Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Kwanini chadema haina marafiki na nchi za kiarabu?
kwanini nchi za kiarabu hazina urafiki na chadema?
Kwanini chadema haina marafiki na nchi za kiarabu?
RAFIKI WAKUBWA WA CHADEMA KWA SASA
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
ndio wanaoiba rasilimali zetu kama GESI NA DHAHABU NA KUTUACHIA MASHIMO
AU WATAIKERA KUNA MKATABA KATI YA CDU NA CHADEMA YA KUWATAKA WASIKANYAGE NCHI ZA KIARABU?:
hivi aliyeanzisha gazeti la kisiwa alikusudia nini?
kuwapasha habari waislam
Kwanini nchi za kiarabu hazina urafiki na chadema?
Kwa sababu hatuna twiga wa kuwagawia bure.
Malaria Sugu, ukiona hivi ujua kala banKwanini chadema haina marafiki na nchi za kiarabu?
RAFIKI WAKUBWA WA CHADEMA KWA SASA
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
ndio wanaoiba rasilimali zetu kama GESI NA DHAHABU NA KUTUACHIA MASHIMO
AU WATAIKERA KUNA MKATABA KATI YA CDU NA CHADEMA YA KUWATAKA WASIKANYAGE NCHI ZA KIARABU?:
halafu ni jirani yangu kuanzia gari,nyumba na kwenye geti ni mabango ya kisiwa kisiwa namdharau sana yule bwana maana yanayoandikwa kwenye lile gazeti ni uchafu yaani ujinga ujinga tu bora hayo makaratasi wangechichelea taka kule vingungutihivi aliyeanzisha gazeti la kisiwa alikusudia nini?
na habari zile ndio zinawafaa hao,eti mchungaji aslim,nyoka mkubwa anabeba gari,mtoto amezaliwa na vichwa vinne,mtoto amezaliwa na miguu4,papa ni freemason, upuzi upuzi tukuwapasha habari waislam
Umechambua vizuri ILA una kitu nyuma ya uchambuzi wako!Nchi za KIARABU ZILITUDHALILISHA SANA WAKATI WA BIASHARA YA UTUMWA! Ukikumbuka hilo utaenda mbele ukiwa macho wazi!Kwani mbona Tanzania haina UBALOZI Israel?N i kwa sababu CCM wana-mahusiano na nchi za Kiarabu?! TUACHE UPUUZI!Kwanini chadema haina marafiki na nchi za kiarabu?
RAFIKI WAKUBWA WA CHADEMA KWA SASA
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
ndio wanaoiba rasilimali zetu kama GESI NA DHAHABU NA KUTUACHIA MASHIMO
AU WATAIKERA KUNA MKATABA KATI YA CDU NA CHADEMA YA KUWATAKA WASIKANYAGE NCHI ZA KIARABU?: