Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,648
- 164,802
kwa majibu haya,bora usingeuliza kabisa hili swali.
Na Raisi hana mamlaka ambayo hayapo kwenye katiba.Kwanza mbowe hana mamlaka kama ya raisi
Post sent using JamiiForums mobile app
Awashughulikie sio awashughurikieNi vile huyo dikteta alisha sema ndugai awashughurikie bungeni yeye atashughulika nao mtaani. Nchi imekua Mali ya familia kadhaa ivi
Kwani kauli ya " wewe washughurikie huko bungeni mimi nitashughurika nao huku nje" unaielewaje mkuu?Inakuwaje wanawavuka woote kuanzia Mkuu wa Polisi (Wilaya, Mkoa, Taifa) , Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri na kumlaumu Raisi wa nchi?
Chadema hata akishikwa na Trafiki na kupigwa faini, anamlaumu Raisi wa nchi!
Mbona Mbowe halaumiwi kwa matendo ya Wafanyakazi wake akinaTundu Lisu, Lema, Sugu &Co.? , ...
kwani askari ni nani sio tawi la CCM?Inakuwaje wanawavuka woote kuanzia Mkuu wa Polisi (Wilaya, Mkoa, Taifa) , Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri na kumlaumu Raisi wa nchi?
Chadema hata akishikwa na Trafiki na kupigwa faini, anamlaumu Raisi wa nchi!
Mbona Mbowe halaumiwi kwa matendo ya Wafanyakazi wake akinaTundu Lisu, Lema, Sugu &Co.? , ...
Mazee looks like you know nothing about what you're talking men!!!!!Inakuwaje wanawavuka woote kuanzia Mkuu wa Polisi (Wilaya, Mkoa, Taifa) , Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri na kumlaumu Raisi wa nchi?
Chadema hata akishikwa na Trafiki na kupigwa faini, anamlaumu Raisi wa nchi!
Mbona Mbowe halaumiwi kwa matendo ya Wafanyakazi wake akinaTundu Lisu, Lema, Sugu &Co.? , ...