Kwanini Chadema haiwalipi hawa?

 

Wewe umeambiwa kuwa ccm kumejaa wizi na ufisadi tupu lakini bado unasisitiza wapinzani kujifunza ccm?
 

Wewe nawe umengangania hoja ya kufungua matawi nje kama ndiyo njia pekee ya kuchangia vyama. Watu wanaweza kuchangia chama hata kama hawana tawi nje ya nchi.


Mara unasema kuwa hutetei mafisadi na kumbe kila maandishi yako ni ya ufisadi tupu
 
uongo gani huo ina maana wale wabunge wa kuteuliwa sita wa tano hawatoki kirimanjaro.??
 
uongo gani huo ina maana wale wabunge wa kuteuliwa sita wa tano hawatoki kirimanjaro.??

wewe unadhani wanatoka wapi? na kama ni kilimanjaro, umejuaje? je wamekwambia?
 
We Kuhani nawe....kazi yako kuangalia vimakosa vidogo vidogo na kukosoa.....

Si kweli.

Hii ishu ya kunyoosha vidole kutoka Ulaya ni muhimu kwa Mwanakijiji kwa sababu ndio karata jokeli wanayoitumia critics wake na wote walioko nyumbani wanaokosolewa na Watanzania walioko nje. (Nadhani hata mawaziri washawahi sema hicho kitu.)

Lakini kwa hapa sijaona Asha Abdala kasema tunanyoosha vidole kutoka Ulaya. Amesema tunanyoosha vidole, lakini hajasema kutoka Ulaya. Concern ya Mwanakijiji hata mimi nai appreciate lakini hapa fairly speaking Asha hajasema tunanyoosha vidole toka Ulaya. It's all about striving to apply unbiased and consistent standards. That's all.

Kuhusu kokosoa vitu vidogo vidogo, uliwahi ku raise hii ishu na Pundit, akakuelewesha umuhimu wake, na mwishoni ukajibu umemuelewa. Sasa hapa naona kama una apply a different standard kwangu au una backtrack from ulichokubali awali. Kwamba kusahihishana hata kwa madogo kuna umuhimu wake. Unakumbuka ule mjadala?
 

alisema kukaa pembeni, na tafsiri yangu Ulaya na pembeni kwingine... na yeye akafafanua kuwa yawezakuwa Ulaya au Mbagala...
 
uongo gani huo ina maana wale wabunge wa kuteuliwa sita wa tano hawatoki kirimanjaro.??

Mgaya!

Hata huoni HAYA!. Hata kuandika Kilimanjaro hujui. Sio watano wanaotoka Kilimanjaro wewe. Maulidan Anna Komu(Toka Znz mgombea mwenza 2005 mkazi wa Zanzibar, mzaliwa wa Kwabijokha Zanzibar), Mhonga Saidi(Toka Kigoma). Halima Mdee(Mpare, Mwakilishi wa DSM, toka Jimbo la Ubungo). Lucy Owenya(Mchaga, Mwakilishi wa Kilimanjaro); Suzan Lyimo(Mchaga, Mkazi wa DSM, ameteuliwa kama mwakilishi wa Vyuo Vikuu. Mfanyakazi wa Miaka zaidi ya 10 UDSM). Grace Kiwelu(Mchaga, Mbunge wa Viti maalum term ya pili. Huyu wanachama wengi waliomba aendelee kutokana na mchango wake 2000-2005 hususani katika kujenga chama mikoani. Znz tuliunga mkono.).
Sasa we hujui hesabu? Hapa wachaga ni watano?

Na kwani uliambiwa kigezo cha kuteuliwa kilikuwa uchaga wao? Kwa hiyo unataka kusema kamati kuu iliyokuwa na watu wakigoma wengi kuliko kabila lingine ilipitisha vigezo vya kuwapendelea wachaga? Au kamati ya wazee iliyokuwa na wajumbe 5 mchaga akiwa mmoja tu ilipendelea wachaga? Au uongozi wa kitaifa, ambao mchaga ni mmoja tu. Wakati huo nakumbuka Zitto alikuwa mkurugenzi wa uchaguzi ndiye aliyehusika na kupitisha majina kama katibu wa kamati aliamua kupendelea wachagga? Au unataka kusema Zitto naye ni mchagga? Hebu muulizeni Zitto hapa kama aliamua kupendelea wachagga kama kigezo chake.

We haya tu

Asha
 

Nilimkubalia Pundit kwa vile sikutaka kuendelea kubishana. You know him, he can argue until the cows come home. So I was like, okay, I understand, and KIM (kept it moving) but it doesn't necessarilly mean I agree with his nit-picky of every single solitary little thing. Jamaa huwa hakubali kushindwa. Mtabishana weee...ukimkamata....anabadilisha lugha na vocabulary ili kupoteza lengo na mantiki nzima ya mnachobishania. Kwa hiyo dawa yake ni kumkubalia tu....afterall, hapa ni kijiweni tu. So my friend, I'm not using a different standard for you.....if I see that you're following in his footsteps (being argumentative)....I'll do the same to you.
 
Mzee nina ugeni mzito sana wiki hii na siwezi ku-afford kutokuwepo hapa mjini maana inaweza nisipate tena ugeni wa namna hii kwa muda mrefu sana.....

mmh... that explains why she is not coming either...
 
alisema kukaa pembeni, na tafsiri yangu Ulaya na pembeni kwingine... na yeye akafafanua kuwa yawezakuwa Ulaya au Mbagala...

Umebadilisha alichosema.

Yeye kasema msikae pembeni mnanyoosha vidole.

Wewe ukasema una take offense kwa kuambiwa unakaa Ulaya unanyoosha vidole.

Umechomekea kitu ambacho hakusema.

Kukaa pembeni unanyoosha vidole na kukaa Ulaya unanyoosha vidole ni criticisms mbili tofauti. Na unajua.

Umekimbilia kuji defend wakati hakukuwa na offense.

Ume mu accuse bure kwa kuku offend. Wenye macho wanaona hapa hakukuwa na offense.

Amesema tusikae pembeni tunanyoosha vidole, hakusema tusikae Ulaya tunanyoosha vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…