Kwanini Chadema walkout haikupata media coverage?

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?
 
Inategemea media unazozungumzia kureport ni zipi...habari leo na TBC1 na startv ambazo ndo zilikuwa live kwa wakati ule au???? TBC1 wenyewe sikuzhizi wamebadilisha Jina bila kupitia kwa msajili wanajiita kimya kimya CCM1 na hao StarTv si unajua kwanza wako moto mwanamama kamuangusha mbaya mbovu mheshimiwa wao???


Hawawezi maana ujasiri wa kufanya hivyo hawana. NIDHAMU YA WOGA sio kama wenzetu CNN waliorudia mara kwa mara tukio la Rais wao kupigwa kiatu
 
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?

Kwani umeambiwa wakati Chadema wanatoka nje ya Bunge wao walitaka media coverage? Or u are just try to create something out of nothing, whether there was a media coverage or not it should be a problem to us as long as we know kwamba walitoka nje ya Bunge there is more than that katika hayo maswali matatu uliyoyaainisha hapo juu sijaona chochote kile cha msingi.
 
Kwani umeambiwa wakati Chadema wanatoka nje ya Bunge wao walitaka media coverage? Or u are just try to create something out of nothing, whether there was a media coverage or not it should be a problem to us as long as we know kwamba walitoka nje ya Bunge there is more than that katika hayo maswali matatu uliyoyaainisha hapo juu sijaona chochote kile cha msingi.

Ina maana hujui umuhimu wa media katika politics?
 
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?

Maana yako ya 'media' ni international media na sio local/ national media?
 
What is important is not what international body thinks; it is what we think as Tanzanians; we want justice to be done; we want new constitution, we want change in NEC, etc. Don't you get it? Mawazo yako ya kikongwe, unataka tu msaada toka nje? Are we incapacitated even in our thinking? Hiyo ndiyo shida yetu, kwamba hakuna tunachoweza kufanya bila kuwa backed up by someone from outside. Huo ni umaskini wa kimawazo na hata kiutendaji, ndiyo maana hatuendelei. But Chadema knows, democracy must be a struggle from within, and not from without!!!!
 
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?
Kwani wewe hutoshi kuwaeleza wenzako Media coverage gani unayoitaka zaidi ya wewe kushuhudia tukio zima.
 
What is important is not what international body thinks; it is what we think as Tanzanians; we want justice to be done; we want new constitution, we want change in NEC, etc. Don't you get it? Mawazo yako ya kikongwe, unataka tu msaada toka nje? Are we incapacitated even in our thinking? Hiyo ndiyo shida yetu, kwamba hakuna tunachoweza kufanya bila kuwa backed up by someone from outside. Huo ni umaskini wa kimawazo na hata kiutendaji, ndiyo maana hatuendelei. But Chadema knows, democracy must be a struggle from within, and not from without!!!!

I believe you didn' t get me.

Any media coverage be it local or international is good for any serious political party.
 
haikupata media kwasababu MEDIA yote nchini imekamatwa na CCM. hivyo amri ikitoka tu kuwa msiwapublicise, basi hakuna chombo kitakachomrusha mtu. kwa kifupi, tz tunaendeshwa kwa propaganda na media ambayo imekamatika inatumiwa sana kuendesha akili za watz. si hiyo jana tu wakati wa chadema...hata wakati Dr.slaa alipokataa kuhudhuria kule kwa jk, na siku ile aliposema atatoa tamko....media zote zili mute zisimhoji wala nini kwasababu walitaka wawasahaulishe watz kuhusu chochote wanachotegemea toka kwa slaa na jana wametaka kuwasahaulisha watz na anayemiliki tz aendelee.

media yetu ilichokuwa inatakiwa kufanya ni kuwafuata hao watu, waongee ili watoe dukuduku lao, kwa njia hiyo diplomacy inawezekana...lakini kwa kufanya hivyo, unaona ccm wanabaki kwa kiburi, hawataki diplomacy, hawataki chochote kwasababu wanajiamini kuwa wanazo njia nyingi kuwafumba mdomo wapinzani.
 
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?

Je hotuba ya Kikwete imeripotiwa kwenye hivyo vyombo vya habari?
 
wewe ndugu nafikiri unaleta uzushi hapa cause jana tukio la walkout ya chadema lilipata media coverage just to mention a few BBC AND VOICE OF AMERICA WALILIRIPOTI TUKIO HILO !
 
Nimejaribu kupitia katika mitandao ya mashirika maarufu ya habari kama allafrica dot com, BBC Swahili, Reuters, AP na Xinhua lakini sikupata taarifa zozote juu ya yaliyojiri bungeni jana kuhusiana na Wabunge wa Chadema kususia hotuba ya JK.

Nimebaki najiuliza je?;

1. Jambo hili halikuwa na mvuto and so it was not worth reporting?

2. Ni jambo lililozoeleka katika demokrasia za kimataifa na hivyo hakuna jipya?

3. Lilikuwa jambo la kipuuzi?


Tanzania opposition says to push for electoral reform

Fri Nov 19, 2010

By Fumbuka Ng'wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania's main opposition party said on Friday it would push for reforms of the country's electoral system after walking out of parliament during the president's speech to protest disputed elections.

The opposition said the October 31 vote was heavily rigged in favour of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and want an independent electoral commission and constitutional amendments to allow presidential election results challenged in court.

President Jakaya Kikwete, who won re-election for a second and final term in office by 61 percent, delayed his speech for a few minutes on Thursday as lawmakers from Chadema party, which makes up the official opposition camp, marched out.

"The decision to walk out was made in line with our decision not to recognise results of the presidential election," Chadema's parliamentary chief whip, Tundu Lissu, told Reuters.

"We have reasons to believe that the results of the presidential vote were heavily rigged in favour of the incumbent president."

Chadema, whose presidential candidate Willibrod Slaa garnered 26 percent of the vote, said it would snub meetings officiated by the president.

Under the constitution, parliamentary and local council results can be challenged in the courts but final presidential results as announced by the National Electoral Commission cannot be challenged.

"The only legal recourse left is to register our displeasure and walk out. We know our action may not have any legal consequences, but we will not give legitimacy to the deeply flawed election process," Lissu said.

"We will hit the road and streets of Tanzania. We will explain to the people of Tanzania what happened."

ELECTORAL REFORM

Independent election observers said the electoral commission and government officials openly favoured the ruling party during the election process.

Lawmakers from the ruling CCM party, which has a two-third majority in the 335-seat parliament, heckled Chadema legislators as they walked out of parliament.

Members of parliament from other opposition parties did not join Chadema in the walk out.

One analyst said Tanzania's constitution, which was written more than three decades ago when the east African country was under one-party rule, had become obsolete.

"I think the need for a new constitution is more scaled up now than at any other time in the country's history," political commentator Deus Kibamba said in a phone interview with Reuters.

"To avoid a political crisis, the government should start the process of writing a new constitution that will take into consideration all the major changes that have occurred in Tanzania, including the introduction of multi-party politics in 1992."

In his speech on Thursday, Kikwete urged political leaders to work together to heal wounds that emerged after the election.

He outlined priorities of his government in the next five years, which include boosting economic growth, investing in agriculture, infrastructure and improving access to social services such as education, water and electricity.

He said his government would add 640 MW of electricity to the national power grid by 2015.

East Africa's second largest economy has energy demand close to 900 MW capacity, but produces less than 800 MW. Only 14 percent of its 40 million people are hooked to the grid, while demand grows by 10 to 15 percent annually.

Source: Tanzania opposition says to push for electoral reform | Top News | Reuters
 
kuna mbunge yeyote wa chadema amehojiwa na media yetu ili kusikia upande wa pili, au wameambiwa wasiwahoji na chama cha mapinduzi?

kwanini media yetu haijawahoji sisi wananchi tukawasikia upande wao kwa kitendo kile kikubwa walichokifanya....hii media ya watz tuiweke kwenye fungu gani? ndo maana tunasema bora east africa iwe federation, hawa wote watamezwa na tv za kenya na uganda ambao wanaendesha mambo kiprofessional, sio kwa shinikizo la mtu fulani.
 
BBC, DW, RFI, VOA, KBC, TBC1, CLOUDS FM, RADIO FREE AFRICA, RADIO ONE, CAPITAL RADIO, EA RADIO, TUMAINI RADIO, TIMES RADIO, MAGIC FM, TBC International, ITV, CHANEL TEN, STAR TV, CAPITAL TV, EATV, STAR TV,MLIMANI TV, ATN, MWANANCHI, NIPASHE, MTANZANIA, HABARI LEO, DAILY NEWS, GUARDIAN, CITIZEN, TANZANIA DAIMA, JAMII FORUMS, WANABIDII,WAVUTI, MICHUZI E.T.C...hii kitu imepata media coverage kuliko kitu chochote kilichotokea Tz in the past 5 years.
 
Back
Top Bottom