ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Akuambie wewe na nani? Mbona wewe usichangie kwenye ukombozi wa nchi yako. Umekaa tu huko ccm ukiiba pesa za nchi na unategemea nani akufanyie kazi mikoani?
Na wala hakuna niliposema kuwa Zitto amesema hawataki kujifunza toka kwa CCM.
zemarcopolo said:..... Iwapo CHADEMA wanaona kuna cha kujifunza kutoka kwa Odinga na hakuna cha kujifunza kutoka kwa Kikwete, basi waendelee na attitude hiyo na watavuna walichopanda.
Kama unaona CCM inashinda kwa sababu ya "wizi" hiyo ni tathmini yako, ingekuwa vyema kwa manufaa ya wana JF wote ukatueleza scientifically jinsi ulivyoweza kujua kuwa ushindi wa CCM unasababishwa na "wizi". Halafu ujiulize wewe mwenyewe na kuwa na matawi mengi zaidi ni kwa ajili ya "wizi" na kuwa na wanachama wapya wengi zaidi ni kwa ajili ya "wizi"?
Mgaya just b informed kuwa msimamo wangu wa kutokupoteza muda kujadiliana na wewe bado sijaubadilisha.you dont exist.
kajadiliane na watu wa upeo wako.
Mkulu,
Wakati nikisubiria jibu la Slaa (kama lipo) kwenye swali hili, maoni yangu naona kuwa hilo ni swali la hesabu ambalo hata wewe unaweza kujibu kutokana na formula yoyote ile unayopenda kutumia.
Unaweza kutumia masaa, au miles au chochote kile lakini labda hoja iwe ni namna ya kulipa kila mtu kwa alivyotumikia chama na kwenda beyond hii kujitolea. Kutokana na pesa zote Tanzania kuchukuliwa na Sinclair, Manji, visenti, Rostam na wezi wengine ccm. Inaonekana itabidi yeyote anayependa nchi aendelee kuitumikia kwa kujitolea hadi uhuru wa kweli upatikane.
Hiki ndicho uliandika hapa muda mfupi uliopita:
Kabla hujaleta hizi rants hapa:
Hii ni homework niliyokupatia last time kuwa ueleze pesa za BoT zilikwenda wapi na bado hujaleta jibu... ukileta jibu basi litakuwa part ya scientific jibu la swali ulilouliza
Mwafrika wa Kike
Swali langu liko makini kuliko ulivyolijibu wewe, hivyo nitaendelea kusubiri jibu la Mhe Dr W. Slaa, J.J Mnyika, Kitila Mkumbo au Mhe Zitto .
Mkulu,
Wakati nikisubiria jibu la Slaa (kama lipo) kwenye swali hili, maoni yangu naona kuwa hilo ni swali la hesabu ambalo hata wewe unaweza kujibu kutokana na formula yoyote ile unayopenda kutumia.
Unaweza kutumia masaa, au miles au chochote kile lakini labda hoja iwe ni namna ya kulipa kila mtu kwa alivyotumikia chama na kwenda beyond hii kujitolea. Kutokana na pesa zote Tanzania kuchukuliwa na Sinclair, Manji, visenti, Rostam na wezi wengine ccm. Inaonekana itabidi yeyote anayependa nchi aendelee kuitumikia kwa kujitolea hadi uhuru wa kweli upatikane.
Kwa hiyo hapo umeona kuna maandishi yanayomcourt Zitto au?
Hii ya kutokujibu maswali ni kawaida yako. Haya endelea kuamini kuwa CCM inashinda kwa sababu ya "wizi" na ninawapa pole CHADEMA kama wanaamini kama unavyoamini wewe.
Hili swali halihitaji kujibiwa kwa theories ni swali lililoelekezwa kwa wale wanaofahamu utaratibu unaotumika kufanya hizi tathmini, kama wewe si mmoja wao sio lazima ujibu.Wenye jibu watatoa.
Hili swali halihitaji kujibiwa kwa theories ni swali lililoelekezwa kwa wale wanaofahamu utaratibu unaotumika kufanya hizi tathmini, kama wewe si mmoja wao sio lazima ujibu.Wenye jibu watatoa.
Mgaya just b informed kuwa msimamo wangu wa kutokupoteza muda kujadiliana na wewe bado sijaubadilisha.you dont exist.
kajadiliane na watu wa upeo wako.
Hata makamba na rostam wanatoa pole kwa chadema kwa vile wao ccm wananafasi ya kuiba pesa BoT na "wataendelea kushinda" chaguzi Tanzania.
tunawasiwasi na URAIA wako maana unacho andika hakiendani kabisa na Utanzania.Angalia sana mkuu kutetea mafisadi kutakutokea puani.
Kama unajua kuwa "wataendelea kushinda" uchaguzi basi tumia busara iliyokujulisha hivyo kuona umuhimu wa kujifunza kutoka kwa yule ambaye "ataendelea kushinda" ili na wewe "uanze kushinda".
Fidel80, unaweza kuonyesha wapi au lini nilitetea mafisadi?
Ndio maana kuendelea kushinda nimeiweka ndani ya quotes. Hii ni qualified statement kwa upande wangu. Kitu ambacho nina hakika chadema hawatafanya, ni kuiba pesa BoT ili kuzitumia kushinda uchaguzi.
Ushauri wako kuwa chadema wajifunze kwa mafisadi na wezi wa ccm ni misguided.
CHADEMA hawawezi kutumia pesa za BOT kwa sababu hawana access nazo, tatizo lao hata zile pesa ndogo za ruzuku wanazopata zinatumika kumboresha Mbowe na marafiki zake peke yao na anayeleta fyoko tu anapigwa benchi kama Chacha Wangwe na yule aliyekuwa mwenyekiti wa Morogoro.
CHADEMA hawawezi kutumia pesa za BOT kwa sababu hawana access nazo, tatizo lao hata zile pesa ndogo za ruzuku wanazopata zinatumika kumboresha Mbowe na marafiki zake peke yao na anayeleta fyoko tu anapigwa benchi kama Chacha Wangwe na yule aliyekuwa mwenyekiti wa Morogoro.
2008-07-02 09:46:16
My Take:
- Kwanini Chadema isiwalipe viongozi wake? Hicho chama siyo taasisi ya dini au NGO, huu mtindo wa kulipa fedha za wao wenyewe na wengine kutolipwa ni mtindo mbaya. Hata mtindo wa Mbowe kutoa fedha yake mfukoni kwa ajili ya Chadema siyo mtindo mzuri kwani unamfanya aonekane kama ana maslahi zaidi ya mtu mwingine. Chama kiendeshwe kama Chama. Hata kama chama hakiwezi kuwalipa inavyopaswa ni muhimu kuwa na token payment hata kama Shs. 10,000 kwa mwezi kwa viongozi lazima walipwe, wasifanye kazi za chama bure.
-
Mengine.. nitawaandikia in private katika kulinda "heshima ya chama" chenu.
2008-07-02 09:46:16
- Kama Bajeti ya Chama ni ndogo kuliko mahitaji yake, ni lazima wajifunze kufanya mambo ndani ya bajeti. Kama ni kuanzisha miradi n.k wafanye hivyo lakini wasifanye vitu ambavyo hawana uwezo wa kuvigharimia. Katika hili wanaweza kuanzisha miradi ya Chama. Hili linawezekana kwa kuanzisha kampuni ya Chama (Holding Company) na wanaweza kuangalia ni jinsi gani chama kinaweza kumiliki kitega uchumi. Kama mnapata karibu milioni 66 kila mwezi na fedha zote zinaishia kwenye matumizi na hazizalishi basi kuna tatizo la kiuwekezaji.
-
Mengine.. nitawaandikia in private katika kulinda "heshima ya chama" chenu.[/I]