Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,075
Kwani hukuwahi kumsikia Mkulu alipomsifu Spika Ndugai kwa kazi 'nzuri' anayofanya ya kuwatimua wabunge wa upinzani Bungeni na kumwambia kuwa atakapomaliza 'assignment' ya kuwatimua Bungeni naye atawashughulikia huku uraiani?
Baada ya siku chache baada ya kauli hiyo si ndiyo tukasikia kukamatwa kwa Halima Mdee na kuwekwa korokoloni?
Katika mazingira hayo kwanini tusiamini kuwa DC wa Kinondoni alitoa kauli ya kukamatwa kwa Halima Mdee kwa 'agizo' toka kwa Mkuu wa nchi mwenyewe?
Baada ya siku chache baada ya kauli hiyo si ndiyo tukasikia kukamatwa kwa Halima Mdee na kuwekwa korokoloni?
Katika mazingira hayo kwanini tusiamini kuwa DC wa Kinondoni alitoa kauli ya kukamatwa kwa Halima Mdee kwa 'agizo' toka kwa Mkuu wa nchi mwenyewe?