutokuwa na hela na ya oic yanatoka wapi mkuu?
Kwani kanisa linapokubali necta wawatungie mtihani nao hawana hela?
 
Inabidi jukwaa la siasa liwe linachangiwa ama kuanzishiwa thread na watanzania badala ya kutegemea wa Oman waje kutufundisha siasa sisi watanzania.Kaacha kumtaja waziri Shukuru Kawambwa kwasababu ya udini.Mtu anatoa ushauri huko Oman anasema "nyie Tanganyika",toa ushauri huko kwa Sultan waachie watanzania nchi yao.
 
nawe naye mchemfu, hakuna anayemuandama ndalichako kwa sababu ya jina lake huo ni upogo. sie tunataka mabadiriko na si vinginevyo. na atakayeingia pale hatutaki apendelee, tunataka usawa. wazanzibari walifelishwa makusudi akaona hiyo haitoshi akashirikiana na mbowe wakaona lazima waislam wawakome wakawafelisha f6 makusudi wakidhani waislam bado wamelala, walipoona wamepelekewa memo wakajifanya wanayatoa matokeo upya tena kimya kimya. Its too late
Sasa hapo uchemfu wangu uko wapi? Kama sio dini yake kwanini asijiuzuru Kawambwa Waziri. Hivi huko miskitini hamjafundishwa kwamba Katibu wa NECTA ni mtaalamu na sio Mwanasiasa? Anajiuzuru Mwanasiasa sio Mtumishi wa Umma ebo! Mnakuwa kama Luddites waliokuwa wanabomoa mashine badala ya mmiliki wa mashine? Mtoeni Kawambwa na JK ndio Ndalichako atatoka....
 
hoja sio nani ni nani au nani ameolewa au kumuoa nani, hoja ni awajibikaji kwa kila mmoja bila kujali dini, jinsia au rangi.
Necta wanatakiwa wajichunguze kwani haya yasingetokea kama si waislamu kushinikiza.
Mwanzoni necta walikataa na wakapinga kuwa si kweli kabla hata hawajafanya uchunguzi, leo imethibitika.

Mkuu hili ndio tatizo la watu kujadili nani kaleta mada badala ya kujadili hoja yenyewe. Kwa majibu aliyotoa Naibu Waziri Ndg.Mulugo,matokeo ya kidato cha sita yanakosa uhalali wa kuitwa matokeo,na hasa kwa wanafunzi wa Kiislam(huu ni mtazamo wangu).Kuchapisha upya matokeo ya somo moja la Islamic Knowledge hakuniondolei hofu juu ya madhila wanayofanyiwa Waislam na shule za kiislam na baraza la mitihani. Hatuwezi kuamini kirahisi kuwa makosa yalifanyika kwenye somo moja tu,na hasa ikizingatiwa nature ya kosa lenyewe limekuwa "too selective".Tunatakiwa tujiridhishe beyond reasonable doubt kuhusu muundo wa Necta,ufanyaji kazi wake,watumishi wake,usahishaji mitihani,na uchapishaji wa matokeo ya mitihani
 
Ni nabii gani au mtume gani kati ya wote alikuwa mfanya biashara mwenye wake wengi?

Nijuavyo mimi ni mmoja 2 na mnamjua! Haihitaji elimu ya chuo kikuu kujua aliwapandikiza nini wafuasi wake! Chuki, uuaji ili uende peponi, kumuua asiye wa dini yake!, kumfundisha mtoto mapema ili asibadilike nk.

Amkeni chukueni hatua
Eti wengine wanasema elimu ya dunia haina isue kwao!!

kaa kimya mkuu, hauujui uislamu kwahiyo usiongelee.
Usitutaftie ban bila sababu.
Umeishiwa hoja ndo mana unatoka nje ya mada.
Kama unataka kuelimishwa juu ya uislamu sema na sio kubwabwaja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom