Kwanini China bado inabaki ni kitendawili baada ya miaka 100

How,foton,faw zinauzwa nchi gan ya ulaya
Screenshot_20210718-124356.png
mzee sjajua unajua au unajifanya unajua
 
China tayri ni giant duniani hakuna wa kumstopisha hakuna wa kumuogopa ndyo maana marekani anaangaika Tu kuweka vikwazo kwenye makampuni yake Ila stage alivyofika China marekani kashachelewa maana teknolojia, ushawishi, pesa vyote amevishika na kibaya zaidi ni Kwa bei nafuu bidhaa zake unazipata
Hakuna kitu anae iendesha Marekani ndiyo huyohuyo anaeiendesha China, Rothschild anahusika sana na uchumi wa China pia Unaweza kuifatilia Familia ya Li na 13 bloodline fimily.
 
How,foton,faw zinauzwa nchi gan ya ulaya
Screenshot_20210718-125804.png

Vitu vingine mbona vya kugoogle tu mzee..hayo ni magari bado vifaa vya simu ambavyo kwa haraka asilimia 90 vinatengenezwa china..bado wachina ndo wajenzi wakubwa zaidi duniani kwa sasa madaraja hadi railways majengo
 
USA Ana madeni mengi. Anadaiwa hadi na China. Upumbavu wake wa kuhangaika na vita kila sehemu unamcost... Anasahau Hiko ndio kiliiangusha ROMA pia ikaangusha Otoman Empire.
Ingawa the people who run USA... Russia are the same people who run CHINA.... wanashift tu Power according to what they need kwa muda huo. So kwa Sasa wanaona USA haina cha maana cha kuoffer ndo maana waona Power Ina shift slowly to CHINA..... And it will be Hell kwa watu wa Dunia hii when China became the fully World POLICE
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom