Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kila jambo mnalolizua wananchi wanalipuuza maana halina ushahidi wa moja kwa moja.
Mnadai kila mara Tume sio huru lakini kila chaguzi zikifanyika matokeo ni kama mnaliwa kichwa na wananchi na hakuna sapoti ya wananchi.
Sasa hivi mmezirukia mahakama kuwa hazitendi haki kwa sababu tu Mbowe amekamatwa na kug'ag'aniwa. Wananchi hawaamini mnaachokisema.
Kila jamabo Chadema wakizua ili kupata sapoti ya Watanzania linabuma. Why?
Mnadai kila mara Tume sio huru lakini kila chaguzi zikifanyika matokeo ni kama mnaliwa kichwa na wananchi na hakuna sapoti ya wananchi.
Sasa hivi mmezirukia mahakama kuwa hazitendi haki kwa sababu tu Mbowe amekamatwa na kug'ag'aniwa. Wananchi hawaamini mnaachokisema.
Kila jamabo Chadema wakizua ili kupata sapoti ya Watanzania linabuma. Why?