Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Binafsi nachukizwa na hali inayoendelea Tanzania ya machafuko yanayotokana na maandamano na vurugu za kisiasa(CHADEMA)
Nikitolea mfano wa mauaji yaliyotokea jana Iringa kwa kumpoteza mwandishi wa habari.......kwa upeo wangu mdogo naona kwamba hili lingezuilika ikiwa kama wananchi na wafuasi wa CHADEMA wangetii amri ya police hili lisingetokea.
Nadhani JK alitangaza zoezi la sensa kuendelea mpaka tar08 mwezi huu,sasa ilikuaje mpaka CHADEMA wakakaidi amri hii?
Kwa hili mie napendekeza hiki chama(CHADEMA)kifutwe na wanasiasa wake wanaonyesha kutokuwa na uzalendo wafungiwe kujihusisha na siasa milele.
Huo ni mtazamo wangu tuu masela msijenge chuki.
Labda umeandika hii bila ya kuwa na taarifa za kutosha. Polisiw aliwazuia Chadema kufanya maandamano na mikutano ya hadhara lakini waliwaruhusu kufanya mikutano ya ndani na shughuli nyingine.
Kilichokuwa kinafanyika Nyololo ni kufungua ofisi za tawi na wala si mkutano wala maandamano. Polisi walikuwa na haki gani kuanza kupiga mabomu eti tu kwa sababu watu wamekusanyika kushuhudia shughuli ambayo wao wenye we waliiruhusu?