Mtoi tuliza kichwa ndugu yangu: point ya kwanza ilishaelezwa muda mrefu kwamba mmeweka mawakili tena wasomi! Ilitosha kuwaamini hao. Mnavyofanya ni kama ile theory ya uchumi ya diminishing returns! Unaweka matrekta 10 kwenye heka moja unategemea kutakuwa na ufanisi kwenye uzalishaji? Nimeconnect dots!
Mnapenda siasa za mtaroni wanaCCM! Hivi ni wakati gani mnatumia muda wenu tunaoulipia kodi zetu kufikiri mambo ya kuondoa majanga mengi yanayoikabili nchi, naona 80% ya muda mnautumia kuifikiria chadema tu!
Tumaini Makene Chama kitamtossje wakati kilimtuma?eti mkurugenzi WA usalama,usalama gani unapanga dili za kipuuzi mpaka tunakurekodi subirini tunatoa zingine live magaidi ninyi
You are very wrong!Naona hata historia ya CHADEMA huijui.
Kwa kifupi ni kwamba CHADEMA ilipata umaarufu kwenye uchaguzi wa 2010 tu. Kabla ya hapo CHADEMA haijawahi kuwa na nguvu.
Prove me wrong!
Mwanzo nilisema humu kuwa Chadema haijajipanga!. Sasa nasema, Chadema as Chama, kinakabiliwa na ukosefu mkubwa kabisa wa busara za kawaida, hivyo kiukweli safari ya Chadema kuongoza nchi as of now!, ni bado sana. Japo baadae nikakubali kuwa Chadema imeanza kujipanga! lakini kwenye hili la Rwakatare, "Chadema bado haijajipanga kabisa!", kwa sababu nasisitiza the Video is "bonafide genuine!", hivyo kitendo cha Cha Chadema kumkumbatia Rwakatare, kina very serious consequences and Chadema will pay for this very dearly!.
Wish you all the best!, hope for the best!, but get prepared for the worst!.
Pasco.
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.
Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.
Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.
Je, kuna personal issues nje ya politik?
Jr
Atavuna anachopandaKifupi Rwakatare kafika Bei!!hofu ya kukosa mil.600 sio mchezo!!!Tutashuhudia mengi kuelekea october!!
Huyu alipewa nini mpaka leo anaichukuia na kuisema vibaya CHADEMA. Aisee aliyetukumbusha huu uzi ubarikiwe sana.Hapa ndio utajua hile barua yao ilikuwa fake! Asante sana makene kwa ufafanuzi hao walinzi wafukuzwe ikithibitika! Hakika ccmweli kazi wanayo! Nasasa hivi wanampango wa kujiteka na kujipindua waseme chadema! Tuko pamoja lissu.
Rwakatare usimkuze na kumuabudu, wa kumuabudu ni MUNGU PEKEE.Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.
Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
- Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
- Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
- Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.
Asante
P
"Matatizo yakizidi jua neema inakaribia" Nukuu bora kabisa kuwahi kukutana nayo JF.asante sana mkuu. matatizo yakizidi jua neema inakaribia. mia
😀😀😀😀Huyu alipewa nini mpaka leo anaichukuia na kuisema vibaya CHADEMA. Aisee aliyetukumbusha huu uzi ubarikiwe sana.