Kwanini Clouds FM hawana kipindi cha rock?

Kwanini Clouds FM hawana kipindi cha rock?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
21,010
kwanini hawa mabingwa wa burudani hawana kipindi cha rock? ukizingatia rock unaweza kuwa mziki unaoongoza kwa kupendwa duniani. ukiangalia mauzo na grammy awards huu mziki unaongoza. najua watanzania wengi hawapendi basi wawe hata na saa moja kwwa wiki.

tunategemea nyie kama waandishi wa habari mtujuze na yanayoendelea na nje ya nchi sio kila siku wakina mavoko. mbona sport extra hutangaza habari NBA japo ni watanzania wachache wanapenda kikapu. kuweni internationa walau kidogo.
 
kwanini hawa mabingwa wa burudani hawana kipindi cha rock? ukizingatia rock unaweza kuwa mziki unaoongoza kwa kupendwa duniani. ukiangalia mauzo na grammy awards huu mziki unaongoza. najua watanzania wengi hawapendi basi wawe hata na saa moja kwwa wiki.

tunategemea nyie kama waandishi wa habari mtujuze na yanayoendelea na nje ya nchi sio kila siku wakina mavoko. mbona sport extra hutangaza habari NBA japo ni watanzania wachache wanapenda kikapu. kuweni internationa walau kidogo.

Ya Nini Upate Shida?????? Anzisha Na Wewe Redio Yako Uweke Kipindi Chako Hicho cha Rock...............!!!!
 
Ya Nini Upate Shida?????? Anzisha Na Wewe Redio Yako Uweke Kipindi Chako Hicho cha Rock...............!!!!
inamaana wanaowalalamikia na kuwashauri mods humu nao waanzishe forums zao!?. acha ungese.
 
Siyo popular Music Bongo, sioni uzito wa hoja. Ahsante kwa kutujuza kuwa mpenzi wa aina hiyo ya music.
 
Kwanini Tanzania wasiwakubali kuhalalisha ushoga ili hali ushoga nchi za nje unapendwa sana....?????


Fool kabisa..Unafananisha nchi za nje na Tanzania..??
 
Its a good suggestion ndugu yangu na pole sana kwa baadhi ya majibu uliyopewa, but nadhani kama mmoja alivojibu kuwa, muziki huunsi popular sana kwetu ndio sababu hawana interest nao sana, ila basi haina maana kwa wapenzi waliobaki wasiweze kuufatilia kama wanapenda, nadhani best option yako itakuwa kusikiliza online radios, na moja ya best app kwenye mambo ya radio za online ni Tune in radio, jaribu kuidownload , kama una access ya internet na utapata radio zote uzitakazo plus rock za aina nyingi from punk, daft, alternative to hevy metals, ukishindwa, sikiliza kiss fm i think wkend wanapiga top 40 za US, kuna lots of rock songs zinapigwa 🙂
 
Its a good suggestion ndugu yangu na pole sana kwa baadhi ya majibu uliyopewa, but nadhani kama mmoja alivojibu kuwa, muziki huunsi popular sana kwetu ndio sababu hawana interest nao sana, ila basi haina maana kwa wapenzi waliobaki wasiweze kuufatilia kama wanapenda, nadhani best option yako itakuwa kusikiliza online radios, na moja ya best app kwenye mambo ya radio za online ni Tune in radio, jaribu kuidownload , kama una access ya internet na utapata radio zote uzitakazo plus rock za aina nyingi from punk, daft, alternative to hevy metals, ukishindwa, sikiliza kiss fm i think wkend wanapiga top 40 za US, kuna lots of rock songs zinapigwa 🙂
at least there is someone who got sense. zamani east africa radio walikuwa na kipindi jumapili na channel five walikuwa wanaonyeesha videos jumamosi lakini vimekufa. huwa nadownload na nina album nyingi sana ila wakipiga rediioni tutakuwa tunapata update na kubadilishana ladha tofauti.
 
Kwanini Tanzania wasiwakubali kuhalalisha ushoga ili hali ushoga nchi za nje unapendwa sana....?????


Fool kabisa..Unafananisha nchi za nje na Tanzania..??
neophobia
 
kwanini hawa mabingwa wa burudani hawana kipindi cha rock? ukizingatia rock unaweza kuwa mziki unaoongoza kwa kupendwa duniani. ukiangalia mauzo na grammy awards huu mziki unaongoza. najua watanzania wengi hawapendi basi wawe hata na saa moja kwwa wiki.

tunategemea nyie kama waandishi wa habari mtujuze na yanayoendelea na nje ya nchi sio kila siku wakina mavoko. mbona sport extra hutangaza habari NBA japo ni watanzania wachache wanapenda kikapu. kuweni internationa walau kidogo.

Je muziki huo unahusiana na ushoga?kama unahusiana utaanza kuusikia si muda mrefu.Manake huwa nasoma humu ndani kuwa wana promote ushoga!Hizi nyimbo za kubana pua zinaelekeana na hiyo shughuli

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom