Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,582
- 34,932
Inaonyesha wapo vizuri mno kitaaluma..Wengi wanaosoma hicho Chuo ni wanaopata ufadhiri toka kwa mashirika ya umma, binafsi na International.
Kama BOT,TRA, SADC, OAU, IMF nk. ili wapate Watumishi Wenye Good Knowledge.