Kwanini chuo cha ESAMI kina ada kubwa sana?

Dah!... Cha kimataifa kabisa

Kiasi fulani ni cha kimataifa. Lkn mimi binafsi naona bado hakijakidhi kuwa cha kimataifa, kwa sababu wanafunzi wote wanatoka ukanda huu wa Afrika, kama jina la chuo lilivyo. Hakina International students wanaotoka outside the region.
 
Kiasi fulani ni cha kimataifa. Lkn mimi binafsi naona bado hakijakidhi kuwa cha kimataifa, kwa sababu wanafunzi wote wanatoka ukanda huu wa Afrika, kama jina la chuo lilivyo. Hakina International students wanaotoka outside the region.

Hawazingui research Kama vyuo vingine
 
Labda nature ya wanafunzi wanaosoma hapo, rafiki yangu mmoja alisoma hapo.. Ananiambia walikuwa 24 tu kwenye darasa lao. Wawili tu, yeye na mwenzio ndio walikuwa waTz
au wa asili ya Tz.

Na wengi walikua wametoka makazini, mfano yeye alitoka moja ya agency za UN.. Unaona sasa?
Huyo mwenzake alikuwa ni mimi. Maana nakumbuka tulikuwa wawili tu kweli.
 
Pale wanauza vyeti vya masters! Executive mode wanasima saa1800-2100 non stop na test Huwa hawafanyi.



Kama una hela unaenda kununua cheti pale.
 
Pale wanauza vyeti vya masters! Executive mode wanasima saa1800-2100 non stop na test Huwa hawafanyi.



Kama una hela unaenda kununua cheti pale.

Sidhani Kama ni kweli wana ada kubwa kwa tanzania vyuo vya ada kubwa kwa social science ni hivi
Nelson mandela arusha
Esami
Vinafata kozi za afya kwa level ya masters na PhD
 
Back
Top Bottom