Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,735
- 17,945
Wakuu naomba kufahamu sababu zinazofanya chuo tajwa kuwa na ada Kubwa namna hiyo?
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni.
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni.
Mbona kuna shule za primary ada ni 40mil.?Wakuu naomba kufahamu sababu zinazofanya chuo tajwa kuwa na ada Kubwa namna hiyo?
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni!
Kina Deals na Programmes zipi kwanzA AFU hujajibu hayo maswali vizuriKwa Tanzania kipo Arusha na DSM
Kina Deals na Programmes zipi kwanzA AFU hujajibu hayo maswali vizuri
Hizo Ni shule za private. Chuo Cha ESAMI Ni Cha serikali na SADC kwa ujumlaMbona kuna shule za primary ada ni 40mil.?
Labda nature ya wanafunzi wanaosoma hapo, rafiki yangu mmoja alisoma hapo.. Ananiambia walikuwa 24 tu kwenye darasa lao. Wawili tu, yeye na mwenzio ndio walikuwa waTzWakuu naomba kufahamu sababu zinazofanya chuo tajwa kuwa na ada Kubwa namna hiyo?
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni!
Kwa ada hiyo lazima wabongo tukimbilie UDOM na mzumbe😅Labda nature ya wanafunzi wanaosoma hapo, rafiki yangu mmoja alisoma hapo.. Ananiambia walikuwa 24 tu kwenye darasa lao. Wawili tu, yeye na mwenzio ndio walikuwa waTz au wa asili ya Tz.
Kama Ni hivyo sawaNi international college hiyo.
Waalimu wa Kimataifa, leo anakipindi South Africa keshokutwa anakipindi Uganda kesho yake Arusha nk.
Huduma kama Steshenari nyingi ni Free of Charge.
Chakula standard kabisa free kutwa mala tatu.
Malazi ndio bora zaidi ila unalipia nje ya hiyo 16.
Huduma nyingine zote ni standard.
Kinakaribia kufanana na MWEKA cha wanyamapori.
M16 duuh kweli ni balaa ila nmeona wanatoa masters tuESAMI_Eastern & Southern African Management Institute kipo Njiro Arusha (HQ) kinamilikiwa kwa pamoja na mataifa ya Mashariki na Kusini mwa Afrika.
Dah!... Cha kimataifa kabisaESAMI_Eastern & Southern African Management Institute kipo Njiro Arusha (HQ) kinamilikiwa kwa pamoja na mataifa ya Mashariki na Kusini mwa Afrika.
🤔🤔🤔🤭Huwezi kifananisha na jalala hasilani, wahitimu wa PhD hawajatia aibu mpaka sasa
KumbeElimu yake ni bora halafu hakina siasa nyingi kama vyuo vya kibongo. Pia kina International standards
Wengi wanaosoma hicho Chuo ni wanaopata ufadhiri toka kwa mashirika ya umma, binafsi na International.Wanatoa scholarship??
Yes, hata gari zao Plate Number ni DiplomaticDah!... Cha kimataifa kabisa